neno hilo tu linanifanya nikuone wewe darasa la saba failure!mtwala
neno hilo tu linanifanya nikuone wewe darasa la saba failure!mtwala
Umerudi kwenye safari ya mabadiliko?kura yangu nampa Cecil Mwambe
Tupeni link ya live coverageCrash vipi kamanda upo??
Tupe updates maana leo watu wanafatilia kila kona ya nchi na dunia nzima, USA EU na UK!!
Viva CDM!!
tatizo mliyemtuma hana ushawishi - hili ndilo kosa la Lumumba, kurudia rudia makosakwa pamoja wajumbe wa kamati kuu tumchague mwambe leo
Lumumba nzima inashangaa namna nchi nzima ikifuatiia updates za Mkutano huu muhimu kwa taifa letu.CCM wametishwa mno na mkutano huu.
Mkuu inawezekana nilipotea kweli lakini nipo sana chadema na siwezi kuhamia chama ambacho kimeshakufa na nikuhakikishie hakuna anae hamia ccm bali wanahamia serikalini leo hii wakitoa kuibeba hata magu atahaccm...Mkuu ulipotea mpaka nikahisi labda uliunga mkono juhudi! Kumbe Upo?
Its your opinionHakuna mtu wa kumtoa Mbowe kwenye kiti anachotaka na baada ya Uchaguzi kumalizika, Mwambe atafukuzwa ndani ya CHADEMA!
Yaliyomkuta Zitto mwaka 2014 yanaenda kumpata Cecil Mwambe! Baada ya Uchaguzi wa ndani aanze kutafuta chama kingine mapema!
Mwenyekiti wa Kanda ya Kati veepee!!??Hakuna atakaye mpa Mwambe kura. Wanachadema wanajuana na mapandikizi yanajuana!
Uchaguzi ndio leo mkuuAulizaye ataka kujua: Molema, mbona hamkutupa kura zilizopigwa na walivyopata washindani wa leo ie Mbowe alipata ngapi na Mwambe aliata ngapi?
CCM ipi sasa maana wanaujua mziki wetu mimi naona wanaoshangaa ni polisi na vyomba vyao kuona baada ya miaka nne bila kufanya siasa bado chadema inatisha je wakiachia miezi hata 4 itakuwaje?CCM wametishwa mno na mkutano huu.
Kabla ya leo kulikuwa na mchujo, kura zilikuwaje?Uchaguzi ndio leo mkuu
Sina uhakika kama kulikuwa na kura bali walipitia report ya kikao kilichotangulia cha kuangalia vigezo kama vimefikiwa na hivyo hakuwi na upigaji kuraKabla ya leo kulikuwa na mchujo, kura zilikuwaje?
OK, nani alimuua Azory, sandarusi za maiti baharini, Ben Saanane, mawazo. Ukitoa jibu rudi tuzungumzeLeo ndo ile siku ya kumtia mafuta Mfalme Mbowe aka Dikteta Mbowe?
Sasa unaniuliza mimi nilikuwepo? Kwani aliye muua Chacha Wangwe ni nani?OK, nani alimuua Azory, sandarusi za maiti baharini, Ben Saanane, mawazo. Ukitoa jibu rudi tuzungumze