johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,363
- 146,953
Mwenyekiti wa Chadema amesema Chadema haioni faida ya Demokrasia
Wapigakura wanachagua Viongozi wanaowataka lakini mifumo inaamua vinginevyo kwahiyo Viongozi hawana KIBALI cha Mungu Katika kutawala, amesema Mbowe
Nilipotoka Jela kwa kesi ya Ugaidi nilikutana na Rais Samia na akaniambia kama Taifa tuna Tatizo la Kutokuaminiana na tukakubaliana tumalize tofauti zetu Ili tutoke huko, amesisitiza mh Mbowe
Mbowe amesema hayo nchini Zanzibar Kwenye Mkutano wa TCD
Source: Mwanahalisi
Wapigakura wanachagua Viongozi wanaowataka lakini mifumo inaamua vinginevyo kwahiyo Viongozi hawana KIBALI cha Mungu Katika kutawala, amesema Mbowe
Nilipotoka Jela kwa kesi ya Ugaidi nilikutana na Rais Samia na akaniambia kama Taifa tuna Tatizo la Kutokuaminiana na tukakubaliana tumalize tofauti zetu Ili tutoke huko, amesisitiza mh Mbowe
Mbowe amesema hayo nchini Zanzibar Kwenye Mkutano wa TCD
Source: Mwanahalisi