Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro


Nimejiuliza sana kwa nini wanaCCM ni watetezi wa ACT mfano MSALANI

Nimeanza kupata connection

Mwigulu akikiri connection yake na Ludovick.

Ludovick naye connection na ACT yajitokeza ingawa alikuwa anakataa kuwa yuko ACT, yanafichuka taratibu..

Ludo connected to Mwigulu connected to ACT....

Dots zinajiunga zenyewe.


ludo do ni Mnafiki sana , kumbuka ni penye Msacky .......Zitto yupo.......Mwigulu .......yupo .......Ludo yupo, na hata jana story ya ajali ilikuwa imetangewa front page , ila Dili halikutekelezeka ndio maana anajiuma uma ..........so yeye kuwa ACT ni sehemu anapostahiki kuwa ......
 
Last edited by a moderator:
Nilishakueleza na naomba nirudie kwa mara ya mwisho.

Wewe huna hadhi ya kujibu post yangu yoyote.

Unadhani ukijibu Post yangu unaheshimika.Pole sana!

We mwehu kweli, aheshimike kwa ajili ya kujibu post yako?

Kwani wewe una heshima gani au umashuhuri gani hapa JF?

Endelea kujikomba kwa wanasiasa ili upate mlo wako.
 
Mkuu Joseph Ludovick hakika wewe ni mwamba na kiboko wa Bavicha, Maji yamewafika shingoni na wameona wamfiche Ben Saanane sababu wanajua akija hapa mambo yote yatakuwa hadharani.

Duuu Mbwembwe zote za Ben na Bavicha kaingia mitini!

Mkuu ludovick nimependa haya maneno yako ya hekima.
Mtu yeyote mwenye akili timamu na Asiye kunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti ni adhabu ya Mungu kutupa! Bila shaka huo ni ulevi tuu

Hakika tumepata dawa ya Bavicha.
 
Last edited by a moderator:
Ukiangalia vizuri unaona vijana wa Lumumba wanakitetea sana ACT pamoja na huyu Ludo lazima kuna jambo kubwa nyuma ya pazia kati ya CCM, ACTna Ludo
 
Unataka aje Ben Saanane tu au aje na Yericko Nyerere na wengine wenye uzito wa juu unaotambuliwa na shirikisho la mikakati ya kisiasa duniani?
Yericko Nyerere achana na wajinaga kama hawa kwa umasikini tulio nao Mpumba.vu kama huyu anakuja kuleta ligi za kijinga hapa


acheni Ujinga mkaa mbele ya watu mnapigwa mawe kama wezi

eti aje tuongee muuongee nini.......................what do u think yopu can speak


miwatu mingine hata ikifa watu hawasikitiki upewe pole ya nini
 
Last edited by a moderator:
We mwehu kweli, aheshimike kwa ajili ya kujibu post yako?

Kwani wewe una heshima gani au umashuhuri gani hapa JF?

Endelea kujikomba kwa wanasiasa ili upate mlo wako.
Mkuu MSALANI, Ben ameshajitokeza kukabili kimbunga cha Tsunami?
 
Last edited by a moderator:
Mnaona! kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.

mbweha wewe nitajitolea Mimi kukunyoosha.
 
hiyo ni Nafsi inakushtaki Joseph Jinsi ulivyo Msalini na utembeapo Ulalapo hiyo dhambi utakuwanayo tu
 
Yericko Nyerere achana na wajinaga kama hawa kwa umasikini tulio nao Mpumba.vu kama huyu anakuja kuleta ligi za kijinga hapa


acheni Ujinga mkaa mbele ya watu mnapigwa mawe kama wezi

eti aje tuongee muuongee nini.......................what do u think yopu can speak


miwatu mingine hata ikifa watu hawasikitiki upewe pole ya nini
Wewe huyo Yericko wako hajaitwa hapa maana hana lolote, hapa kaitwa Boss wake Ben saanane.
Muulize kwanza huyo Yericko jina lamwisho analotumia ni la wazazi wake?
 
Last edited by a moderator:
Heri kukuna na Shetani ulikokukutana na wewe Ludo.

ukiwa shetani Daima huwezi kumwogopa shetani MTU pekee unaeweza kumwogopa ni MTU wa mungu hivyo ludo ni MTU wa mungu so lazima uhofie kukutana nae!
 
Mkuu Joseph Ludovick hakika wewe ni mwamba na kiboko wa Bavicha, Maji yamewafika shingoni na wameona wamfiche Ben Saanane sababu wanajua akija hapa mambo yote yatakuwa hadharani.

Duuu Mbwembwe zote za Ben na Bavicha kaingia mitini!

Mkuu ludovick nimependa haya maneno yako ya hekima.
Mtu yeyote mwenye akili timamu na Asiye kunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti ni adhabu ya Mungu kutupa! Bila shaka huo ni ulevi tuu

Hakika tumepata dawa ya Bavicha.
mimi si mlevio lakini natamai ungekufa sijawahi kunya pombe lakini natamani ungekufa sijakosea .......................I mean ungepata ajali ya wewe kufa

  1. hii ni kwasababu wewe si wa muhimu zaidi ya watoto wetu wanaoteseka
  2. wewe si muhimu zaidi ya mama zetu wanzopangiwa bajete sawa na safari za raisi
  3. wewe si wa muhimu zaidi ya wazazi wetu wanaolipa kodi na wanakosa ela ya kula wakati wafadhili wako wanassamehewa kodi
kama unaendelea ..........................yanaweza ukawa ni mtazamo wa watu wengi, Imean Tanzanian who have change mentality na sio wachumia tumbo kama wewe
 
Back
Top Bottom