Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Sambai,
Nitakuwa habari eeh? kuna kitu mnakitengeneza? Yesu akijua kuwa atasulubiwa alisema...."hicho mnachotaka kufanya, fanyeni upesi"


Hahahah , kweli umekwisha kaka na usipotubu utakuja kukutana na janga kubwa zaidi... Ushaanza kujifananisha na Yesu? Oooh, Mungu akusamehe bure manake umesahau kuwa Yesu hakuwa mnafiki wala muongo kama wewe! Ndio maana chochote alichokisema kwa kinywa chake kiligeuka kuwa baraka... Wewe msaliti huna maana kabisa!
 
Nakusudia kuandika kidogo juu ya mambo mengi ya uongo na upotoshaji yanayosemwa dhidi yangu.

Nimesoma michango yenu juu ya ajali,nawashukuru kwa kunipa pole na hata wale waliotamani nife ninawashukuru.Lakini Mungu ni mwema,siyo tu sikufa bali mimi sikupata mchubuko tu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyekunywa viroba hawezi kusema katika ulinzi wote wa Mungu aliotupatia,yeye akasema eti hiyo ni adhabu Mungu katupa!. bila shaka huo ni ulevi tu.

Zaidi nimeona Ben Saanane akisema amejua "mipango yetu" na eti akatuumbua. Namchallenge sasa aje hapa tuongee.

Nataka niongee kidogo.

Dalili za kuwa kichaa...
 
Ben ni levo ingine katika medali za siasa. Unadhani wewe na Ludo ni watu wa kujadili jambo pamoja na Ben au ni watu wakujifunza toka kwa Ben?

Nyie misukule ndio mnamwona hivyo, ila sisi tunaomjua toka kitambo tunafahamu ni kijana aliyeamua kuuza UTU wake kwa ajili ya kujipendekeza kwa wanasiasa.
 
Zungu,
Nilitarajia ujue kwa nini maneno hayo yamewekewa funga semi.hilo halionekani kwenye maandishi yako.nifanyeje tuongee pamoja? naona level tofauti hapa
Mkuu taratibu ujue utafanya Ben Saanane asijitokeze kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu jeseph ludovick! Asante kwa kuendelea ktujuza duuu kumbe walikukana bure daaa!
Mungu aendelee kukulinda bila shaka Ben hawezi kujitokeza daaa una nondo kali sana.



Mpokeeni huko mzigo wenu! Ndani ya chama hatutaki unafiki hata kidogo!
 
Last edited by a moderator:
Joseph Ludovick Sasa nimekuelewa Mkuu kumbe tatizo ni ACT kukunyima posho yako? sasa Chadema hawatoi Rushwa wala hawanunui watu kama nyie na hau agent wenu mnavyo pakiza watu kwenye Malori yamichanga
 
Nyie misukule ndio mnamwona hivyo, ila sisi tunaomjua toka kitambo tunafahamu ni kijana aliyeamua kuuza UTU wake kwa ajili ya kujipendekeza kwa wanasiasa.
Mkuu MSALANI hebu Muulize kama Ben ni mwamba mbona kajificha hadi sasa? Daaa jeseph ludoVick ni kiboko ya bavicha.
 
Last edited by a moderator:
Mnaona! kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.

Hebu toa uchawi hapa..
 
Natamani huyu mtu haki sawa awe na elimu ndogo tu.vinginevyo sijui ni namna gani anaweza kutoelewa kwa kiwango hiki.
Ona anasema mimi sijawahi kuajiriwa chadema bali nilikuwa volunteer tu! mimi hakuna mahala nimetumia hayo maneno.halafu anasema nilikuwa na jukumu la kufatilia shibuda.sasa nilipewa jukumu hilo kama nani? dhana ya great thinkers inaharibiwa na watu kama huyu

Uliingia lini makao makuu ya Chadema wewe?
Ulikuwa unafanya kazi idara gani ? Maana kwa
uchunguzi wangu najua ilitumika mwaka 2009
wakati wa uchaguzi wa huko Chadema
kumfuatilia Shibuda na Zitto na kuwa ulikuwa
ndio umewekwakama Atachee kwenye kundi
hilo , ukamfuatilia sana Julieth
Lushuli .........sasa kama nakosea iseme
kweli ......
Pili, wewe Hujawahi kuajiriwa na Chadema , ila
ulikuwa Volunteer ukiwa unasema DUCE , sasa
leo kwanini useme uongo kuwa ulikuwa
mwajiriwa makao makuu ya CHADEMA?
Jana ACT walipopata ajali mbona huku tajwa ?
 
Kama meshindwa kujibu hoja zetu ben wa nini sasa jibuni tunayo wauliza kwanza au leo amtapewa buku saba cc Msalani
 
Nyie misukule ndio mnamwona hivyo, ila sisi tunaomjua toka kitambo tunafahamu ni kijana aliyeamua kuuza UTU wake kwa ajili ya kujipendekeza kwa wanasiasa.


MSALANI ukumbuke ya kwamba kipindi fulani nimeshakuambiaga huu usukule wenu mnaoufanya ndani ya mafisafi hakika nakuapia wewe na group lako siku si nyingi mtajilaumu!
 
Last edited by a moderator:
tatizo katika kujibu watu kama huyu.ni kama unajibu mzimu. ningejua kama wewe ni kiongozi wa chadema ingekuwa na maana kutafakari unaposema "hatukutaki". lakini sasa huwezi kuzingatia kelele za wapita njia
Sikiliza video hii, Mwigulu anaelezea alivyokutuma kazi.

Eti ulisema unahitaji vitendea kazi tu!
 
Last edited by a moderator:
Unataka aje Ben Saanane tu au aje na Yericko Nyerere na wengine wenye uzito wa juu unaotambuliwa na shirikisho la mikakati ya kisiasa duniani?
Yericko Nyerere achana na wajinaga kama hawa kwa umasikini tulio nao....................... kama huyu anakuja kuleta ligi za kijinga hapa


acheni Ujinga mkaa mbele ya watu mnapigwa mawe kama wezi

eti aje tuongee muuongee nini.......................what do u think yopu can speak


miwatu mingine hata ikifa watu hawasikitiki upewe pole ya nini
 
Ben Saanane njoo uumbuliwe hapa!

Nimejiuliza sana kwa nini wanaCCM ni watetezi wa ACT mfano MSALANI

Nimeanza kupata connection

Mwigulu akikiri connection yake na Ludovick kwenye video hii.

Ludovick naye connection na ACT yajitokeza ingawa alikuwa anakataa kuwa yuko ACT, yanafichuka taratibu..

Ludo connected to Mwigulu connected to ACT....

Dots zinajiunga zenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Ben ni levo ingine katika medali za siasa. Unadhani wewe na Ludo ni watu wa kujadili jambo pamoja na Ben au ni watu wakujifunza toka kwa Ben?

acha kumvimbisha kichwa huyo Ben, ananini cha zaidi ambacho wengine hawana!? au ndio tuseme mahaba yanakusumbua!?
 
Back
Top Bottom