Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Yaliyojiri baada ya kupata ajali Pandambili - Morogoro

Haki sawa,
niko chadema kwa miaka sasa. nimekuwa makao makuu ya chama kwa muda sasa.mwigamba alipoombwa kuja kuwa mhasibu alinikuta.
nimeshiriki naye mambo mengi akinipa malipo yangu akiwa mhasibu wa chama.nimekuwa naye kwenye operation za chama kwenye chaguzi ndogo.mwigamba amekuwa anaandika makala nyingi kupitia kalamu yake.
so tunafahamiana. alipopata matatizo chamani na hatimaye kufukuzwa, na sasa akiwa ACT bado nawasiliana naye.
sasa nilimuomba lift anifikishe dodoma.yeye alikuwa anaenda kigoma. baada ya ajali yeye amerudi dar,mimi niko dodoma naendelea na shughuli zangu.

Na hiyo mikoba ya Zitto unayombebea wewe ni mganga wake?
 
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA. sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.
Ha ha haaa it is a joke of a year, yaani eti uko Chadema wakati huo huo uko ACT mwenzako Mwigamba yuko ADC wakati huo huo anatumika ACT, kweli wasaliti huwa hawana aibu.
 
Msalani na wewe Ulikuwepo kwenye Ajali? wewe Umeumia pande zipi za Mwili?
 
Na hiyo mikoba ya Zitto unayombebea wewe ni mganga wake?

Ha ha ha h.... Msaidizi wa mganga wa zzk

Njaa mbaya sana... Mwanaume mzima anabeba mikoba ya wanaume wenzie khaaaa.... A
 
Haki sawa,
niko chadema kwa miaka sasa. nimekuwa makao makuu ya chama kwa muda sasa.mwigamba alipoombwa kuja kuwa mhasibu alinikuta.
nimeshiriki naye mambo mengi akinipa malipo yangu akiwa mhasibu wa chama.nimekuwa naye kwenye operation za chama kwenye chaguzi ndogo.mwigamba amekuwa anaandika makala nyingi kupitia kalamu yake.
so tunafahamiana. alipopata matatizo chamani na hatimaye kufukuzwa, na sasa akiwa ACT bado nawasiliana naye.
sasa nilimuomba lift anifikishe dodoma.yeye alikuwa anaenda kigoma. baada ya ajali yeye amerudi dar,mimi niko dodoma naendelea na shughuli zangu.
Mbna haukutajwa na mwenezi kwa Jina kuwa ni mmoja wa majeruhi? Je Hanseli alivyoandika kuwa mlikuwa safari moja ya malengo ya kichama ni uongo?
 
Haki sawa,
niko chadema kwa miaka sasa. nimekuwa makao makuu ya chama kwa muda sasa.mwigamba alipoombwa kuja kuwa mhasibu alinikuta.
nimeshiriki naye mambo mengi akinipa malipo yangu akiwa mhasibu wa chama.nimekuwa naye kwenye operation za chama kwenye chaguzi ndogo.mwigamba amekuwa anaandika makala nyingi kupitia kalamu yake.
so tunafahamiana. alipopata matatizo chamani na hatimaye kufukuzwa, na sasa akiwa ACT bado nawasiliana naye.
sasa nilimuomba lift anifikishe dodoma.yeye alikuwa anaenda kigoma. baada ya ajali yeye amerudi dar,mimi niko dodoma naendelea na shughuli zangu.

hata kujitetea uongo hujui bora hata yule Z anaweza kutunga uongo hautakufa mpaka uone cdm wanafanya nini sio huko alliance of coward and traitors act kuna siku utajisaliti hadi we mwenyewe
 
Msalani bila shaka ndio alikua driver wao sijui walikua wanakwenda kwa kalumanzira
 
Mnaona! kama tunataka kuelewa baadhi ya mambo tuchangie kwa kustahmiliana. nimemtaka ben kwa sababu amesema alijua mipango yetu.so nilitaka tuchunguze hilo. wewe yericho ni wewe unajiita heavy weight.sijawahi mimi kusikia popote in chadema circles ukiongelewa.
sasa nitajibu maswali kama yapo.
kuanzia mimi ni mwanachama wa CHADEMA.sijawahi kujiunga na chama chochote kingine.

Swali la kwanza...unafanya kazi gani inayokuingizia kipato?
 
kwahiyo ile 50,000/- uliorushiwa na Nchemba isingetosha nauli ya Dodoma?

Upande uliopo (walio kupandikiza ili ujifanye CDM) ukiwafanyia hivi (picha zako za kihindi), tutakuokota ndani ya kisima kilekile cha maji - huna macho!
 
Back
Top Bottom