bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Hahahaha...... Hiyo mambo ya kuiba kura peleka kule jukwaa la mastress wakaidiskasi kwa mapovu........ Hapa tujadili hiyo mokasini, ukitaka uitwe mheshimiwa labda ukaazime ya Mbu. Hivi siku hizi yuko wapi huyu mtu?.........BTW ile tabia yako ya kukaribisha wanachama wapywa wa JF wenye ID ya kike umeshaacha? Kabla bado nakushauri uwakaribishe kwa mkwala kuwa wewe ni MOD na wasipokuita Mheshimiwa utawahamishia fesibuku au Michuzi blogu wakauze sura..........
Hivi hapa tupo jukwaa gani vile?
Nitendee heshima kwa kuniita mheshimiwa. Na hiyo kesi si itasikilizwa na mheshimiwa hakimu?.....Hivi Nyerere alikuwa mheshimiwa au Ndugu?
Nyerere alikuwa MWALIMU