bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
kwa kiswahili cha kwenye dikshineri kabisa, hata mimi ni Hakimu, jana niliwahukumia majirani waliopigana chabo na wakarizika na hukumu yangu, je namimi ni mheshimiwa? Au unakusudia Hakimu wa Kisutu tu na mahakama za kiserikali ?
muone huyu naye....lol!!
mahakama yako iko maeneo gani? kwa mtogole?