Wito kwa Miss Neddy

Wito kwa Miss Neddy

ahaaa!! siku hizi mnaombeana huku mnasikiliza nyimbo za taarabu na bongo fleva eenh!!!?

hivi angel ushawahi kuniona katika hali ya kukasirika?... sasa....

Hapana mine sijawahi kukuona ukikasirika lakini kufanya kosa siyo kosa, kosa ni kurudia kosa, halafu pia my hubby mbona umechukua maamuzi haraka namna hiyo? Maana naona tayari mmeshajimilikishana wewe na miss neddy
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahahahahaha Excel huyo hajui kutunza mume achana nae mume akikosea hasonywi bali wampa kiss maridadi na kumsomea mashtaka yake

Loh!!!! Afadhali nimpate mwenzangu wa kusaidiana majukumu mana nalemewa karibu mke mwenzangu ila nikupe tahadhari mpenzi wetu huyu kwanza ana hasira za karibu halafu habembelezeki, hivi toka juzi kaninyima haki yangu sijui ndo ilikuwa zamu yako? Nataka nipeleke mashitaka kwa baba paroko
 
Last edited by a moderator:
Loh!!!! Afadhali nimpate mwenzangu wa kusaidiana majukumu mana nalemewa karibu mke mwenzangu ila nikupe tahadhari mpenzi wetu huyu kwanza ana hasira za karibu halafu habembelezeki, hivi toka juzi kaninyima haki yangu sijui ndo ilikuwa zamu yako? Nataka nipeleke mashitaka kwa baba paroko

habari za jioni mama watoto! nimekumiss kweli sweetheart..! mi for sure sipendi mikwaruzano.. siwezagi kurudi kwenye hali yangu kirahisi kama nikikasirishwa kimakusudi.. please mkubali miss neddy muwe wawili.. ntaishia hapo tu then tutafanya mengine.. sawa mama?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom