Wito kwa Miss Neddy

Wito kwa Miss Neddy

hebu niambie... kilichokukimbiza kwa hasimu wangu parokiani ni nini?

aisee bado unanijibu ukiwa vidole juu?????????????

angelicious.... you are not you you know! you are poisoned!

my hubby miye sijaenda kwa Kaizer kwa makusudi nilienda kule kwa ajili ya maombi only baada ya
kuona sikuelewi elewi halafu sikujua kama hasimu wako mkuu samahani mpenzi sirudii tena.
 
Last edited by a moderator:
yani msonyo tu unavunja ndoa hee!! mabig sasa wewe ulifikiri ndoa fashion show jaribu dogo kama hilo
unaacha mke? je ukifumania si utaji-ufoosaro??? lakini me nakupendaga tu we umeniacha miye sijathibitisha kama
umeniacha

Mwenzio sikuhizi kawa bazaz,unaonaje ukiwa mke mwenzangu kwa Daudi1
 
Last edited by a moderator:
Kazi ya baba paroko ni kuwapa kondoo kile wanachotaka

Sasa mi ninakosa gani?

Kuna wema zaidi ya huo?

wema neno la MUNGU paroko...! nasema tena... sitaogopa kuvnja parokia kwa sababu ya mpenzi wangu miss neddy!

paroko nakutumia maonyo ya mwisho... sina mzaha wala sijawahi kumchekea mbaya wangu...

combat langu lina ham sana na vita.. naona inakuja sasa!
 
Last edited by a moderator:
my hubby miye sijaenda kwa Kaizer kwa makusudi nilienda kule kwa ajili ya maombi only baada ya
kuona sikuelewi elewi halafu sikujua kama hasimu wako mkuu samahani mpenzi sirudii tena.


ahaaa!! siku hizi mnaombeana huku mnasikiliza nyimbo za taarabu na bongo fleva eenh!!!?

hivi angel ushawahi kuniona katika hali ya kukasirika?... sasa....
 
wema neno la MUNGU paroko...! nasema tena... sitaogopa kuvnja parokia kwa sababu ya mpenzi wangu miss neddy!

paroko nakutumia maonyo ya mwisho... sina mzaha wala sijawahi kumchekea mbaya wangu...

combat langu lina ham sana na vita.. naona inakuja sasa!

Vitisho vya kizamani sana hivi

Hebu tafuta nyimbo nyingine naona hii imekosa mashiko

Nimekuambia kuwa kama wao ndio wahitaji nifanyeje?

Hujui kuwa baba paroko ni muungwana?

Na kuna uungwana gani zaidi ya huo wa kumpatia kondoo hitaji lake?
 
ishu yenyewe hata weye waijua tena angel kaja hapo juu mbona hujamquote

niko nafanya inner talk na yeye.. please uwe unachanganya na kizungu kidogo eenh!

ukiongea kiswahili complete sikupati vizuri..
 
Vitisho vya kizamani sana hivi

Hebu tafuta nyimbo nyingine naona hii imekosa mashiko

Nimekuambia kuwa kama wao ndio wahitaji nifanyeje?

Hujui kuwa baba paroko ni muungwana?

Na kuna uungwana gani zaidi ya huo wa kumpatia kondoo hitaji lake?

unaweza kusema wanahitaji nini paroko?

aisee parokia sasa inakuwa casino naona!
 
kuna viumbe hapa vinaulizia jinsi gani ak-47 na missile bombs vinavyofanya kazi!

kibaya zaidi, vinamuuliza mke wangu miss neddy kimbea mbeaaaa!!!

sasa parokia hii ya wanafiki nataka niinyweshe dawa!

short cut...
hilo tu....achana nao, wakuache......
 
niko nafanya inner talk na yeye.. please uwe unachanganya na kizungu kidogo eenh!

ukiongea kiswahili complete sikupati vizuri..

ohoooo owky ila leo itabidi ufanye hitimisho btn me na malaika wako
 
ohoooo owky ila leo itabidi ufanye hitimisho btn me na malaika wako

mtasaidiana tu usijali, mbona kaizer anao wake wanne bana na mambo yanaenda vizuri?

usiwe na wasiwasi kuhusu hilo wangu wa moyo! usijipe shida wakati mi nipo!
 
Back
Top Bottom