Wito kwa Miss Neddy

Wito kwa Miss Neddy

my hubby miye sijaenda kwa Kaizer kwa makusudi nilienda kule kwa ajili ya maombi only baada ya
kuona sikuelewi elewi halafu sikujua kama hasimu wako mkuu samahani mpenzi sirudii tena.

Njooon parokiani enyi nyote msubuliwao na kuelemewa na wapenzi wenu nanyi mtapumzika!
 
Last edited by a moderator:
Njooon parokiani enyi nyote msubuliwao na kuelemewa na wapenzi wenu nanyi mtapumzika!

parokiani ni ukimbizini ennh!!? hahahaaa!

aisee ninnyi mnajua sana kucheza na fursa... ngoja nione reaction ya Angelicious hapa live!
 
Last edited by a moderator:
mtasaidiana tu usijali, mbona kaizer anao wake wanne bana na mambo yanaenda vizuri?

usiwe na wasiwasi kuhusu hilo wangu wa moyo! usijipe shida wakati mi nipo!

ohoooooo mitala tenaaaa mhhhhhhhh hapana lazima mzigo utakuelemea
 
come-on-me sweetie! you are my everything you know! kwanza nilikutumia card ya pongezi kwa performance ya jana!

hivi uliiona honey? aisee nimejichokea hapa nilipo kama nini vile! aisee ninyi wanyantuzu si wa kuchukulia pole pole duh!!

Wewe Mbona macho yako makavu sn? Au kwasababu unasema Uongo sn?
 
Mnaanza kujadili siasa Chit-Chat??

umeona Eiyer ulivyoanza kuingilia mgogoro kati yangu mimi Excel, Kaizer na MPENZI WANGU WA UKWELI miss neddy?

baba paroko ilikuwa imejensi
miss neddy nae hakusita kukubembeleza kwa neno hilo... nawaangalia tu!

Huyo dogo achana nae

na wewe nae ukamsisitiza mpenzi wangu aniache... !!! SASA SEMA.. UNAMTAKA?

Kwani wewe ulikua unamaanisha nini?

mkaendelea tu huku mi nawaangalia kwa makini!
 
Last edited by a moderator:
ohoooooo mitala tenaaaa mhhhhhhhh hapana lazima mzigo utakuelemea

hapana mamii.. unajua siku hizi ndoa ni zaidi ya inavyodhaniwa... nielewe bebii! just assume ceteris paribus!
 
Back
Top Bottom