Mbona sauti.inakata kata tuweke.mic vizuri
paroko, ulionywa kuhusu ubaguzi! waumini wote ni sawa, kwaniini unawabagua?
mbona Mentor kaoa? yeye katoa kitu kidogo au ndo anakuunganisha eenh?
Nicas Mtei na Asprin mbona mbona wana wake zao?
wao wameozwaje?
cc.. Ntuzu, his excellency!
Mkuu dada yng atatoroka! Maana kaisha kwa former Bazazi!
paroko, ulionywa kuhusu ubaguzi! waumini wote ni sawa, kwaniini unawabagua?
mbona Mentor kaoa? yeye katoa kitu kidogo au ndo anakuunganisha eenh?
Nicas Mtei na Asprin mbona mbona wana wake zao?
wao wameozwaje?
cc.. Ntuzu, his excellency!
We mtoroshe tu!
Nimesema hiyo ndoa haifungwi na nitahakikisha taarifa inafika kwa Mhasham Askofu hadi kwa Papa ili kuizuia Duniani kote
Siwezi kulala usiki na usingizi ukaja huku nikijua kuwa dada yetu tumemkabidhi bazazi ....lol!!!!!!!!!!!
Bora atoroke ili asionekane aliondoka kwa baraka zako mkuu!!
haaaa!!! mkuu kweli ntakuwa nimemtendea haki malikia wangu.. malikia ananata sana jamani, anapendeza huyu mtoto, akiniangalia nahisi nampigia magoti aseme ndiyo nakupenda, jamani nimtoroshe miss neddy?
huyu binti ni kifaa haswaa!!! anafaa kusafiri kwa hummerH3 nyeusi kabisa!
Ha ha ha haaaa! Imekula kwake!
huyu mke wangu huyu