Bora umemuuliza ndugu yangu yaani aekuwa kama popo maana si ndege wala mnyamakoma we, ninyi ndo mnampoteza Angelicious... wewe mara Daudi1 mara uran!
sasa tukueleweje!? uran kakunyima nini?
Wewe njoo moja kwa moja kwangu huyo 'valentina' si miliki yangu mimi niko thingo
Huyo anakuongopea kabisa mimi na uran hatuna undugu wowote ila nilitaka kumpindua sema mapinduzi yakagoma
Baba paroko amekataa kuwafungisha Ndoa
Dah! nilikuwa nimekaa chini ya mwembe huku nikiwa na njaa naona embe limeanguka lenyewe acha nilePatamu usiniambie best yangu Daudi1 unapata jiko baada ya upweke na mahangaiko ya muda mrefu?
Usisahau tu kunitambulisha wifi tumlee kama yai.
Kaka yangu Excel ubazazi unamzidi.
Ha ha ha haaaa! Imekula kwake!
Dah! nilikuwa nimekaa chini ya mwembe huku nikiwa na njaa naona embe limeanguka lenyewe acha nile
Bora atoroke ili asionekane aliondoka kwa baraka zako mkuu!!
Aisee tukae tu tukodoe mijicho best.
haaaa!!! mkuu kweli ntakuwa nimemtendea haki malikia wangu.. malikia ananata sana jamani, anapendeza huyu mtoto, akiniangalia nahisi nampigia magoti aseme ndiyo nakupenda, jamani nimtoroshe miss neddy?
huyu binti ni kifaa haswaa!!! anafaa kusafiri kwa hummerH3 nyeusi kabisa!
Kwani uran hamtoshi? mtaka mawili kwa pupa hukosa yote ngoja nitulie na mtoto nimpunguzie machunguValentina shostito njoo huku luv, huku unakanwa leo. Yaani Daudi1 hafai kwa mafuta wala nazi. Ngoja siku umeme umkatikie si jenereta tu atakosa hata mshumaa hatouona. Yangu macho