Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,112
Eti nini?
Kuna jamaa kapita na gari anasikiliza wembo wa 20% - Malumbano, kidogo nimkimbize niendelee kuusikia
ujue muda mwingi nipo kijiweni nang'arisha viatu vya wateja!
kumbe ni ubazazi at work....!Huyu senior bazaz amefanya mapinduzi
usijari my dear we piga kazi tuijengw nnchi mi nipo kwa ajiri yako
Aiseeee.........!!
Nazidi kuunganisha dots tu!
Mwanyasi ntakupasua dogo!
Yani ntakuvunjaaaa! Mpaka ukose pa kupitishia msosi!
We ngoja, naona una hamu ya kula kwa mirija wewe!!
Na we miss neddy! Hebu kafue combat kwanza halafu unieleze kwa kina!! Huyu under 18 ni nani hasa!
Aiseeee.........!!
Nazidi kuunganisha dots tu!
Mwanyasi ntakupasua dogo!
Yani ntakuvunjaaaa! Mpaka ukose pa kupitishia msosi!
We ngoja, naona una hamu ya kula kwa mirija wewe!!
Na we miss neddy! Hebu kafue combat kwanza halafu unieleze kwa kina!! Huyu under 18 ni nani hasa!
mhhhhhhhhhh unataka tuongeeee kizungu unisainishe mikataba ya kinyonyaji au big no tumia lugha ya taifa
ulimhola Excel but why hujielezi kuhusu Angelicious
nimekupa like kwa sababu ya kazi kubwa sana tulioifanya usiku wa jana.... you are very sweeeeet miss neddy!
but... nahitaji maelezo! who is this Mwanyasi sijui nn! aaargh!
nijieleze? nijieleze nn kwa Angelicious? that msonyo was a complete habari maelezo to me!
aisee mimi nikisonywa huwa nasikia kama nimeshikwa tak.o! kama ni ndoa naiacha na kuivunjilia mbali mara 1!
achana na head ache Excel ushakula lunch kwanza weye
neddy sweetie nilishakwambia huyu jamaa sitachelewa kumtembeza upande upande mpaka makao makuu!
hiivi Mwanyasi ndo nini? mbona hajitokezi hapa parade kionekane?
Mnaanza kujadili siasa Chit-Chat??
achana naye usitafute ugomvi usio wako ndugu
mwache awe hivyo hivyo
mpenzi wangu.. honeyto! sweetie!! mama watoto wangu! the one and only!... kwanza nikupongeze kwa kazi nzito! mmh!
you rock baby! sikujua wala kudhani kama una uno kama dondora! heee! utaniua aisee!
baby njoo basi tupate supper kwa pamoja basiii!
btw, kuna kiumbe kinajitahidi sana kukutaja taja...! kinaitwa Mwanyasi sijui.. sijui nani vile! who is this to you?
amu..... for your information in the public newspaper....!