Wito kwa Miss Neddy

Wito kwa Miss Neddy

Patamu usiniambie best yangu Daudi1 unapata jiko baada ya upweke na mahangaiko ya muda mrefu?
Usisahau tu kunitambulisha wifi tumlee kama yai.
Kaka yangu Excel ubazazi unamzidi.

we nae kwa kunimanga!!!!!! hujambo lakini mamii?

nimekusalimia tuu jamani! wasiwaze zaidi ya hapo eenh! sawa sheriiii?
 
mamii.. !!!! habibiiii!!!! mupenzi yangeee!!

niambie wangu wa ukweli!!!

xoxoxoxoxooo!!!! love you miss!

sina usemi king nakula maneno yako ya kimahabat kama masongi ya kihind vile
 
hahahahahahahahaha hapa ndo unaponikoshaga maana wajua kucheza na vitenzi wacha kabisaaaa

bebii jamani naomba basi na leo tucheze!!! lile zoezi la jana limenilainisha sana mgongo!!

yani najisikia mwepesiiiiiii!!!!

kama napaa vile kumbe wewe ndio unanipika wajameni!
 
sina usemi king nakula maneno yako ya kimahabat kama masongi ya kihind vile

jamani nimemiss sana lile chum chum lako la dakika nzima non stop!

unalikumbuka lakini vizuri?

hebu limwage hapa hapa wajinyongeeeee!!!
 
Wewe njoo tuongee vizuri upate pumziko la moyo wala hamtakuwa wawili utakuwa peke yako,huyo valentina siyo wangu

kwa nani? Angelicious? ngoja nione kama alikimbia kwa lazima au alikuwa kweli anataka usalama!
 
Last edited by a moderator:
unasema? uran na Daudi1 wana correlation yoyote? uran na urefu woote, super black, misuli kama anorld shoziniga, anaongea kama jerry springs mmh!

sasa daudi1 mwenyewe baba!! wacha nyamaze! mambo ya kurushiwa virus usoni mi siwezi! hahahaaaaa!! mbavu zangu mie!

Bora unyamaze kweli mana unefulia
 
Last edited by a moderator:
Huyo anakuongopea kabisa mimi na uran hatuna undugu wowote ila nilitaka kumpindua sema mapinduzi yakagoma
hahahaaaa!!! yaligomaje wewe? huna zana ama?

sema nikuazime sera ufanye mapinduzi salama!
 
bebii jamani naomba basi na leo tucheze!!! lile zoezi la jana limenilainisha sana mgongo!!

yani najisikia mwepesiiiiiii!!!!

kama napaa vile kumbe wewe ndio unanipika wajameni!

sasa unakoelekea siko Excel kumbuka katiba ya sukumaland ibara ya 12 inasema hata ukoshwe vp usiutangazie ulimwengu
 
Last edited by a moderator:
Ndo hivyo Daudi1 au hujaelewa? Valentina amekubali kwa hiyari yake mwenyewe bila kulazimishwa na mtu akiwa na akili zake timamu niwe mke mwenzie mana nimeachwa na Excel

mamii mbona una haraaka hivyo? mbona una mapenzi mema kabisa na mimi? mtoto mashaaallah!!! hebu kuwa na subira na msimu huu wa kimvua mvua! haya mambo yanapita.. ntakuhalalisha tu na mwenzio neddy!
 
Valentina shostito njoo huku luv, huku unakanwa leo. Yaani Daudi1 hafai kwa mafuta wala nazi. Ngoja siku umeme umkatikie si jenereta tu atakosa hata mshumaa hatouona. Yangu macho

We mwache ajifanye kidume kama sijaeka uzibe kwa huyo malaika.
 
sasa unakoelekea siko Excel kumbuka katiba ya sukumaland ibara ya 12 inasema hata ukoshwe vp usiutangazie ulimwengu

i dont care who you are... who are they.. what matters you love meeee!!!

i announce this in my mother tongue!!!! i love this beautiful flying lady! direct from my heart..!
 
nijuavyo mie Excel ni senior bazazi..sijui kama atabadilika..lakini kama mdogo wetu ka fall deeply wacha waoane

ahsante sana kwa baraka my .. my eer, my nun!

uthiku mwema eenh!! ulale swalama!
 
Back
Top Bottom