Huu ni wendawazimu... kuwa mkuu wa Muhimili usioweza kujisimamia kushindwa kwako kama Jaji Mkuu wa Tanzania...
Hufai
Umeshindwa
Huna weledi
Mkuu
Mzee Mwanakijiji, kwanza with due respect, naheshimu maoni yako, hata kama sikubaliani nayo, kwasababu, everybody has the right to h/is/er opinion, to me this is too harsh and not fair!
Hapa jf, japo all the members are equal, ila kuna members who command much respect humu, you are one among them, ukisema ni jf imesema!
Tanzania tuna mihimili mitatu, kuna wakuu wa mihimili wamefanya mambo ya ovyo na madudu ya ajabu kabisa, ambayo sio tuu ni.ya ukiukwaji wa katiba ya JMT, bali uvunjaji wa katiba, wazi wazi mchana kweupe, lakini sikuwahi kukusikia au kukusoma ukikemea kwa maneno makali hivi, compared na anachofanya CJ!.
Wakuu wangapi wamefanya madudu ya ajabu lakini haujakemea kihivi,
Hufai,
Umeshindwa,
Huna weledi!, kwa vile jf ni kubwa, inawezekana ni mimi ndio nime skip, uliwahi kumuamuru mkuu mwingine yupi wa mhimili ajiuzulu, zaidi ya enzi ile ya JPM, ulipoanzisha MADA HII HAPA BONYEZA HAPA
Na mimi nikaipigia chapuo kwa kukuanzishia mada NYINGINE BONYEZA HAPA sikumbuki kama wewe uliwahi kumtaka mkuu yeyote wa mhimili kuachia ngazi kwa ukali huu licha ya madudu yao, likiwemo kubwa kuliko lile la ile siku!.
Kuhusu kesi ya Lissu, unataka CJ afanye contempt of the court kuiingilia mahakama Kuu, au yeye ndie afanye kazi ya DPP to pronounce nolle?.
Bahati nzuri sana, mimi sio najidai nina, bali nina jicho la ndani la kuangazia haki, ukimtazama tuu CJ Masaju, unaiona haki kwenye paji la uso wake, kauli zake na matendo yake,
Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki? jicho hili la haki analo, hivyo
kumtaka aachie ngazi kwasababu tuu ya hii kesi moja ya TL, sio kumtendea haki!.
P