Tatizo vitoto vya siku hizi vinazaliwa vitundu mno...!
happy birthday braza ericB52 keki tu ndo nataka mimi....zawadi nitaku ezzy-pesa!
happy birthday braza ericB52 keki tu ndo nataka mimi....zawadi nitaku ezzy-pesa!
Kwa niaba ya mahabuba wangu Lady doctor, tunakutakia kila la kheri katika kumbukumbu yako ya kuzaliwa swahiba wangu Erickb52.
Siku hazigandi ni mwaka jana tu tulisherehekea miaka yako 73 sasa ushagonga 74 !!
MUNGU akupe maisha marefu best.
my bro happy bday nakutakia maisha marefu yenye amani na utulivu na furaha sana
acha kujifanya unazo na kumbe hata baiskeli huna unaliwa tu wewe, na wala hatukutaki kwenye familia yetu,
usijipendekeze mtwana na mtumwa wewe ebooo!
We Block City hebu acha kumkuza mwenzio khaa, your bro wakati mwenzio ndio kazaliwa leo heeeee..... Ahsante kwa wishes kwa niaba ya mtoto Erickb52