With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

Nami nakushauri u s i m w a c h e m u m e o, mpaka kieleweke. Mtuige sisi, Lady doctor atakupa mbinu za kukabiliana na kina Bishanga, PakaJimmy, Kaizer, Ruttashobolwa na wakware wenzao kina Filipo.


BCC Erickb52.

Shindwa shetani!!!?

.
Mkuu,
Ukware mi niliacha baada ya kuona ulivyoumizwa pale Korogwe aisee babaangu!
Nilishuhudia ulivyomgharamia Arabela mavituvitu mengi, nauli, matunda aina ya peas na yale matunda-damu, Kitambaa cha SoSo, na Airtime, lakini baadae, kwa maringo kabisa akaondoka Filipo kuelekea Makorora, na wakaishi kwa siku 4 ndani ya chandarua moja!!!.

Kama marejesho hakujua hili, basi na ajue leo!


Mke wangu marejesho usisikilize maneno ya PakaJimmy! Ameingiwa na pepo mvunja ndoa!
Arabela nitakutafuta tuizungumzie siri yetu!
 
Last edited by a moderator:
Nami nakushauri u s i m w a c h e m u m e o, mpaka kieleweke. Mtuige sisi, Lady doctor atakupa mbinu za kukabiliana na kina Bishanga, PakaJimmy, Kaizer, Ruttashobolwa na wakware wenzao kina Filipo.


BCC Erickb52.

We nae toka uopolewe na lile jimama kambi ya fisi umehamia analogia..... Utajiju na bado

Mdada hebu kaa kitako utupe habari kamili, unasema Filipo amempata mmama wa HYENA CAMP...? Na marejesho je?

Hivi Baba V hayupo kazini siku hizi!
 
Last edited by a moderator:

sisy kumbe kulikua na party?
daaah nimeikosa ila hata kama nimechelewa
happy birthday Erickb52,haki ya nani keki yangu nadai!!
 
Last edited by a moderator:

sisy kumbe kulikua na party?
daaah nimeikosa ila hata kama nimechelewa
happy birthday Erickb52,haki ya nani keki yangu nadai!!


Heeeee sisy ulikuwa wapi siku zote? Keki shemu alikuchukulia mdai akupatie!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom