Asante mpenzi.
tunakupenda pia bestito ondoa shaka kama nitapata nafasi naweza kuja
Siamini kama umerudi JF mi nipo Nairobi nakusanya hela za kugombea urais 2015 mgombea binafsi,za siku mob? mzima?baby nani alikuiba jamani?
kumbe hiyo ndio peremende!!! Nilikuwa sijuagi ati!!!!!!!!!!
Na usirudie tena kumstress mke wangu
Haswaaaa....
Halafu sijui kwa nini huwa nikiona jina lako nakumbuka siku ya kwanza nilivyokukaribisha JF...hahaha
hahahaaa, nami nikiona jina lako nakumbuka lillejibu ulilotoa kwenye ile thread yangu niliyotaka mnijibie swali langu la 'cheupe kama maziwa' teh teh!
....mume wangu taratibu,usikasirikeAcha kumzingua mke mwenzio bhana oooh ntakulima taraka ujue shauri yako
Ohooo we malizia tu hiyo mambo urudi tubananeDah . . . basi bana tufanye imepita hiyo ikirudi pancha.
Ila mumeo kaelewa ndo maana kajiwahi!
Mimi penda wewe sana atiiNa usirudie tena kumstress mke wangu
HahahahahahaKwani umeambiwa mi ni kifaa cha kustressisha?