With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

karibu
kua uwe m'babu mwema
Dear sweetlady
Ninaomba kukushukuru sana kwa kunitakia heri katika siku yangu hii ya kuzaliwa...Pokea thanks zangu!
Sina la kusema...ila umenifanya nirudi kundini kwangu (Chitchat) coz ni miezi kadhaa sasa tangu niwe nje ya jukwaa.
Thanks for your love and care.
Nichukue fursa hii kuwashukuru wanaJF wote toka maujukwaa yote bila kuwasahau mods wote Invisible , Paw , Moderator na wenzao.

Niliwamiss sana wapendwa The Boss thanks sana, watu8 Baba V mimisa Paloma sosoliso PakaJimmy TANMO Heaven to earth babaa Arushaone shem shansarie na mumewe kiwatengu Arabela YNNAH Mamaa KOKUTONA Mamndenyi Bishanga (Miss you mkuu) Slave , Lisa snowhite Blaki Womani (Miss you sister) Filipo Mungi marejesho LiverpoolFC Mr Rocky (Tukutane Meatu tukagawane watoto wetu) ladyfurahia (Sister Upooo?) Nivea (Hajambo KakaKiiza ?) Mrembo by Nature (Miss you), Mentor (Wapi dada yako beibe nasty ?) Block City KakaKiiza (Thanks bro), Lady doctor (Miss kiwowowo) bila kumsahau Preta na mumewe mtu chake Madame B (LongTime mdada) Nicas Mtei(??) charminglady na Elizabeth Dominic (Nawamiss sana jamani) Vin Diesel ???.
Duh ni wengi sana....jamani nawashukuru wote na niliwakumbuka sana hasa The secretary (Salamu kwa mtoto).
Dada zangu Fixed Point Roulette na AshaDii nawamiss sana.
Pia ninawashukuru sana wake zangu kwa mapenzi yao ya dhati kwangu....Asante sana Amyner (Miss you) Chocs (You are ma number 1), Kipipi (Mwaaaaah) Remmy (Thanks for caring).
sweetlady thanks a lot kwako na kwa mumeo nitonye ....!
Bishanga tuonane baadae.
 
Nimenong'onezwa na baby Erickb52 eti umeniandalia fast jumbo ya kuja kunichukua nije kwenye bethi dei. Kweli?
Chocs achana na Erickb52 ana wivu kama nini hajui mimi na wewe tumetoka mbali na hatukukutana barabarani na isitoshe wewe ni cousin wangu bana KOKUTONA nakuja faster kukuchukua uwahi birthday party tena faster kabisa
 
Last edited by a moderator:
Emu nambie kuna nini kinaendelea hapa mana sielewi


Chocs una maswali mengi kwani wewe ni polisi? Ukiendelea na maswali sasahivi namchukua Erickb52 namrudisha alipokuwa!.... Badala unishukuru nimekuletea wewe wanihojihoji khaaa!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom