Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Mkuu kufanyia remix wimbo unaoupenda haijawahi kuwa kosa sana sana unaomba ruhusa ya anaeumiliki.Sasa Kama Chadema wameufanyia remix na mmiki wake amekasirika basi aende mahakamaniNyumbu at their best.
Yaani wanatetea hata upuuzi. Tungeni nyimbo yenu ya kukitukuza chama chenu sio ku edit our National anthem.