Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Ndio nimeshakuwa rahisi wa nchiWewe unafaa kuwa mnyampara wa barabara TU.
Ndio nimeshakuwa rahisi wa nchiWewe unafaa kuwa mnyampara wa barabara TU.
Upuuzi huo .. Rasilimali zilizopo katika taifa hili na hivyo ulivyo vitaja ni sawa sawa na hakuna kilicho fanyika ... Watu wanaishi hata maji hawana wana kunywa maji pamoja na mifugo licha ya hii nchi kuwa na mito ya kutosha ..mabwawa na maziwa but still raia wa nchi hii wanaishi katika shida ya majiMbona wameweza.
Flyover ya Ubungo
Flyover ya TAZARA
upanuzi wa barabara ya Kimara hadi Kibaha
Upanuzi wa bagamoyo road.
Unataka nini tena
Ccm oyeeeeeeee
Hili linareflect mambo mengi sana.Tulishindwa hadi kutunga wimbo wetu ambao wengine kama Kenya waliweza
Hata Zanzibar wimbo waliweza tunga wimbo wao.Tulishindwa hadi kutunga wimbo wetu ambao wengine kama Kenya waliweza
Huyu binadamu ni shidaNdio maana tumekuwa tukisema kuwa Tundu Lissu ni binadamu mwenye akili hatua moja mbele ya watu wengi.
Hilo jambo la kutambuliwa kisheria wimbo wetu wa taifa alisha lisema bungeni na serikali hii iliyo lala usingizi hata haijagutuka.
Mkuu mbona Mimi napinga uzalilishaji wa aina yoyote tu ule nikiuona maana kina Dr mpango nao waliitwa wapumbavu, I do believe mheshimiwa alipitiwa tu ulimiHuwa sikuoni ukikemea Kiongozi mkuu wa nchi anapowadharirisha wanawake , sijui ndio mahaba au ni kutokutambua nguvu zielekezwe wap?
Tumpe miaka mingine 20 mtukufu magufuli Atuletee maendeleoUpuuzi huo .. Rasilimali zilizopo katika taifa hili na hivyo ulivyo vitaja ni sawa sawa na hakuna kilicho fanyika ... Watu wanaishi hata maji hawana wana kunywa maji pamoja na mifugo licha ya hii nchi kuwa na mito ya kutosha ..mabwawa na maziwa but still raia wa nchi hii wanaishi katika shida ya maji
Mbona hata huo watu wanaukemea Sana tu ka Uhuru wa watu kutoa maoni na hata vyombo vya habariSasa unacholalamika ni nini?? Mnashindwa kukemea ubaguzi unaofanywa na watawala mnakuja kujibebesha vitu vya kawaida.
Mkapa nae aliwaita watuMkuu mbona Mimi napinga uzalilishaji wa aina yoyote tu ule nikiuona maana kina Dr mpango nao waliitwa wapumbavu, I do believe mheshimiwa alipitiwa tu ulimi
Ndio kukengeuka huko na kupitiwaMkapa nae aliwaita watu
MALOFA NA WAPUMBAVU
Je naye alipitiwa ?
Kama alipitiwa basi na chadema walipitiwa.
Sawa hatuna umiriki nao,
Lakini tutumie busara Basi,huu wimbo unaheshima yake hapa bongo,unaimbwa bungeni,Ikulu,mashureni hata kwenye matamasha ya kimataifa,huu wimbo ni Kama Sala kwetu,
Tukienda kushiriki kombe la dunia,huu wimbo unapigwa,sasa Chadema msijifanye mna akili sana,kuriko watz wote,hata Kama hakuna Sheria inayoulinda,msiuchezee,mfano mkichukua madaraka mnaweza kuongeza ubeti wa kichaga,kinyiramba,kisukuma,kimakuwa kwenye huu wimbo?
Acheni Kiki za kitoto,yaani mmenichefua sana,
Kweli wewe hujijuiMkuu kufanyia remix wimbo unaoupenda haijawahi kuwa kosa sana sana unaomba ruhusa ya anaeumiliki.Sasa Kama Chadema wameufanyia remix na mmiki wake amekasirika basi aende mahakamani
Heri yako usiyesoma udaku Mkuu, maana unajua kila kitu.Kumbe ulikuwa hujui?? Uwe unasoma vitu vya maana acha kusoma udaku tuuu!!