Mbona wameweza.CCM ndio imetufikisha hapa .. Kama nyimbo ya taifa tu wameshindwa kutunga ndio wataweza kuiletea nchi hii maendeleo !?
Acha kulialia Kama ni kosa mahakama zipo wazi nenda 😂.Common sense ndogo imewashinda very shame
Ndio maana tumekuwa tukisema kuwa Tundu Lissu ni binadamu mwenye akili hatua moja mbele ya watu wengi.Nilichogundua hapa ni kuwa, kuna mambo mengi Tz tunayafanya ya kiserikali lakini kiuhalisia yako kienyeji sana.
Yaani tunaimbishwa wimbo wa taifa ambao hatuna hati miliki yake na wala haulindwi na sheria.
Sasa haya yanamsaidia nini Bibi yangu aliyeko kyato?Mbona wameweza.
Flyover ya Ubungo
Flyover ya TAZARA
upanuzi wa barabara ya Kimara hadi Kibaha
Upanuzi wa bagamoyo road.
Unataka nini tena
Ccm oyeeeeeeee
Awe mvumilivu nyama zipo chini, aanze kula mchuzi kwanzaS
Sasa haya yanamsaidia nini Bibi yangu aliyeko kyato?
Sasa ni nchi za wenzetu kule wamepigia hatua za kimaendeleo, wanaheshimu haki za binadamu Ila Napo huwezi kuta wanachezea wimbo wa taifa kunakuwa na limitNchi za wenzetu wanaamini uhuru wa vyombo vya habari , uhuru wa kuandamana, uhuru wa kuongea, uhuru wa kuchagua viongozi wanaowataka, mbona serikali ya Mutungi haiyaongelei hayo kama yanavyokiukwa na wao wenyewe ?
Aende wapi wakati anafuata mkumbo tu kama li mutungiAcha kulialia Kama ni kosa mahakama zipo wazi nenda .
Mimi mbona sijaliaAcha kulialia Kama ni kosa mahakama zipo wazi nenda .
Real economy should be people centered.Awe mvumilivu nyama zipo chini, aanze kula mchuzi kwanza
Kinachofanya hapa tusiwe na hayo maendeleo ni nini ?Sasa ni nchi za wenzetu kule wamepigia hatua za kimaendeleo, wanaheshimu haki za binadamu Ila Napo huwezi kuta wanachezea wimbo wa taifa kunakuwa na limit
Siasa nyingine hazifai hasa kwa uelewa wa watanzania wengi. Wanahitaji kuwa smart na kuepusha Mambo yasiyo na kichwa Wala miguu, too much mihemko. Wakidhibitiwa wataanza kulia Lia, maana Wana force serikali itumie nguvu, na wao ndo wanaoumiaNaona wanarudi kwenye siasa zao za fujo wakidhan wanajenga kumbe wanajibomoa
HapanaReal economy should be people centered.
Sasa unacholalamika ni nini?? Mnashindwa kukemea ubaguzi unaofanywa na watawala mnakuja kujibebesha vitu vya kawaida.Mimi mbona sijalia
😂😂Aende wapi wakati anafuata mkumbo tu kama li mutungi
Huwa sikuoni ukikemea Kiongozi mkuu wa nchi anapowadharirisha wanawake , sijui ndio mahaba au ni kutokutambua nguvu zielekezwe wap?Siasa nyingine hazifai hasa kwa uelewa wa watanzania wengi. Wanahitaji kuwa smart na kuepusha Mambo yasiyo na kichwa Wala miguu, too much mihemko. Wakidhibitiwa wataanza kulia Lia, maana Wana force serikali itumie nguvu, na wao ndo wanaoumia
😂😂 Wewe unafaa kuwa mnyampara wa barabara TU.Hapana
Sisi ccm tumeamua kuwekeza kwenye maendeleo ya vitu. Nyie watu tulieni kwanza, ila kama wewe msukuma unaweza ukapata ajira ya kusogeza siku ila kama ni mchaga , utasubiri sana.