Wimbo mpya wa R.O.M.A,-2014

Wimbo mpya wa R.O.M.A,-2014

Tatizo kubwa ni watu hawaelewi maana ya Hip hop!
.
Eti
kila binadamu ana upendo, kwa yule amtakae/
na kila mmoja anawaza atampataje amtakae/
.
Na
.
Wanao jiita wakali hizi salamu ziende kwenu/ mi ndo emcee hatari nnaeogopwa na bamsa wenu/
akija kusema na (kama mke wa mtu sumu mi gheto nina maziwa)
.
Basi watu wata waona wamaaaana kuliko anae andika hivi!
.
RPC usitume kikosi ili uiangushe chadema/ italipwa Damu ya mwangosi Iringa Semeni amina/
.
Daaaa kweli Hip hop ni kuielewa usikivu!
 
huyu jamaa hajui kunata na biti bali anaweza kupayuka juu ya biti ndio maana nyimbozake zote hazina tofauti ya melodi
 
Kama humuelewi R.O.M.A sio lazima kusikiliza nyimbo zake, rahisi tu, sikiliza za wale unaopenda kuwaelewa mbona wapo wengi tu kwenye game!? Nikutajie!? Kwanza sapoti yako kwa sanaa ni ipi!? Unahudhuria shows na kununua kazi zao halali au ndio kusikiliza bure tu redioni na kudownload free tu mitandaoni!?
 
huyu jamaa hajui kunata na biti bali anaweza kupayuka juu ya biti ndio maana nyimbozake zote hazina tofauti ya melodi
Kwakweli namshauri aanze kutafuta wa kumtungia nyimbo na melody.
 
Huwezi elewa hiphop kama hujui mziki na hupendi kuumiza kichwa chako kufikiri,kwa jinsi nilivyofuatilia comment za watu hapa nimeona wengi ni chuki binafsi tu kumponda roma yaani bongo kila msanii hakosi maadui ukija kwa diamond wanamponda sijui nyumba yake hamalizi kujenga ukija kwa huyu roma anaefanya mziki wa tofauti kabisa nae unasikia wanasema eti kafulia hawezi toka tena huyo kaamua kufanya rap siasa so usitegemee wala yeye hategemei kupata show za nje coz anazungumzia siasa za bongo,kiukweli namuelewa sana roma na hii kkk ni bonge moja la pini hasa verse ya pili ndo kaua mbaya na yule jamaa aliyemshirikisha nicozola naye kamaliza kila kitu.
 
huyu jamaa hajui kunata na biti bali anaweza kupayuka juu ya biti ndio maana nyimbozake zote hazina tofauti ya melodi

kama unajua mziki jaribu kusikiliza country music utaona kwamba almost nyimbo zote melody ni sawa na waimbaji ni tofauti what matters ni message sio kutafuta melody by the way hiyo ndo uniqueness yake ulitaka abadilike aimbe vipi???
 
siwezi kuwa na bifu na uyo mtoto mdogo mkomao ,,nyimbo zenyewe hawezi kutengeneza,,alibahatisha hatakaa atoke tena...kama nilivyosema wakati anatoa wimbo 2030 kuwa utafeli na kweli ulifeli na huu kkk pia utafeli..

Huna akili ww rudi darasan, redio zote n kkk hakuna kingneer, well done Mkatolik


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
R.O.M.A kama mzembe wa kufikir huwezi mwelewa,na kama hip hop unafuata mdundo wa muziki tu bila tungo,utazidi kumchukia.wasanii kama roma nchini wanaesabika kuanzia uandishi mpaka kukubalika fuatlia shoo zake utanielewa.msanii mwenye kuandika kile ambacho kinaitesa jamii yake.sio hao wa ngono na pombe kila siku na kutaja majina wimbo mzima

"Ukinianzisha stijin nasepa na kijiji" roma huyo msemen vibaya lakn n miongon mwa wana hip hop bora wa kizaz cha 2000, hutaki jinyonge


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Si kila aliepata zero ni zezeta ata kama alikua anatafuta vina ila kumuita aliepata zero ni zezeta si sawa. Hao anaowaita mazezeta ndio mashabiki wake mfyuuuu sielewi huwa anaimba nini
Tupa kule zezeta mwenyewe mie shabik wake kufa na sina hist ya kufail pepa ..,, pole kma kakutach mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Hongera ROMA..naona Redioni unapata Airtime na huku JF una thread inaendelea kwa spidi..
sio wasanii wengi wa HIP HOP wakitoa nyimbo hufunguliwa thread humu JF
 
mziki unataka ujiamini....huyu bingwa roma ninapomkubali mimi hanaga papara kutoa wimbo mara kwa mara!anakaa chimbo mwaka analeta msiba anazama tena chimbo akija anakuja na pini la dakika 6 au 7......siyo kama mwanangu kina izzo kila wiki wimbo mpya tena wa dakika 2 anaogopa unaweza kosa airplay

Hapa umeuma na kupuliza mkuu ila yote kheri
 
Si kila aliepata zero ni zezeta ata kama alikua anatafuta vina ila kumuita aliepata zero ni zezeta si sawa. Hao anaowaita mazezeta ndio mashabiki wake mfyuuuu sielewi huwa anaimba nini

Wape jina lako unalopenda ww basi. Wanaopta 0 ni vilaza ndio. Km ulikuwa na akili zako bahati mbaya inaishia 4
 
WATZ SJUI TUPOJE SOMTYMS???

tangu rapa aitwaye R.hymes O.f M.agic A.ttractions au ‪#‎R‬.O.M.A alivotoa wmbo wake K.K.K nmegundua
‪#‎Kwanza‬ ndo msanii ambaye anavotoa wmbo watu huisubiria kwaham na kwa attention kubwa kuliko msanii yeyote Tz
‪#‎pili‬ kuna watu wanamu-overcriticize xana uyu jamaa na vng wanavomdis ata havstaili kudisiwa yaan tunamdis tu bilapoint yamaana.
Wametoa nymbo akna Sheta,AY, FA,Izo B, Shilole, Mr Blue etc ila sjaona wakidisiwa kama ROMA japo anaimba vitu vyenye "sense" kuliko hao hapo juu, nmejiulza kwann inakuwa hiv na spat majibu. Kwaiyo mnabagua wakudis!!
.
ANYWAY IKO HIV

Muzk wa Hiphop una genre kadhaa e.g Hardcore hiphop, Horrocore ,gangstar hiphop, gospel hiphop e.t.c ila nataka nzungumzie matawi mawil tu, ‪#‎POLITICAL_HIPHOP‬ na ‪#‎CONSCIOUS_HIPHOP‬ kwanza mizk yote 2 inaendana na yote inalenga zaid kuu-challenge mfumo uliopo wa utamadun,siasa, falsafa na uchumi, kiufup sio lazma ubez ktk siasa tu ata kuelezea mambo yakijamii, kukemea maovu na kuwatetea watu wa kpato cha chn.
‪#‎MALENGO‬ YA POLITICAL/CONSCIOUS HIPHOP ni ‪#‎Kuitaarifu‬ na ‪#‎kuiabarisha‬ jamii matatzo na Issue mbalmbal na jamii ijaj yenyewe bila msanii kuforce mawazo yake yy ndo yafanyiwe kaz bal wananch ndo watengeneze opinions wao baada ya kufumbuliwa macho na msanii/emcee kuusu ktu flan
N.B: political na conscious hphp hazna tofaut ila labda ni v2 vdogo kama mdundo, Conscious hiphoP<C.P> song inatumia bit nyepes xana e.g Siri ya mchezo[FID Q] akat Political Hiphop <PH> song mara &#8234;#&#8206;nyng&#8236; zna "militant fashion" afu mara nyng msanii anakuwa amebez zaid ktk socio-political issues xana anakuwa kama ana ideology eg Marxism, socialism, libertarian e.g KRS1 na Individualsm e.t.c.<kasomenizaid>
Utagundua kila nymbo ya P.H ni nymbo ya C.H ila sio kila nymbo ya C.H ni ya P.H

N.B SIPO HAPA KUMTETEA ROMA ILA NATAKA KUWAONYESHA VNG MNAVYOMPONDA NI VYA &#8234;#&#8206;KPUMBAVU&#8236; KAMA IFWATAVYO;

1.Et "ANAIMBA VTU VNG KTK NYMBO kwaiyo haelewek anaimba nn!"
point mbov xana hii.
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=kwanza]#kwanza [/URL] hakuna kaz ya fasihi e.g hadith,tamthlia, na nymbo za hiphop zenye dhima/theme moja.Juz akat anatambulisha iyo ngoma pale Magic fm ROMA alisema KKK ni kama anawakarbsha ktk kalam wale wananch wanaopenda kumfwata aeleze tatzo flan ktk nymbo zake na ktk iyo kalam ndo wanadiskas ayo matatzo so apa katmiza malengo ya Political/conscious hiphop

2.Et "ROMA ANAIMBA TAARIFA YA HABARI". sizan kama taarifa ya habar inaimbwa ila anachofanya ni &#8234;#&#8206;kuipasha&#8236; habar jamii kuptia midundo juu ya matatzo yao kama defnition ya P.H na C.H inavomtaka msanii kuipasha habar jamii

3.ANATUMIA MANENO MAKALI. Jana nliptia wall ya msanii mmoja toka Tamadun ambaye kwa cku 2 mfululzo anatumia kumchambua Roma na akasema wasanii kutumia maneno makali haitakiw ktk mzk akmlenga zaid Roma.Yap ni kwel Roma kakosea lakn kwann Roma tu!!! nashukuru kuna mdada alikuja kumuumbua uyo jamaa akamwambia uyo jamaa kuna nymbo katoa ina maneno makali. nami nkamuuliza mbna Tz hakuna wasanii wanaotoa maneno makal kama One na Nii Mbsh alonao "kund moja" Tamadun, au kwann hawasemi Kalapna na Hashm wanaoweka matus yaloptlza na bado wanaamin hakuna kama Hashim Tz?? Kwawanahiphop wa mbele waskzen Geto boyz nymbo ya Point of No return hawakuogopa kuitukana serkal yao ya US,vyombo vya habar e.t.c kwa matus makal
sana, je huwa mnazdis nymbo kama hiz au mnazsfia tu kwa7bu ni wasanii tuwapendao!

4.K.K.K=KARIBU KWNY KILINGE
Wapnzan wakubwa kumponda Roma kwaxaxa ni fans&wasanii wa Tmadun na wameamua kuirefusha KKK waijuavyo wao tofaut na Roma.
huku wakmtaka audhurie kwny kilinge!
Najiulza kwann msiwaalike wasanii e.g Diamond au Dully,Darasa,Stamina kwann mnamwandama Roma,mmemganda kila cku aje kilingen??

5."ROMA ANAPGA MAKELELE TU" -haiitaj uwe na akil nyng ujue diss hii ni chuk tu co diss yenye point kmzk

6."ROMA ANAUNGAUNGA MISTARI"
Na hii inaongelewa kwa 7bu anaimba v2 vng ndan ya wmbo mmoja had wa2 wasoujua mzk wa Hiphop wanadhan ni vbaya wmbo kuongelea matatzo meeeng ya wananch. Ebu chekn nymbo ya &#8234;#&#8206;Why_rmx&#8236; ya Jadakis ft Common, Nas, styles P.2004 iyo. Ukchunguza kila msanii anahoj mambo meng xana hasa dhid ya serkali e.g Common anasema
"Why we build more police station than schools?,
why I gotta have a religion if i believe in God?
why is Bush acting like he is trying toget Osama?
Why dont we impeach him and elect Obama?...
Kwaiyo kwaakil zenu fup Common aliungaunga mistar apa?? Kama hakuunga kwann ukmblie kumdis Roma

N.B
-Siwakataz kumkosoa ROMA nataka mnapomkosoa muwe na point ya maana na kwann ukosoaj unaenda kwa Roma sana!!! Hapo ndpo mwanshangaza
-nmeandka hii posts co kama mshabk wa Roma! hapana nmeandka baada ya kuona unafik umezd iv hamuon kama tunamvunja moyo kjana mwenzetu aleamua kushka mic na kuimba matatzo au mnataka abane pua kama Barnaba ili msimponde?? Mi ni mshabk mkubwa wa Tamadun muzik na wik ilopta hum fb nmemsfu xana NIKKI MBISHI ktk birthday yake na kusema ni naamin Nik ni the most talented MC Tz na nshaponda wanaomdis STEREO hafany hiphop kisa kaimba mapenz

Umemaliza kila kitu. Naona yy kuwa chadema ndo knachowaumiza watu. Hizo zingine ni maneno tu
 
kwanza kabisa roma hayuko conscious kabisa...mc conscious ni yule anayetoa ujumbe,,roma atoi ujumbe anafanya mahubiri....kukujibu,wasanii wengi tu wapo conscious hapa bongo mfano ni One the incredible, Sugu,Dogo Hashim, Jay moe, Prof Jay

Jamaa uko mbali sana na huu utamaduni wa hip hop jaribu kufuatilia hata kidogo ni maana ya concious rap na roots zake hauwezi kusema ROMA hafanyi concious unaweza kuwa sahihi kutompenda kwa sababu zako ila sio kimuziki nitajie joint ya Hashimu dogo ya mwisho tumkatae ROMA kwa kasumba zetu sio kwa muziki anaofanya.
 
Roma mistari yake inaweza kua na ujumbe, tatizo anatumia style moja tu ya uimbaji!!

Yaani nyimbo zake zote utafikiri ni huohuo mmoja kwa jinsi flows za mistari zinazofanana!

Pili labda pia ajaribu studio ingine tofauti na TONGWE RECORD!! maana hata beats nazo ni zilezile tu za kufanana kwa nyimbo zote!!
 
Nyimbo za Roma ukiziondoa chorus,uwezi kujua ipi ndio ipi,anaimba yale yale kila siku..hawezi 'one n two' so kuchana hawezi
mkuu wewe utakuwa mjuzi kwenye haya makitu umeelezea vizuuri kabisa
 
Si kila aliepata zero ni zezeta ata kama alikua anatafuta vina ila kumuita aliepata zero ni zezeta si sawa. Hao anaowaita mazezeta ndio mashabiki wake mfyuuuu sielewi huwa anaimba nini
Ni kweli kama kapata ziro form four anaweza akawa mzuri kwenye ufundi magari
 
Back
Top Bottom