Wimbo mpya wa R.O.M.A,-2014

Wimbo mpya wa R.O.M.A,-2014

mpoto ananata na bit.
Ktk i'm not afraid pia eminem kapiga mikele.

Mpoto yeye anaghani mashairi ndiyo maana yeye huwezi sema anaimba hip hop wala bongo fleva wala takeu yeye ni mshairi na ndiyo maana ana tuzo ya mshairi bora.
 
"...nina msimamo kama mugabe kwenye mambo yakis**..."

huyu ny*ko anajua, daaaaah!!!
Mkuu matusi ni ishara ya kuishiwa cha kuandika kama alivyo fanya Roma baada ya kukosa cha kuandika akaandika matusi.

Naona una mtetea kwa matusi.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
kuna sehemu ktk huo wimbo wa roma kawataja vinega, sijapasikia vizur kama kawataja kwa mlengo gani...kwa aliemskia na kuelewa vizur tueleweshana kidogo ktk ule mstari...
 
"Aliyepata ziro form 4 mnamsukumia VETA,
mnaamini umeme wa magari unahitaji MAZEZETA?"
roma mkatoliki huyu jamaa ni fundi wa mistari...
Hajawahi kuboronga..KKK

"Bwa' mdogo anajiita HOVA ma' mdogo anajiita DIVA, ndo freemason fever?? this ridiculous.." haha, R.O.M.A. I salute him.
 
siwezi kuwa na bifu na uyo mtoto mdogo mkomao ,,nyimbo zenyewe hawezi kutengeneza,,alibahatisha hatakaa atoke tena...kama nilivyosema wakati anatoa wimbo 2030 kuwa utafeli na kweli ulifeli na huu kkk pia utafeli..
/kazi ya kichwa sio kufugia nywele.R.O.M.A kichwa mkuu
 
roma ni kama anatangaza taarifa ya habari kwa kutumia style ya kurap. ile siyo hiphop yeye na mpoto tofauti yao ni beats tu wanazotumia tu
 
Niliwaambia iyo ngoma itafeli...iko wapi now? mara ya mwisho umeisikia lini?

ucpopiga mi ntapgwa hata na bajaji za mwengeeeeeee
unaweza sali uzae chema
ukazaa shoga na msagaji
mpagani akabakwa akapata mimba
akamzaa padri
 
roma ni kama anatangaza taarifa ya habari kwa kutumia style ya kurap. ile siyo hiphop yeye na mpoto tofauti yao ni beats tu wanazotumia tu

wachache tunamwelewa,
Ukawa ukawa ukawa ukawa ukawa ukawa ukawa
Hapa ni 3 tu
 
Waliopata kukisoma Kitabu kinachoitwa ''AN ENEMY OF THE PEOPLE'',watakubaliana nami kuwa 'NABII HAKUBALIKI KWAO'.ROMA huimba nyimbo zinazoikosoa jamii directly na wala hapindishi ukweli,sasa ww ukimbeza unaonekana TAHIRA. Kila kukicha mnalalamika nyimbo zinazochezwa ktk TV's na REDIO hazina ujumbe wala maadili.Sasa sijui mlitaka naye aimbe MAPENZI !!.Kweli Binadamu hatuna JEMA.
 
Nyimbo za Roma ukiziondoa chorus,uwezi kujua ipi ndio ipi,anaimba yale yale kila siku..hawezi 'one n two' so kuchana hawezi

Roma anachosha!!!!Hana ladha mpya!Ujumbe lazima uje katika ladha tofauti.Hilo halipo kwa Roma!
 
Kaniboa anavyutukana matusi,,,sijui nn na nini afu Mapu***....abadilike
 
Back
Top Bottom