Wimbo mpya wa R.O.M.A,-2014

Wimbo mpya wa R.O.M.A,-2014

Hawezi kuflow...aandiki utunzi... anakusanya matukio kisha yanakuwa wimbo...anachowapata waBongo ni wapenda matukio "wadaku"..... Fid Q kama ulivyomtaja ni zaidi ya uyo mkomao roma mara mia tisa elfu....afadhali Fid ukimsikiliza unaweza kusafiri kidogo ndani ya mashairi yake,Roma ukishamsikiliza unakereka... anachokifanya anakijua yeye msikiite political hiphop.
political religious hip hop
 
Tatizo kubwa ni watu hawaelewi maana ya Hip hop!
.
Eti
kila binadamu ana upendo, kwa yule amtakae/
na kila mmoja anawaza atampataje amtakae/
.
Na
.
Wanao jiita wakali hizi salamu ziende kwenu/ mi ndo emcee hatari nnaeogopwa na bamsa wenu/
akija kusema na (kama mke wa mtu sumu mi gheto nina maziwa)
.
Basi watu wata waona wamaaaana kuliko anae andika hivi!
.
RPC usitume kikosi ili uiangushe chadema/ italipwa Damu ya mwangosi Iringa Semeni amina/
.
Daaaa kweli Hip hop ni kuielewa usikivu!

achana na mamburula hayo,utaumiza kichwa mkuu!
Eti roma unamfananisha na kuchkuch young killer dah!
 
Hakika huyu jamaa anaimba taarifa ya habari na kila siku ana rudia kilele hadi ana boa.

Hana jipya tena na sikutegemea kama angerudia makosa.

Sikutegemea ataishiwa hadi aanze kutukana kwakweli kachoka kufikiri na amebaki kuvizia taarifa ya habari.


Kwakweli si mchukii Roma lakini mmm hapana hana jipya na amechuja kabisa.

haha poor thinking!basi mwekee bit na Godwin Gondwe na Salumu Mkambala nao watoke!
 
Kama wewe ni mpenzi wa bit na sauti laini, utachelewa sana kumwelewa Roma.

Wachungaji wanalumbana wakigombania waumini/ wanalala wakiamuaka wanaanzisha dini...............

hawaogopi damu ya msalaba/Bible wanaifanya biashara/wewe sio Yesu hata kama baba yako Seremala.

wewe ni nani usiyekosea kila unaemwombea anapona, hatutaki shuhuda za uongo aminini nyote mtachomwa.
 
Na hawezi kupata shows za njee (hata hapo kwa majirani zetu) coz watu hatomuelewa....
Mfano nani ktk nchi hizo anae jua veta au kibonde sijui nini...yaan hua anaimba msmbo yaahapa hapa alafu ni yenye msimu.
Muimbaji mzuri inabidi utunge mashair yatakayo ishi muda mrefu na bila kupitwa na wakati!


''machozi,jasho na damu''.......prof.Jay........''Hukumu ya ndotoni''.......Rado....''
nyimbo nyingi za Sollo Thang''.kuacha zile za mahaba!Hip Hop inapaswa kuishi zaidi ya matukio ya wakati mmoja......ni kazi ya sanaa na haipaswi kupotea na kumbu kumbu za tukio fulani.
Roma hanivutii na hajawahi kunivutia kabisa na nyimbo zake za stori za gazeti la -----------!
 
wengi wanao comment hapa kwamba r.o.m.a hajui ni malimbukeni kwenye hip hop. washazoea mipasho na mapenzi basi hizi flow hawazielewi.

kwanza elewa kazi kuu ya fasihi ni kuelimisha na kuburudisha.

sasa wewe kama r.o.ma hakuelimishi wala.hakuburudishi, sepa. badirisha radio station ikipigwa wimbo yake, zima tv tuki dedicate pini.lake, usiende kwenye show zake. blood shit.

jitu linatoka.mipovu kumsema r.o.m.a wakati ata show halijawah kuingia, kazi kudownload nyimbo hulkshare na kuburn cd tuu. huna mchango wowote katika hii industry, backoff bro. nenda kwenye show za wcb na huyo hod wenu.

hafu mingine inamfananisha na young killer, stamina. wapuuzi hao mnawapambanisha na huyu? kweli tupo na vichwa vya wenda wazimu humu.

hiphop is concesous, sio sharobaro kubeba nondo,
mi natafuta pesa ya kula, we unamcheki tu alejandro,
unadhani utaandika nini kama sio adithi za kamongo...

mtaelewa tu.
 
''machozi,jasho na damu''.......prof.Jay........''Hukumu ya ndotoni''.......Rado....'' [/B]nyimbo nyingi za Sollo Thang''.kuacha zile za mahaba!Hip Hop inapaswa kuishi zaidi ya matukio ya wakati mmoja......ni kazi ya sanaa na haipaswi kupotea na kumbu kumbu za tukio fulani.
Roma hanivutii na hajawahi kunivutia kabisa na nyimbo zake za stori za gazeti la -----------!

Wewe hasa ndio unaelewa mziki vyema...tuko pa1 mbaba.
 
wengi wanao comment hapa kwamba r.o.m.a hajui ni malimbukeni kwenye hip hop. washazoea mipasho na mapenzi basi hizi flow hawazielewi.

kwanza elewa kazi kuu ya fasihi ni kuelimisha na kuburudisha.

sasa wewe kama r.o.ma hakuelimishi wala.hakuburudishi, sepa. badirisha radio station ikipigwa wimbo yake, zima tv tuki dedicate pini.lake, usiende kwenye show zake. blood shit.

jitu linatoka.mipovu kumsema r.o.m.a wakati ata show halijawah kuingia, kazi kudownload nyimbo hulkshare na kuburn cd tuu. huna mchango wowote katika hii industry, backoff bro. nenda kwenye show za wcb na huyo hod wenu.

hafu mingine inamfananisha na young killer, stamina. wapuuzi hao mnawapambanisha na huyu? kweli tupo na vichwa vya wenda wazimu humu.

hiphop is concesous, sio sharobaro kubeba nondo,
mi natafuta pesa ya kula, we unamcheki tu alejandro,
unadhani utaandika nini kama sio adithi za kamongo...

mtaelewa tu.

Stamina sio EMCEE!!ni rapper ambae anaaminishwa kuwa mkali kwa mistari yake kuunga unga tu!
Kama Roma angeweza kuandika kwa uyakinifu hii hii siasa katika namna ambayo Fid anaweza kuandika.....na akawa na flow nzuri sikioni angeweza kuwa msanii mkali!

''haijalishi uzuri wa sanaa yako..........namna yako ya uwasilishaji ndio huiongezea thamani zaidi kazi yako ya sanaa''...............R.I.P mwalimu wangu,mkali wa ukweli wa sanaa usietambulika....Malembeka!
 
Mnataka AIMBE NGOLOLO?

unamdis wakati hujawahi hata kununua wimbo wake.

Kama show za nje hapati,hao Tamaduni au weusi mbona hawapati pia?

R.O.M.A ANAFANYA MZIKI KWA AJILI YENU,NYI MNALETA SHINGO UPANDE,BASI CHANGANYENI TAK.O ILI MAVI YASIGANDE.
 
Huyo anayeropoka anawafunika your favouritea EMCEE Kuanzia Maisha club hadi CCM Kirumba.
R.O.M.A ANATUWAKILISHA SISI NDO MAANA ANA MAJESHI TOKA MASAKI HADI MBAGALA CHARAMBE!!
HUMTAKI R.O.M.A KAMSIKILIZE Neema wa Mitego,Mr.NICE.DUDU BAYA NA KIMBUNGA!
 
achana na uyo dogo,,,eti roma anapigania haki,anapigania haki ipi? Au haki ya nani? Ebu wawe specific.
hujui roma anaimba nini hata ujumbe hauupati? Haya endelea kuwasikilza mateja wenu wa kinondoni.
 
Roma baba yao mkubali mkatae wabongo wengi wanafiki,hapa sasa hivi watu wanajifanya kusema fid mkali mara sijui prof wakija kwenye kuwapigia kura hawapigi wanawaacha wafe na tai shingoni alafu tunasema tunawapenda shame on us hata cd za album wala mixtpae zao hatununui mnaodai mnawapenda hao wasanii wengine zaidi ya roma basi muwasuport by the way kama unajua mziki huwezi kumkataa roma hata kidogo.
 
MI SIMKUBALI ROMA KWA SABABU ANAKATABIA KAKUKOSOA WAKRISTO NA VIONGOZI WAO HUKU YEYE AKIWA SI MKRISTO
MBAYA ZAIDI ANAJIITA roma MKATOLIKI, so he is fake!! kwanini asivae nafsi yake?? kwa nini atoke kwa mgongo wa watu wengine??
 
Mi nawashangaa sana wasanii, hakukua na haja ya ROMA kuweka maneno ya kubinya mapumb* kwenye huu wimbo! ni matamshi ya kijinga ambayo yanakupunguzieni credit tu na mtu mzima hawezi sikiliza wimbo wenye upuuzi ka huo! Yani Diamond and the like wataendelea shine coz hawaweki maneno ya kipuuzi yasiyofaa tamka kwa public ovyo ovyo kama alivofanya ROMA.. ROMA is losing...please edit ur song and omba msamaha kwa mashabiki wak
 
Back
Top Bottom