wengi wanao comment hapa kwamba r.o.m.a hajui ni malimbukeni kwenye hip hop. washazoea mipasho na mapenzi basi hizi flow hawazielewi.
kwanza elewa kazi kuu ya fasihi ni kuelimisha na kuburudisha.
sasa wewe kama r.o.ma hakuelimishi wala.hakuburudishi, sepa. badirisha radio station ikipigwa wimbo yake, zima tv tuki dedicate pini.lake, usiende kwenye show zake. blood shit.
jitu linatoka.mipovu kumsema r.o.m.a wakati ata show halijawah kuingia, kazi kudownload nyimbo hulkshare na kuburn cd tuu. huna mchango wowote katika hii industry, backoff bro. nenda kwenye show za wcb na huyo hod wenu.
hafu mingine inamfananisha na young killer, stamina. wapuuzi hao mnawapambanisha na huyu? kweli tupo na vichwa vya wenda wazimu humu.
hiphop is concesous, sio sharobaro kubeba nondo,
mi natafuta pesa ya kula, we unamcheki tu alejandro,
unadhani utaandika nini kama sio adithi za kamongo...
mtaelewa tu.