Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,307
- 3,416
mkuu kuna utofauti wa melody kwenye wimbo wa mwaka jana na mwaka huu kutoka kwa roma?
Mkuu swala la mtu kushindwa kuimba na kuishia kutukana unalionaje?
Tuna mjadili roma kwa sababu tulitegea zaidi ya hiki kutoka kwake.
Mimi binafsi nlijua hipo siku roma anaweza kuishiwa cha kutunga lakini si kufikia kutukana.
swala la melody hiyo ndo style yake ya kuimba ulitaka abadilike vipi na wakati washabiki ndo wanayoipenda na kuikubali?? Kwa nini aingie risky kuimba style nyingine ambayoo atabahatisha either itapendwa au isipendwe,na kama ulishawahi kusikiliza nyimbo za country music utaona kwamba nyingi melody hufanana so kwa roma kinachosubiriwa sana ni ujumbe kama zilivyo country music na wala sio kubadili melody
kuhusu kutukana to be honest kidogo amechemka lakini yeye sio msanii wa kwanza kutukana bongo hii wengi tu wametukana na stil mpk hamna kuzungumziwa like nothing happened,so kwa hapo im sure next time atabdilika,ila cha msingi ni ujumbe ambao umo humo ndani katika verse zake