Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,573
Mi nawashangaa sana wasanii, hakukua na haja ya ROMA kuweka maneno ya kubinya mapumb* kwenye huu wimbo! ni matamshi ya kijinga ambayo yanakupunguzieni credit tu na mtu mzima hawezi sikiliza wimbo wenye upuuzi ka huo! Yani Diamond and the like wataendelea shine coz hawaweki maneno ya kipuuzi yasiyofaa tamka kwa public ovyo ovyo kama alivofanya ROMA.. ROMA is losing...please edit ur song and omba msamaha kwa mashabiki wak
Sikujua kama ROMA NI MJINGA KUFIKIA KUWEKA MATUSI KWENYE WIMBO.
HANA JIPYA KILA LEO MALODY HILE HILE.
HIVI ROMA HANA MELODY NYINGINE? KINACHO NI KERA ZAIDI NI KITENDO CHAKE CHA KUPIGA KELELE HATA PASIPO HITAJIKA.