Wife wangu ananiibia, ushauri unahitajika

Mangi usiombee,,, ni vitu vidogo sana but, y udokoe,,, tena vya wanao.....wapime mafuta tuu ruwa mangi....

Mzee pole sana na huu mkasa. Naomba unijibu maswali yafuatayo kiukweli ili inisaidie katika kukupa ushauri

1. Je mahusiano ya mkeo na familia yako yakoje (Ndugu wa upande wako, wazazi na wengine)
2. Wewe uhusiano wako na ndugu wa upande wa mkeo , kabla ya tukio la kuwaondoa hapo kwako ilikuwaje?
3. Hapo kwako kuna ndugu zako wengine wanaishi? Au wewe unasaidia ndugu zako kwa kiasi gani? uki compare na mkeo?
4. Ki elimu wewe na mkeo mna level sawa? kama si sawa nani kamzidi mwenzie.
5. Ki mapato nani kamzidi mwenzie?
6. Familia zenu kimapato ipi iko juu na kwa kiasi gani?
7. Je mkeo kwao ndio mtoto mwenye mafanikio pekee? na je wewe kwenu ndio mtoto mwenye mafanikio pekee?

Asante naomba jibu bila kupotosha ili nijaribu kukupa ushauri kwani mzee waweza haribu ndoa na future ya wanao kwenye hili tukio.
 
Duuh...haya maisha kweli mviziano...

Mimi naamini haya yanazungumzika, japo yanaonyesha yanakukera. Mngekaa kama kamati mkatafuta namna ya kuwasaidia hao 'mashemeji' manake naona dada yao anachofanya ni kuwasaidia samaki badala ya nyavu. Kwa mtindo huu ataendelea kuwasaidia mpaka anaingia kaburini hao nduguze wabaki wakilia na mengi.

Labda tu huyo dada awe mama haambiliki...
 


haaa MandawaNaManenge apo ebu nijuze, na chakula cha usiku mnapeana kiroho safeey?
 
Last edited by a moderator:
Watu wa migombani bwana mwenyee mama yangu amewakataa katakata sasa yeye ananvyoniganda nashindwa hadi kupumua ndivyo walivyo hawa tena unabahati wanatoaga uhai wa watu
 
mie sio mchaga, ila najua kama ni mwanamke mwizi wa kichaga haibi water melons awape nduguze. Ana roho ya kimaskini tu huyo.
Ngoja nirudi kusoma comments zote then nitamshangaa huyu baba.
Ila wakati nasubiria, why umlaze mama wa wanao selo just becoz amegawa mchele na vitunguu kwa nduguze? huyu baba nae ana roho ya kimaskini!

Hivi ukimuambia mama watoto this is my budget kwa mwezi. Ikiisha laza wanao njaa. Haitawezekana?
mule mule kaka,,,, maranguuu....kaka mtihani mkubwa sana....sema tuu kaka,,, naweza pona...
 

mke akilala nje ni kosa kubwa kama umemfukuza hapo unabidi utoe mbuzi kwenda kumchukua hiyo ni kama faini..... alivyoondoka bila taarifa si mkeo tena ni kosa lingine hapo inabidi akitaka kurudi kunataratibu za kufuata....... pole sana aisee ndoa kichefu chefu ndoa ni mtihani usiokuwa na majibu... ndoa ni kuzimu ya duniani ....
 
Hivi unajua kwa nini wanaume wakiingia ndani ya ndoa wanakondeana asana,..sababu akisha oa anaoa wakwe,mashemeji kama jamaa ilivyomtokea hapo juu!,...pole sana mkuu!
 

miss chagga umeolewa?
 
Last edited by a moderator:
Sishabikii alichokifanya,..ila kuna wakati wanawake wanakera sana,..usipo angalia unaweza ukageuzwa punda,at the end unakufa mapema kwa majukumu yasiyo na idadi,...familia kwanza wengine baadae!
 
Umeongea point saana,hakika you are the great thinker...kula Like*1000000......00000.....0000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…