CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,074
Sikutegemea nilijua tu utakuja huku
hahahaa, vipi tena ndugu?!
Sikutegemea nilijua tu utakuja huku
nani kakuambia haihusiani mbona unakimbilia conclusion as if upo sahihi 100%Hili linaweza lisiwe na uhusiano kabisa na swala la kusoma au kutosoma kabisa!
nani kakuambia haihusiani mbona unakimbilia conclusion as if upo sahihi 100%
Kwanza unaonekana unafatilia sana mambo ya jikoni!Una moyo mgumu sana duu Mimi nisingeweza kumuweka ndani shemeji Yangu tena sababu ya chakulaaaa ....hapo tatizo ni njaaa .mmh we kweli jasusi!
Ni wazi unatatizo kubwa na mkeo.
Unacho takiwa kufanya ni kukaa na mkeo chini na kumueleza ukweli kuwa na yeye aanze kuchangia na swala la kuwasaidia ndugu zake mnaweza kukaa chini na kuangalia jinsi ya kuwasaidia bila kuingia kwenye mikwaruzano.
Kama ndugu zake hawana kazi basi jitahidi muwatafutie kibarua na ni vyema mka kaa na mkeo mkajua jinsi ya kufanya!
Halafu ni wazi hili swala umeligeuza kama uadui ndio maana mkeo anafanya hivyo bila kukushirikisha!
Hebu jaribu kukaa na mkeo muongee kuhusu hili swala na uchukulie kama huo ni mzigo wako pia!
mpe mda usiojulikana akakae kwa wadogo zake sehemu aliyowapangisha.... then akijirudi mkaribishe.... ila isiwe siku mbili eti amejirekebisha
Chakula = maviii
Inaonekana mwanaume ana ghubuuuuuu na mbinafsi...usikute ndio maana mke hatoi senti tano
Pia kama dada mtu ndio mlezi wa ndugu zake ina maana mwanaume hakulijua hilo kabla ya ndoa???
Hapa kama hatunyweshwi chai ya tangawizi na asali basi kuna tatizo kubwa sana kati ya mke na mume hawa