Wife wangu ananiibia, ushauri unahitajika

Wife wangu ananiibia, ushauri unahitajika

Mambo ya ndoa nayo sometimes ni pasua kichwa
miss chaga, hebu ueleze why wadada wa huko migombani wanakumbwa na kashfa kama hizi, mbona kesi za wanawake wa migombani zimekuwa nyingi sana
 
Last edited by a moderator:
Kwanza unaonekana unafatilia sana mambo ya jikoni!Una moyo mgumu sana duu Mimi nisingeweza kumuweka ndani shemeji Yangu tena sababu ya chakulaaaa ....hapo tatizo ni njaaa .mmh we kweli jasusi!
Ni wazi unatatizo kubwa na mkeo.

Unacho takiwa kufanya ni kukaa na mkeo chini na kumueleza ukweli kuwa na yeye aanze kuchangia na swala la kuwasaidia ndugu zake mnaweza kukaa chini na kuangalia jinsi ya kuwasaidia bila kuingia kwenye mikwaruzano.

Kama ndugu zake hawana kazi basi jitahidi muwatafutie kibarua na ni vyema mka kaa na mkeo mkajua jinsi ya kufanya!

Halafu ni wazi hili swala umeligeuza kama uadui ndio maana mkeo anafanya hivyo bila kukushirikisha!

Hebu jaribu kukaa na mkeo muongee kuhusu hili swala na uchukulie kama huo ni mzigo wako pia!

hapo kwenye red kaka hapana, uchukulie kama mzigo wako we ndo umewaleta apa duniani? ulivyoooa uliambiwa utakua na zigo kama hilo? tena wengine wamezalishwa uko na wanaume wengine c wakawatafute hao waliowazalisha? kuongea nae sawa mkatafuta suluhu lakini si kuchukulia kwamba ni zigo lako, hawana ndugu zao wengine kwan mkeo kwao amezaliwa peke yake au ndo kutegemea slope tu kwa sababu jamaa alianza kujilegeza mwazoni?

dawa ni hii,
kaa chini mueleze iyo tabia ikome na hao watu wajitegemee, acha kununua vitu in bulky kila cku jion unarud na vitu vya kupika kesho tu mtaenda sawa amani mwenyewe ataitafuta!!!
 
Mzee pole sana na huu mkasa. Naomba unijibu maswali yafuatayo kiukweli ili inisaidie katika kukupa ushauri

1. Je mahusiano ya mkeo na familia yako yakoje (Ndugu wa upande wako, wazazi na wengine)
2. Wewe uhusiano wako na ndugu wa upande wa mkeo , kabla ya tukio la kuwaondoa hapo kwako ilikuwaje?
3. Hapo kwako kuna ndugu zako wengine wanaishi? Au wewe unasaidia ndugu zako kwa kiasi gani? uki compare na mkeo?
4. Ki elimu wewe na mkeo mna level sawa? kama si sawa nani kamzidi mwenzie.
5. Ki mapato nani kamzidi mwenzie?
6. Familia zenu kimapato ipi iko juu na kwa kiasi gani?
7. Je mkeo kwao ndio mtoto mwenye mafanikio pekee? na je wewe kwenu ndio mtoto mwenye mafanikio pekee?

Asante naomba jibu bila kupotosha ili nijaribu kukupa ushauri kwani mzee waweza haribu ndoa na future ya wanao kwenye hili tukio.

Mangi asante...
1- Familia zetu zimekuwa vema for so long, alifariki babake,,, then babangu..... but kiukweli nimekuwa mchango mkubwa sana kwao,,, kuna kipindi nlitengwa kwetu coz niliangalia sana ukweni.
2- Baada ya kuwaondoa kulianza vijineno,, sikuvikiliza sbb i have my rite to control my teritorry...walikuwa 3,,,, wa 1 nilimfungulia duka,,,, mauzo yakanunua mimba,,,,,akatoroka mwenyewe,,, the remaing 2,,,nimewasomesha from form 1 to 6, mmoja alienda chuo kabisa....
3- Sikuwahi kuishi na ndugu kabisa, zaidi ya baba yangu,,, ambaye by now kapumzika mbele ya haki.
4- Nimemzidi kielimu
5- hakika nimemzidi, coz nimeweza kumiliki a lots of things, kutunza nyumba yangu, mashamba na nina miradi kiasi cha kuniweka salama kimapato na akiba pia.....yeye nna hakika ana akiba kubwa sana kama anaweka bank, nilimfungulia akaunti,,, akawa anasomba zote,,, hata akaunti ya pamoja ambayo tulikubaliana kuweka for kids,,, hakuweka kabisa tukiifunga kwa ugomvi usio kifani...
6- tumetoka kwenye familia za kawaida sana - standard life.....labda niseme hapa.. babake alikuwa na 2 wife,,, so alikuwa na watoto 14....
7- kwao yy ndo kinara wa mafanikio,,, akipitia mgongo wangu...kwetu wote tuko poa and am the lastborn...

karibu kwa ushauri
 
kwanza pole sana huyo mkeo yupo hapo kwa maslahi binafsi hakupendi hata hawezi kuiba vitu vya ndani na kuwapa wadogo zake. kama kweli anawapenda angekuwa anatoa mshahara wake awape. sasa cha kufanya usiende mahakamani akirudi ita ndugu zake na zako hafu mpe likizo ya muda aende kwao mpaka atakapojirekebisha tena uwe mkali balaaa usitake majadiliano na mwambie atakaporudi awe yeye anatoa hela ya chakula au mtoe nusu kwa nusu. hiyo likizo fanya hata iwe ya miezi kadhaa
 
Kwa kifupi jamaa ni Mchoyo sana chakula ni ishu ndogo sana....Ilibidi awashauri hao mashemeji zake,Au hawashauriki?Na awaelekeze mbinu za kuishi hapa mjini au awape mtaji wajitegemee.Kasema wamedekezwa hawana kazi then akawafukuza nyumbani kwake lazima tu wife aibe akawasaidie watakula nini??
Acha akili za utegemezi mtoto wa kiume,...angalia ucje...
 
Sina hakika mara baada ya hili tukio kama huyu mama wa Kimarangu atarudi tena hapo home? Hakika sina HAKIKA!
 
Dah POLE SANA MDAU, yaani nimekuelewa sanaaaa. Manake hata mimi nipo kwenye situation kama yako. Tatizo kubwa la wanawake hawa ni uselfish. Anafanya kazi chake ni chake, matumizi yake saloon, nguo za kitchen party, harusi, vocha, sijui........ Baba ndo unatoa kila kitu hadi hela ya chumvi unaombwa. Hata mimi nina shida kama hiyo mkuu, ingawa mke wangu hapeleki kwa ndugu zake kwa kuwa wanauwezo tu, lakini mwanamke hatoi kitu chochote kuanzia chakula, bill zote, ada za watoto, ni mimi tu hachangii hata senti. Bado kuna mambo ya maendeleo tunatakiwa kufanya. Kichwa kinauma mzee. Tuna mgogoro mkubwa sana na vikao vya familia kwa wazee, lakini anasema yeye siyo majukumu yake. Na kitu kikipungua home anaanzisha mtiti balaa anatangaza hadi kwa watu. Yaani ni shida sana hadi wakati mwingine mtu unaamua kushinda BAR kula monde tu, manake ukiangalia watoto roho ndo inauma sana. Mimi nilishafikiria hata kupiga chini mzigo, lakini watoto nawaonea huruma sana. Nadhani hawa wanawake wa kichagga ni shida kubwa sana. Watatuua wanaume wote, na ndo mana wengi wanabaki wajane waume zao wameshatangulia mbele za haki sababu ya haya mambo. yanakera sana. Dilema!!
Mimi siyo mchaga,ila wanawake wengi wa kitanzania wako ivyo,..ndio maana ikitokea umefulia mwanamke anakukimbia,..kama huamini angalia coment nyingi za watoto wa kike zinazohusu pesa humu JF!
 
Mkuu kabla sijasema neno naomba unijubu maswali haya
(1)Wakwe zako wapo hai?wako wapi na wanashughulika na nini?
(2)Mkeo ni wangapi kuzaliwa kwao?
(3)Ukiangalia uwezo wa kiuchumi mkeo kwao anaweza kuwa namba ngapi
(4)Mkeo kwao wanamtegemea kwa namna gani kuitegemeza familiya yao?
(5)Chanzo cha kuwatimua kwao ni kipi? je walikua na tabia mbaya au ni familiya kuwa kubwa?
(6)Shemejio mjini wanafanya nini?
(7)Unao wadogo zako?
(8)nduguzo wanaweza kuishi kwako?
(9)Nini chanzo cha kufanya shoping ya vitu vya jikoni?
 
miss chagga,, let me tell u this,,,, am simple man.....napenda family zote, tena hasa..... but kuna wakati mnatakiwa kuwa kitu kimoja baba+mama na watoto only,,,,, hapo ndo ishu,,, hivi nnavyokwambia,,, kaka yake alimtoa juzi kaja home kakusanya kila kinachomhusu,,, off she....nilimpigia mama mkwe,,, coz baba mkwe passed away....nikamwambia mke wangu hayupo na sijui alipo......jana kaka mtu akanipigia tena kwa kebehi,,, mkeo kahamia nyumba yake...full stop...i close the deal......akijiskia kurudi arudi......aibu inamsuta....but wewe ni mchagga i gues....mke wa kichagga akilala nje bila taarifa rasmi inakuwaje.....desturi zina mikondo yake.....hata kama ni kwa kakake.....sijitetei ila nataka ujaribu kuingia in deep......then sema kitu... najua mawe ni mengi mno....ila hayana shabaha...

Mkuu shemejio wanafanya nini hapo mjini?.Mamamkwe anafanya shughuli gani?
Tofauti na mkeo kuna shemeji yako wa tumbo moja na mkeo mwenye kauwezo?
Wazazi wako wako hai?
Wanafanya nini?
Una wadogo zako ambao hawajitegemea bado?
Kaka zako na dada zako kiuchumi wakoje?
kuna ndugu yako akiyewahi kuishi kwako?
UKIJIBU HAY VEMA NITAWRZA KUTOA COMMENT YA USHAURI MKUU
 
Mangi asante...
1- Familia zetu zimekuwa vema for so long, alifariki babake,,, then babangu..... but kiukweli nimekuwa mchango mkubwa sana kwao,,, kuna kipindi nlitengwa kwetu coz niliangalia sana ukweni.
2- Baada ya kuwaondoa kulianza vijineno,, sikuvikiliza sbb i have my rite to control my teritorry...walikuwa 3,,,, wa 1 nilimfungulia duka,,,, mauzo yakanunua mimba,,,,,akatoroka mwenyewe,,, the remaing 2,,,nimewasomesha from form 1 to 6, mmoja alienda chuo kabisa....
3- Sikuwahi kuishi na ndugu kabisa, zaidi ya baba yangu,,, ambaye by now kapumzika mbele ya haki.
4- Nimemzidi kielimu
5- hakika nimemzidi, coz nimeweza kumiliki a lots of things, kutunza nyumba yangu, mashamba na nina miradi kiasi cha kuniweka salama kimapato na akiba pia.....yeye nna hakika ana akiba kubwa sana kama anaweka bank, nilimfungulia akaunti,,, akawa anasomba zote,,, hata akaunti ya pamoja ambayo tulikubaliana kuweka for kids,,, hakuweka kabisa tukiifunga kwa ugomvi usio kifani...
6- tumetoka kwenye familia za kawaida sana - standard life.....labda niseme hapa.. babake alikuwa na 2 wife,,, so alikuwa na watoto 14....
7- kwao yy ndo kinara wa mafanikio,,, akipitia mgongo wangu...kwetu wote tuko poa and am the lastborn...

karibu kwa ushauri

Mimi siyo mchaga,ila wanawake wengi wa kitanzania wako ivyo,..ndio maana ikitokea umefulia mwanamke anakukimbia,..kama huamini angalia coment nyingi za watoto wa kike zinazohusu pesa humu JF!

Pole sana
 
Achana na kesi; italeta athari za muda mrefu baina ya familia zenu; cha kufanya ni mazungumzo juu ya meza; hebu jaribu hatua hizi moja baada ya nyingine; na kila baada ya hatua moja fanya tathmini ya kina; kama bado ugonjwa upo sogea hatua ifuatayo:
Step 1: Mshirikishe mshenga; myazungumze bayana wote pamoja na mkeo akiwapo;
Step 2: Washirikishe viongozi wa kiroho
Step 3: Ni mguu kwa mguu hadi kwa wazazi wa pande zote; nyote wawili
Step 4: Kama hajajirekebisha ina maana anawadharau hata wazazi wenu; ni mgonjwa hana daktari; ni kunguru hafugiki; atafikia kiasi cha kutaka kukudhuru wewe mwenyewe au watoto wenu; anza maandalizi ya kutenganishwa kwa muda; say 2 years uone kama ana dalili za kujirekebisha au talaka moja kwa moja.

Kila la kheri na pole sana, Ndoa ni taasisi ngumu sana; kwani waliomo wanataka kutoka wakati wlioko nje wanataka kuingia!!
 
Wandugu

Hili janga ni kubwa sana kwangu, nimekuwa na kawaida ya kununua mahitaji yote ya nyumbani kama baba na kiongozi wa familia kuna kipindi kulitokea mtafaruku kisa kikiwa shemeji zangu wamejaa kwangu, nikatangaza la mgambo sitaki cha shemeji wa wala wifi kwangu......wote wakatawanyika.

Bi mkubwa ilimuuma sana hakuwa na jinsi, kwani kama ni msaada niliwapa ikiwa ni kusoma na mambo mengine ya kuwasaidia, but aliwadekeza bila kujali kuwa niliyemuoa ni yeye pekee wamekaa kwangu kwa muda mrefu tuu.

Kwa hasira akawapangishia chumba, hata sijui ni wapi.

Bi mkubwa ana kazi yake nzuri tuu, but hachangiii chochote ndani ya nyumba, na wala kwangu sio tatizo kabisa, namshukuru Mola wanetu 2 wana afya njema sana na wana furaha.

Tatizo linalonisukuma kutaka ushauri hapa ni hii tabia aliyoanzisha bi mkubwa, anabeba vyakula ndani mwetu anapeleka kwa wadogo zake, niligundua kipindi fulani nikamkanya, akataharuki kwanza nimejuaje, akahamishia ugomvi kwa dada na kaka (wasaidizi wetu pale home), mpaka kaka aka resign.

Safari ikaendelea hakuacha hiyo tabia, tena imeota mizizi. Kila j3 hua anakuja na mdogo wake mmoja, anamfungashia furushi la mchele, sukari, mafuta ya kula, matunda na kila aina ya kitu apendacho.

Nikaweka mtego, kijana wangu mmoja ndo jasusi langu pale home, nimelifundisha likakomaa, kama zoba hivi, so bi mkubwa wala hana hofu nae ya kunitonya mie.

Siku ya siku nikajipanga na kijana wa kova, coz yule anaetoka na furushi kwangu namshuku ni mwizi, ile ametoka kwa gate, nilimwambia kijana afunge fasta ili bi mkubwa asijue nini kimetokea nje, ilikuwa mida ya saa nne usiku. Kabaaang, kanaswa binti, polisi fasta chini ya ulinzi, mie huyo nikaingia ndani kama sijui kunani.

Muda si mrefu akapigiwa simu aende kituoni, huko binti keshanaswa vitasa vya haja kasema kila kitu, aliogopa kuniomba nimsindikize, so akaenda na kaka, ile kafika na yeye chini ya ulinzi, walilala selo jana.

Asubuhi nikapitia, pale wakawa weshamumbia mie ndo niliwapa taarifa ya mchezo mzima, nikaomba waendelee kukaa pale, mchana kakayake akaenda kumtoa.

Ndugu zangu huyu mwanamke kalivuruga, kwa maelezo ya mdogo wake wameiba vitu vingi sana, hasa vya watoto, coz ana mdogo wake ana mtoto analingana na wa kwetu wa 1.

Kubwa nafikiria ni watoto wetu, najua wanaraha hata wakiwa na mimi, ila mama yao ni muhimu katika makuzi.

Hebu nipeni ushauri kidogo kabla sijaamua wa kwangu.

Hii kesi niipeleke mahakamani?
Kweli ni mdokozi, tena anakwiba vyakula vya wanawe, nitengane nae?
Anakazi yake nzuri, nikamshtaki kwa bosi wake?


Ongezeeni yatakayo nitoa hapa nilipo.

Karibuni

Pole ndugu yangu. Naona kwa kiasi kikubwa tuna matatizo yanayofanana. Naamini ushauri unaopewa utanisaidia hata mimi. MUNGU atuepushie majaribu haya.
 
Mangi asante...
1- Familia zetu zimekuwa vema for so long, alifariki babake,,, then babangu..... but kiukweli nimekuwa mchango mkubwa sana kwao,,, kuna kipindi nlitengwa kwetu coz niliangalia sana ukweni.
2- Baada ya kuwaondoa kulianza vijineno,, sikuvikiliza sbb i have my rite to control my teritorry...walikuwa 3,,,, wa 1 nilimfungulia duka,,,, mauzo yakanunua mimba,,,,,akatoroka mwenyewe,,, the remaing 2,,,nimewasomesha from form 1 to 6, mmoja alienda chuo kabisa....
3- Sikuwahi kuishi na ndugu kabisa, zaidi ya baba yangu,,, ambaye by now kapumzika mbele ya haki.
4- Nimemzidi kielimu
5- hakika nimemzidi, coz nimeweza kumiliki a lots of things, kutunza nyumba yangu, mashamba na nina miradi kiasi cha kuniweka salama kimapato na akiba pia.....yeye nna hakika ana akiba kubwa sana kama anaweka bank, nilimfungulia akaunti,,, akawa anasomba zote,,, hata akaunti ya pamoja ambayo tulikubaliana kuweka for kids,,, hakuweka kabisa tukiifunga kwa ugomvi usio kifani...
6- tumetoka kwenye familia za kawaida sana - standard life.....labda niseme hapa.. babake alikuwa na 2 wife,,, so alikuwa na watoto 14....
7- kwao yy ndo kinara wa mafanikio,,, akipitia mgongo wangu...kwetu wote tuko poa and am the lastborn...

karibu kwa ushauri

Kaka nilichoona hapa ambacho pia mimi binafsi nimepitia ni kuwa. Huyu mama, hana tatizo, the problem ni kuwa kwao hali si nzuri , kwa ukubwa huo wa familia naamini pia ndugu zake hawakwenda shule sana, hivyo kujitegemea imekuwa ni issue.Sasa dada wanamuona ndio kila kitu, kitendo cha wewe kuwatimua kwako ndio kimeleta hili tatizo la sasa.

Kikubwa cha kufanya hapa, kama bado unampenda mkeo na yeye anakupenda, kaaeni chini mueleze tatizo liko wapi na kuwa sasa yeye ana familia yake, na hao ndugu wamekuwa wakubwa na mlisha wasaidia vya kutosha.

Aina ya msaada anayowapa kamwe haiwezi kuwa suluhisho. Fanya hivi waite hao ndugu waulize kila mtu anataka kufanya nini na kuwa hiyo ndio chance ya mwisho wewe kusaidia. Wakupe idea zao, toa msaada wako wa mwisho unaoweza na waambie wasikusumbue tena, na dada yao alielewe hilo na muwe pamoja kwenye hilo. Kama mkukubaliana hilo mtamaliza hili tatizo.
 
tuwapige vita kwa mikono na miguu jamaa kagharamia miaka 10 na bado anaendelea kuiba
bado aliwagombanisha na ndugu zake au limbwata

Mmezidi lol! Kutwa kucha kunanga wanawake wasomi, kwani miongoni mwao si ndo wapo dada zako! Utawapiga vita hao wasomi hadi lini/wapi? Kwa kizazi cha sasa wazazi wengi wameamka kielimu wanapeleka watoto wao shule na elimu inapatikana hivyo tegemea kizazi cha wanawake waliomaliza vyuo kutokwisha.

Na hao waloishia form IV tena wengi shule za kata ni majanga zaidi kwa hali iliyopo huko shule za kata, vicheche mno! Hata umpeleke binti wa vipi huko wanaharibika kitabia. Wasichana wanaoishia drs la 7 wachache mno siku hizi, maana hata wasiojua kusoma na kuandika wapo sekondari.

Hamna kwa kukwepea, mtaoa haohao mnaowabeza kila uchwao. Usipo oa wewe basi kaka ako ataoa. Wacheni kulalama tafuteni jinsi ya kuishi nao vema. Watu wanakimbiwa na wachumba kisa perceptions mnazowajengea kila siku. Kha! Ingawa mi form IV lakini mmezidi jamani.
 
Hapo sasa...anapoteza sifa zote za kuwa mwanamke shemeji ujue?
ni shida shemeji! yaani ni tatizo! kila nikitafakari najikuta vinakuja vya kirumi! nahotaji google translation asap shemeji Kaizer! ni shida ujue ........
 
Last edited by a moderator:
Mkuu shemejio wanafanya nini hapo mjini?.Mamamkwe anafanya shughuli gani?
Tofauti na mkeo kuna shemeji yako wa tumbo moja na mkeo mwenye kauwezo?
Wazazi wako wako hai?
Wanafanya nini?
Una wadogo zako ambao hawajitegemea bado?
Kaka zako na dada zako kiuchumi wakoje?
kuna ndugu yako akiyewahi kuishi kwako?
UKIJIBU HAY VEMA NITAWRZA KUTOA COMMENT YA USHAURI MKUU
mkuu yote haya nimeshatolea maelezo ukifuatilia hii thread yote utayaona....asante na karibu
 
Jamani mie ni mwanamke, lakini naheshimu hela ya mshkaji kinoma, hata yeye kwenye hilo ananikubali.

Hata kama nitasaidia ndugu, lazima tukubaliane hata kwa ushawishi wa miezi kadhaa. Hakuna kitu kibaya kama mume kukosa appreciation ya afanyacho nyumbani kwake mwenyewe.

Hii ndoa ina tatizo kubwa sana.

Safi sana. Wewe ni wa kupigiwa mfano na mpo wachache sana wa aina yako wlio wengi ni kama huyo anayelalamikiwa na huyo ndugu yetu.
 
Mkuu kabla sijasema neno naomba unijubu maswali haya
(1)Wakwe zako wapo hai?wako wapi na wanashughulika na nini?
(2)Mkeo ni wangapi kuzaliwa kwao?
(3)Ukiangalia uwezo wa kiuchumi mkeo kwao anaweza kuwa namba ngapi
(4)Mkeo kwao wanamtegemea kwa namna gani kuitegemeza familiya yao?
(5)Chanzo cha kuwatimua kwao ni kipi? je walikua na tabia mbaya au ni familiya kuwa kubwa?
(6)Shemejio mjini wanafanya nini?
(7)Unao wadogo zako?
(8)nduguzo wanaweza kuishi kwako?
(9)Nini chanzo cha kufanya shoping ya vitu vya jikoni?

8 na 9 ndo sijatolea ufafanuzi..

8-Kama ntakosea nisahihishe,,,,,aliyeishi kwa ni only baba yangu wakati akimalizia siku zake alizopewa na Muumba...only
hata wakati namuuguza baba wanakuja wanashinda na jioni wanasepa,,, labda on wkend waje walale till sunday.
9-labda nimeiga kutoka kwa baba yangu na ikawa ni tabia....but kuna wakati nilikuwa nikiacha pesa ya mwezi ,,, inaisha tarehe 10, nikiuliza huo ugomvi hautamaniki,,,,, so nikaona isiwe shida.... naenda mwenyewe na sioni shida kabisa,,, nina ratiba yangu iko sawa ........
 
Back
Top Bottom