Kwanza unaonekana unafatilia sana mambo ya jikoni!Una moyo mgumu sana duu Mimi nisingeweza kumuweka ndani shemeji Yangu tena sababu ya chakulaaaa ....hapo tatizo ni njaaa .mmh we kweli jasusi!
Ni wazi unatatizo kubwa na mkeo.
Unacho takiwa kufanya ni kukaa na mkeo chini na kumueleza ukweli kuwa na yeye aanze kuchangia na swala la kuwasaidia ndugu zake mnaweza kukaa chini na kuangalia jinsi ya kuwasaidia bila kuingia kwenye mikwaruzano.
Kama ndugu zake hawana kazi basi jitahidi muwatafutie kibarua na ni vyema mka kaa na mkeo mkajua jinsi ya kufanya!
Halafu ni wazi hili swala umeligeuza kama uadui ndio maana mkeo anafanya hivyo bila kukushirikisha!
Hebu jaribu kukaa na mkeo muongee kuhusu hili swala na uchukulie kama huo ni mzigo wako pia!
Mzee pole sana na huu mkasa. Naomba unijibu maswali yafuatayo kiukweli ili inisaidie katika kukupa ushauri
1. Je mahusiano ya mkeo na familia yako yakoje (Ndugu wa upande wako, wazazi na wengine)
2. Wewe uhusiano wako na ndugu wa upande wa mkeo , kabla ya tukio la kuwaondoa hapo kwako ilikuwaje?
3. Hapo kwako kuna ndugu zako wengine wanaishi? Au wewe unasaidia ndugu zako kwa kiasi gani? uki compare na mkeo?
4. Ki elimu wewe na mkeo mna level sawa? kama si sawa nani kamzidi mwenzie.
5. Ki mapato nani kamzidi mwenzie?
6. Familia zenu kimapato ipi iko juu na kwa kiasi gani?
7. Je mkeo kwao ndio mtoto mwenye mafanikio pekee? na je wewe kwenu ndio mtoto mwenye mafanikio pekee?
Asante naomba jibu bila kupotosha ili nijaribu kukupa ushauri kwani mzee waweza haribu ndoa na future ya wanao kwenye hili tukio.
Acha akili za utegemezi mtoto wa kiume,...angalia ucje...Kwa kifupi jamaa ni Mchoyo sana chakula ni ishu ndogo sana....Ilibidi awashauri hao mashemeji zake,Au hawashauriki?Na awaelekeze mbinu za kuishi hapa mjini au awape mtaji wajitegemee.Kasema wamedekezwa hawana kazi then akawafukuza nyumbani kwake lazima tu wife aibe akawasaidie watakula nini??
Mimi siyo mchaga,ila wanawake wengi wa kitanzania wako ivyo,..ndio maana ikitokea umefulia mwanamke anakukimbia,..kama huamini angalia coment nyingi za watoto wa kike zinazohusu pesa humu JF!Dah POLE SANA MDAU, yaani nimekuelewa sanaaaa. Manake hata mimi nipo kwenye situation kama yako. Tatizo kubwa la wanawake hawa ni uselfish. Anafanya kazi chake ni chake, matumizi yake saloon, nguo za kitchen party, harusi, vocha, sijui........ Baba ndo unatoa kila kitu hadi hela ya chumvi unaombwa. Hata mimi nina shida kama hiyo mkuu, ingawa mke wangu hapeleki kwa ndugu zake kwa kuwa wanauwezo tu, lakini mwanamke hatoi kitu chochote kuanzia chakula, bill zote, ada za watoto, ni mimi tu hachangii hata senti. Bado kuna mambo ya maendeleo tunatakiwa kufanya. Kichwa kinauma mzee. Tuna mgogoro mkubwa sana na vikao vya familia kwa wazee, lakini anasema yeye siyo majukumu yake. Na kitu kikipungua home anaanzisha mtiti balaa anatangaza hadi kwa watu. Yaani ni shida sana hadi wakati mwingine mtu unaamua kushinda BAR kula monde tu, manake ukiangalia watoto roho ndo inauma sana. Mimi nilishafikiria hata kupiga chini mzigo, lakini watoto nawaonea huruma sana. Nadhani hawa wanawake wa kichagga ni shida kubwa sana. Watatuua wanaume wote, na ndo mana wengi wanabaki wajane waume zao wameshatangulia mbele za haki sababu ya haya mambo. yanakera sana. Dilema!!
miss chagga,, let me tell u this,,,, am simple man.....napenda family zote, tena hasa..... but kuna wakati mnatakiwa kuwa kitu kimoja baba+mama na watoto only,,,,, hapo ndo ishu,,, hivi nnavyokwambia,,, kaka yake alimtoa juzi kaja home kakusanya kila kinachomhusu,,, off she....nilimpigia mama mkwe,,, coz baba mkwe passed away....nikamwambia mke wangu hayupo na sijui alipo......jana kaka mtu akanipigia tena kwa kebehi,,, mkeo kahamia nyumba yake...full stop...i close the deal......akijiskia kurudi arudi......aibu inamsuta....but wewe ni mchagga i gues....mke wa kichagga akilala nje bila taarifa rasmi inakuwaje.....desturi zina mikondo yake.....hata kama ni kwa kakake.....sijitetei ila nataka ujaribu kuingia in deep......then sema kitu... najua mawe ni mengi mno....ila hayana shabaha...
Mangi asante...
1- Familia zetu zimekuwa vema for so long, alifariki babake,,, then babangu..... but kiukweli nimekuwa mchango mkubwa sana kwao,,, kuna kipindi nlitengwa kwetu coz niliangalia sana ukweni.
2- Baada ya kuwaondoa kulianza vijineno,, sikuvikiliza sbb i have my rite to control my teritorry...walikuwa 3,,,, wa 1 nilimfungulia duka,,,, mauzo yakanunua mimba,,,,,akatoroka mwenyewe,,, the remaing 2,,,nimewasomesha from form 1 to 6, mmoja alienda chuo kabisa....
3- Sikuwahi kuishi na ndugu kabisa, zaidi ya baba yangu,,, ambaye by now kapumzika mbele ya haki.
4- Nimemzidi kielimu
5- hakika nimemzidi, coz nimeweza kumiliki a lots of things, kutunza nyumba yangu, mashamba na nina miradi kiasi cha kuniweka salama kimapato na akiba pia.....yeye nna hakika ana akiba kubwa sana kama anaweka bank, nilimfungulia akaunti,,, akawa anasomba zote,,, hata akaunti ya pamoja ambayo tulikubaliana kuweka for kids,,, hakuweka kabisa tukiifunga kwa ugomvi usio kifani...
6- tumetoka kwenye familia za kawaida sana - standard life.....labda niseme hapa.. babake alikuwa na 2 wife,,, so alikuwa na watoto 14....
7- kwao yy ndo kinara wa mafanikio,,, akipitia mgongo wangu...kwetu wote tuko poa and am the lastborn...
karibu kwa ushauri
Mimi siyo mchaga,ila wanawake wengi wa kitanzania wako ivyo,..ndio maana ikitokea umefulia mwanamke anakukimbia,..kama huamini angalia coment nyingi za watoto wa kike zinazohusu pesa humu JF!
Wandugu
Hili janga ni kubwa sana kwangu, nimekuwa na kawaida ya kununua mahitaji yote ya nyumbani kama baba na kiongozi wa familia kuna kipindi kulitokea mtafaruku kisa kikiwa shemeji zangu wamejaa kwangu, nikatangaza la mgambo sitaki cha shemeji wa wala wifi kwangu......wote wakatawanyika.
Bi mkubwa ilimuuma sana hakuwa na jinsi, kwani kama ni msaada niliwapa ikiwa ni kusoma na mambo mengine ya kuwasaidia, but aliwadekeza bila kujali kuwa niliyemuoa ni yeye pekee wamekaa kwangu kwa muda mrefu tuu.
Kwa hasira akawapangishia chumba, hata sijui ni wapi.
Bi mkubwa ana kazi yake nzuri tuu, but hachangiii chochote ndani ya nyumba, na wala kwangu sio tatizo kabisa, namshukuru Mola wanetu 2 wana afya njema sana na wana furaha.
Tatizo linalonisukuma kutaka ushauri hapa ni hii tabia aliyoanzisha bi mkubwa, anabeba vyakula ndani mwetu anapeleka kwa wadogo zake, niligundua kipindi fulani nikamkanya, akataharuki kwanza nimejuaje, akahamishia ugomvi kwa dada na kaka (wasaidizi wetu pale home), mpaka kaka aka resign.
Safari ikaendelea hakuacha hiyo tabia, tena imeota mizizi. Kila j3 hua anakuja na mdogo wake mmoja, anamfungashia furushi la mchele, sukari, mafuta ya kula, matunda na kila aina ya kitu apendacho.
Nikaweka mtego, kijana wangu mmoja ndo jasusi langu pale home, nimelifundisha likakomaa, kama zoba hivi, so bi mkubwa wala hana hofu nae ya kunitonya mie.
Siku ya siku nikajipanga na kijana wa kova, coz yule anaetoka na furushi kwangu namshuku ni mwizi, ile ametoka kwa gate, nilimwambia kijana afunge fasta ili bi mkubwa asijue nini kimetokea nje, ilikuwa mida ya saa nne usiku. Kabaaang, kanaswa binti, polisi fasta chini ya ulinzi, mie huyo nikaingia ndani kama sijui kunani.
Muda si mrefu akapigiwa simu aende kituoni, huko binti keshanaswa vitasa vya haja kasema kila kitu, aliogopa kuniomba nimsindikize, so akaenda na kaka, ile kafika na yeye chini ya ulinzi, walilala selo jana.
Asubuhi nikapitia, pale wakawa weshamumbia mie ndo niliwapa taarifa ya mchezo mzima, nikaomba waendelee kukaa pale, mchana kakayake akaenda kumtoa.
Ndugu zangu huyu mwanamke kalivuruga, kwa maelezo ya mdogo wake wameiba vitu vingi sana, hasa vya watoto, coz ana mdogo wake ana mtoto analingana na wa kwetu wa 1.
Kubwa nafikiria ni watoto wetu, najua wanaraha hata wakiwa na mimi, ila mama yao ni muhimu katika makuzi.
Hebu nipeni ushauri kidogo kabla sijaamua wa kwangu.
Hii kesi niipeleke mahakamani?
Kweli ni mdokozi, tena anakwiba vyakula vya wanawe, nitengane nae?
Anakazi yake nzuri, nikamshtaki kwa bosi wake?
Ongezeeni yatakayo nitoa hapa nilipo.
Karibuni
Mangi asante...
1- Familia zetu zimekuwa vema for so long, alifariki babake,,, then babangu..... but kiukweli nimekuwa mchango mkubwa sana kwao,,, kuna kipindi nlitengwa kwetu coz niliangalia sana ukweni.
2- Baada ya kuwaondoa kulianza vijineno,, sikuvikiliza sbb i have my rite to control my teritorry...walikuwa 3,,,, wa 1 nilimfungulia duka,,,, mauzo yakanunua mimba,,,,,akatoroka mwenyewe,,, the remaing 2,,,nimewasomesha from form 1 to 6, mmoja alienda chuo kabisa....
3- Sikuwahi kuishi na ndugu kabisa, zaidi ya baba yangu,,, ambaye by now kapumzika mbele ya haki.
4- Nimemzidi kielimu
5- hakika nimemzidi, coz nimeweza kumiliki a lots of things, kutunza nyumba yangu, mashamba na nina miradi kiasi cha kuniweka salama kimapato na akiba pia.....yeye nna hakika ana akiba kubwa sana kama anaweka bank, nilimfungulia akaunti,,, akawa anasomba zote,,, hata akaunti ya pamoja ambayo tulikubaliana kuweka for kids,,, hakuweka kabisa tukiifunga kwa ugomvi usio kifani...
6- tumetoka kwenye familia za kawaida sana - standard life.....labda niseme hapa.. babake alikuwa na 2 wife,,, so alikuwa na watoto 14....
7- kwao yy ndo kinara wa mafanikio,,, akipitia mgongo wangu...kwetu wote tuko poa and am the lastborn...
karibu kwa ushauri
tuwapige vita kwa mikono na miguu jamaa kagharamia miaka 10 na bado anaendelea kuiba
bado aliwagombanisha na ndugu zake au limbwata
mkuu yote haya nimeshatolea maelezo ukifuatilia hii thread yote utayaona....asante na karibuMkuu shemejio wanafanya nini hapo mjini?.Mamamkwe anafanya shughuli gani?
Tofauti na mkeo kuna shemeji yako wa tumbo moja na mkeo mwenye kauwezo?
Wazazi wako wako hai?
Wanafanya nini?
Una wadogo zako ambao hawajitegemea bado?
Kaka zako na dada zako kiuchumi wakoje?
kuna ndugu yako akiyewahi kuishi kwako?
UKIJIBU HAY VEMA NITAWRZA KUTOA COMMENT YA USHAURI MKUU
Jamani mie ni mwanamke, lakini naheshimu hela ya mshkaji kinoma, hata yeye kwenye hilo ananikubali.
Hata kama nitasaidia ndugu, lazima tukubaliane hata kwa ushawishi wa miezi kadhaa. Hakuna kitu kibaya kama mume kukosa appreciation ya afanyacho nyumbani kwake mwenyewe.
Hii ndoa ina tatizo kubwa sana.
mule mule kaka,,,, maranguuu....kaka mtihani mkubwa sana....sema tuu kaka,,, naweza pona...
Mkuu kabla sijasema neno naomba unijubu maswali haya
(1)Wakwe zako wapo hai?wako wapi na wanashughulika na nini?
(2)Mkeo ni wangapi kuzaliwa kwao?
(3)Ukiangalia uwezo wa kiuchumi mkeo kwao anaweza kuwa namba ngapi
(4)Mkeo kwao wanamtegemea kwa namna gani kuitegemeza familiya yao?
(5)Chanzo cha kuwatimua kwao ni kipi? je walikua na tabia mbaya au ni familiya kuwa kubwa?
(6)Shemejio mjini wanafanya nini?
(7)Unao wadogo zako?
(8)nduguzo wanaweza kuishi kwako?
(9)Nini chanzo cha kufanya shoping ya vitu vya jikoni?