Wife wangu ananiibia, ushauri unahitajika

Wife wangu ananiibia, ushauri unahitajika

Mkuu jaribu kuwa na moyo wq kutoa, yote hayo ni kuifanya dunia sehemu nzuri ya kuishi...

Hao shemeji zako wana hali mbaya, kama wangekua wanajitosheleza kamwe usingewaona kwako, zaidi sana wangekuja kusalimia tu...

Usiwe na roho ya chuki, it's a world where we know nothing even the next second, hujui kesho yatakukuta nini, they so say "kufa kufaana"...

Watoe lock up hao wapendwa, sambaza upendo mkuu...
nimekupata mkuu,,, tambua nimewasomesha shemeji zangu wawili mmoja mpaka chuo, hawataki kutafuta kazi, na dadao anawadekeza,,,, kwa maelezo yake anaweza kuwatunza milele....so...tumefika hapo,, na ningekuwa na roho mbaya hata kwangu wasingekaa muda wote,,,,,,
 
we got 10yrs bro,,, nimefanya mengi sana kwa upande wao, mpaka nilitengwa kwetu....nilipogutuka ndo nikaanza kuyanyoosha mpaka yakapinda tena......
Pole sana mkuu,kuoa kwa leo ni shida sana,tunaoa vituko,me niko cool sana linapokuja swala la kuoa,wanawake wa leo wamekua ni vituko
 
Last edited by a moderator:
Una kazi, mkeo kabila gani vile(najua watu wataanza eeh eeh kabila halihusiki), amini nawaambia kuna vijitabia vya kimakuzi.

Ila kifupi una kiranga, mmoja hamas mwingine mwizrael. Hata nikisema umkalishe sijui kama atakuelewa.

Labda uwape mtaji wa biashara au uwatafutie kazi.
 
we got 10yrs bro,,, nimefanya mengi sana kwa upande wao, mpaka nilitengwa kwetu....nilipogutuka ndo nikaanza kuyanyoosha mpaka yakapinda tena......

nimekupata mkuu,,, tambua nimewasomesha shemeji zangu wawili mmoja mpaka chuo, hawataki kutafuta kazi, na dadao anawadekeza,,,, kwa maelezo yake anaweza kuwatunza milele....so...tumefika hapo,, na ningekuwa na roho mbaya hata kwangu wasingekaa muda wote,,,,,,

Viol soma hapa
ha ha ha ha ha ha
watakuuuua sio ndugu zako hao
 
Last edited by a moderator:
Pole kiongozi,kaa nae nakupanga mipango ya maendeleo na mkubaliane nae atachangia namna gani,ukimshirikisha mtaelewana vizuri.kumbuka kama anakazi nzuri alisomeshwa na famlia yake pia aje awasaidie!kama anafuja mali basi nunua kiasi ambacho si kingi kitakachowatosha,kikiisha unakaa kimya uone atafanyaje. na mjue shida ya shemeji zako nini ili muwapatie msaada wa kudumu.
Utapoteza mpaka mapenzi ndani ya ndoa yenu tatizo linaweza zaa tatizo jingine!
 
Wee ni kyasaka?

Sikutegemea meku afanye haya, vijana wa kiume kulelewa.kwa dada yao?

mule mule kaka,,,, maranguuu....kaka mtihani mkubwa sana....sema tuu kaka,,, naweza pona...
 
Na mkeo akalala selo sababu ya mchele na sukari? Huogopi wakimpiga finga? Una roho ngumu.
Mangi usiombee,,, ni vitu vidogo sana but, y udokoe,,, tena vya wanao.....wapime mafuta tuu ruwa mangi....
 
Una kazi, mkeo kabila gani vile(najua watu wataanza eeh eeh kabila halihusiki), amini nawaambia kuna vijitabia vya kimakuzi.

Ila kifupi una kiranga, mmoja hamas mwingine mwizrael. Hata nikisema umkalishe sijui kama atakuelewa.

Labda uwape mtaji wa biashara au uwatafutie kazi.

Wanawake wengi ni janga la taifa
 
Kosa kubwa ni kumzuia mwanamke kusaidia ndugu zake.


Ebu kaa naye uongee naye wewe hadi polisi kwajili ya mchele na vitunguu!!!!!!????
 
mkuu hapa umetengeneza tatizo mwenyewe na unaendelea kutengeneza mengine makubwa, huwezi mweka ndani mkeo kisa chakula mkuu, ingawa mambo madogo ni kipimo cha makubwa lakini kwa hili na hapa ulipofikia kama ni kweli basi wewe ndiye mwenye matatizo mkuu, kama mkeo asingekua mwaminifu katika mahusiano ya ndoa hilo ni tatizo lakini mengine huwa yanafuatiliwa kiasi kidogo na kuyaacha ila si kwa kiwango hiki, ajabu sana hii...
 
Viol soma hapa
ha ha ha ha ha ha
watakuuuua sio ndugu zako hao
MO11 hawa wanawake ni janga kila thread humu ndo hawa hawa waliosoma,hawafai kabisa tuwaogope kama ukoma
 
Last edited by a moderator:
Wee ni kyasaka?

Sikutegemea meku afanye haya, vijana wa kiume kulelewa.kwa dada yao?
kaka mie nipigana kivyangu mpaka hapa nilipo,,,,, usitengeneze hadithi......yes nimefanya kumfundisha adabu,,,,, unaweza kusema chochote ila hutageuza mada,,, karibu
 
Wanawake wengi ni janga la taifa
Jamani mie ni mwanamke, lakini naheshimu hela ya mshkaji kinoma, hata yeye kwenye hilo ananikubali.

Hata kama nitasaidia ndugu, lazima tukubaliane hata kwa ushawishi wa miezi kadhaa. Hakuna kitu kibaya kama mume kukosa appreciation ya afanyacho nyumbani kwake mwenyewe.

Hii ndoa ina tatizo kubwa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom