Wife wangu ananiibia, ushauri unahitajika

Wife wangu ananiibia, ushauri unahitajika

Nina wasiwasi na utamaduni wenu wa kuishi kama mme na mke katika ndoa yenu. Inaonyesha nawewe pia hukusanya lakini pia hutawanya. Hukuweka misingi mizuri awali na hukuweka sheria zako na utaratibu wako kama mme ili mkeo aufuate tangu awali. Mi naanza kukulaumu wewe, mistakes za mkeo umezilea mpaka zikakomaa. Lakini sijafurahia kuweka madalali wa kumfuatilia mkeo, hususani ndugu, unawaingiza kwenye hatari hata kwa ajili ya uhai wao. Deal na mkeo wewe binafsi, maana nie mnaweza kuelewana hata usku wa manane,je hao watu baki unawaachaje na fitina dhidi ya mkeo?...
 
awatoe mashemeji ila mkewe nae aanze kuchangia manunuzi labda atakuelewa! sasa hivi hachangii na wewe una uwezo kwa hiyo anaamini utanunua tu! mtest achangie kwa muda mfupi umone...ila muelewe pia yeye hawezi kulala ameshiba wadogo zake walale na njaa.
 
hapa ndipo unapotimia ule usemi maarufu wa "mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe"


NIna mashaka na UHAI wa ndoa hii kwa maana ya romance, communication, upole, kiasi na kuheshimiana.

Baada ya kusema hayo niseme tu kuwa there is absolutely no JUSTIFICATION kwa mke kufanya aliyoyafanya....inawezekana jamaa amechukua extremely hard measures, lakini kitendo cha kuiba chakula nyumbani tena cha watoto wake na mumewe na kuwapelekea ndugu ni cha fedheha sana.

Ni mwanamke mpumbavu tu anayeweza kufanya hayo. Kongosho ninakubaliana na msimamo wako, ila naona wengine wanamlaumu mleta mada kwa alichokifanya kwa kusingizia sijui ni mchoyo and the like...mi nasema kwamba mtu unamwoa mkeo na sio, literally, ukoo mzima, japokuwa practically inaweza kubidi kusaidia ndugu hapa na pale. I wapi kauli ya kwamba "huyu ataachana na baba na mama yake, naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja?" Hapo inaonekana bado wanalazimishwa tu kubaki na baba na mama zao!

Jamaa kafanya wema kawasomesha kote huko, they are supposed kutafuta kazi au walau waonyeshe juhudi ili wasaidiwe, lakini kwa hali hii ni kwamba wamebweteka, na ninajua baadhi mnaosoma hii sredi mmebweteka.....grow up and fight kwa ajili ya maisha yenu.

Mkuu mkeo akishatoka, kama ametandikwa viboko 6 akifika nyumbani mwongezee 6 akawaonyeshe na kwao, kisha mrudishe sijui kitchen party and the like, halafu "muoe upya" kwa a candle dinner sehemu nzuri. Mkishakula tunda lay down your rules from there on...mshahara wake uuone, na wa kwako muonyeshe, mpange matumizi pamoja.hao ndugu waaambieni wajitegemee, hawawezi kuwa chini yenu milele....wajue tu kwamba u can no longer support them....hii kauli ya sijui kesho utapatwa na shida and the like usiikubali kabisa ndio chanzo cha unyonge wa wengi.
 
Last edited by a moderator:
Kaizer hi swtlo!! Kongosho big up.

nije kwenye mada husika, jaman tukubali tukatae wanawake wengi ni mizigo isiyo bebeka..............na sijui kwann huwa tunakuwa na negative perception kwenye maisha yetu. yaani kila kitu tumekisubject kwenye mwanaume/mume afanye.

ukiuguliwa na mama yako wewe binti mume/mwanaume akupe hela ya kuuguza asipokuapa ni kosa, ndg zako akusomeshee, kula akulishe na kukuvesha hivi sisi kama wnawake tunafanya kazi ili nini??

well basi mkubaliane kwenye approach nzuri ya kupewa, kwangu mie ningemwona huyu mkeo yuko fea kama usiku angekupa mambo yakuchanganye mwenyewe umpe wallet achukue apendazo, sasa unakuta mama mwenyewe gubu, heshima hana,hana paozi la kuombea msaada sasa alicho bakiwa nacho nikutapanya vya ndani mwake.

pesa ya mtu naiheshimu kuliko Ebola na siipendi wala hata kuitamani, naitaman sana hela yangu na nashukuru kwamba nina uhuru nayo.

tusipende kutukanisha koo zetu kwa kuonekana watu wa dhiki mpaka unyayoni, hatuna jema duniani hapa.
 
Last edited by a moderator:
Hadi sasa sijaona kosa la kusabibisha kutoa hii adhabu!
Huyu ni mke si mchumba.

sometimes unatakiwa kila kitu kiasi yani upole kiasi na hasira kiasi.... shida ya huyo mke ni kujiona anazo nyingi na kugawa sana na sio upendo tu kwa ndugu zake....
wanamsujudu na hiyo hali anaipenda maana huo ni upendo wa mshumaha.... kwann ndugu kwanza then familia inafata.... unatakiwa kuwa mkali tena mkali haswa
 
Kaizer hi swtlo!! Kongosho big up.

nije kwenye mada husika, jaman tukubali tukatae wanawake wengi ni mizigo isiyo bebeka..............na sijui kwann huwa tunakuwa na negative perception kwenye maisha yetu. yaani kila kitu tumekisubject kwenye mwanaume/mume afanye.

ukiuguliwa na mama yako wewe binti mume/mwanaume akupe hela ya kuuguza asipokuapa ni kosa, ndg zako akusomeshee, kula akulishe na kukuvesha hivi sisi kama wnawake tunafanya kazi ili nini??

well basi mkubaliane kwenye approach nzuri ya kupewa, kwangu mie ningemwona huyu mkeo yuko fea kama usiku angekupa mambo yakuchanganye mwenyewe umpe wallet achukue apendazo, sasa unakuta mama mwenyewe gubu, heshima hana,hana paozi la kuombea msaada sasa alicho bakiwa nacho nikutapanya vya ndani mwake.

pesa ya mtu naiheshimu kuliko Ebola na siipendi wala hata kuitamani, naitaman sana hela yangu na nashukuru kwamba nina uhuru nayo.

tusipende kutukanisha koo zetu kwa kuonekana watu wa dhiki mpaka unyayoni, hatuna jema duniani hapa.

Mimi sina la kuongeza zaidi na ukifuatilia mikasa ya wanandoa huwezi kuoa wala kuolewa.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kulala ndani imetosha mkuu,Kaa naye sasa umpe last warning na ratiba mpya hapo home.
Igawanye budget ili naye awe na share ya kuchangia kidogo na umwambie awe Anatoa kiasi kwenye mshahara wake ku support nduguze kila mwezi.
Akiendelea basi ni sikio la kufa hilo!
 
Mimi sina la kuongeza zaidi na ukifuatilia mikasa ya wanandoa huwezi kuoa wala kuolewa.

yaani bestie ukitaka kushindwa kufanya lolote ktk maisha yako ni kuish ukipenda kusikiliza ushuhuda wa kushindwa kwenye maisha ya wengine.
mfano wewe unaona ukipata ushuhuda wa kushindwa wa wanandoa huwez kuish lkn ukasahau kwamba ukifuatilia mikasa ya familia zenye magonjwa basi huwez kuzaa kwa hofui kwamba ivi na wanangu ama mimi nikiugua hivi itakuwaje?

cha msingi kaka angu ishi maisha yako na changamoito kama hizi lazima ziwepo ilizifanyike kama funzo kwetu.
kimsingi mikasa tunayoisikia humu ni michache sana kuitumia kama sample size manake yale mazuri yaliyomo kwenye ndoa humu huwa hatuyaongelei.

Binafsi sijawah kujuta kuolewa wala mume wangu hajawah kujuta kunioa ingawa changamoto zipo na hizi hazitofautian na changamoto ambazo mtu anaweza kuzipata akiwa peke yake in terms of kwann zinakuwepo.

iko hivi mithan ya biology na kiswahili yote ni mitihan ingawa inapima uwezo tofauti wa kuelewa mambo tofauti. Napenda sana ndoa na changamoto zake na muhimu ni kujua wapi wewe personally umetumika vibaya na kurekebisha bila kutengenza scene, na wapi ambapo umekosewa (as unavyoamini) na urekebishe bila kutengenza scene.

ivi Matola kusingekuwa na changamoto kwenye ndoa wafikiri maisha yangekuwaje? si watu tungeish kwa jeuri sana mbele za Mungu?
 
Last edited by a moderator:
Ndoa yako ina changamoto nyingi.
Jiangalie ulipokosea katika kuweka misingi/ mihimili ya ndoa, jirekebishe.

Lakini pia upande wa pili wa shilingi, mkeo, mawasiliano na maelewano baina yenu. Mke awe responsible ndani ya nyumba..ataona uchungu wa vitu mlivyonavyo.

Kusaidia ndugu ni kitu cha kujadili, sio kujifanyia tu. Ni lazima mkae mjadili jinsi gani msaidie ndugu wa pande mbili.

Otherwise ndoa iko pabaya...!
 
Mkuu jaribu kuwa na moyo wq kutoa, yote hayo ni kuifanya dunia sehemu nzuri ya kuishi...

Hao shemeji zako wana hali mbaya, kama wangekua wanajitosheleza kamwe usingewaona kwako, zaidi sana wangekuja kusalimia tu...

Usiwe na roho ya chuki, it's a world where we know nothing even the next second, hujui kesho yatakukuta nini, they so say "kufa kufaana"...

Watoe lock up hao wapendwa, sambaza upendo mkuu...

you have no idea!
 
Hiyo kulala ndani imetosha mkuu,Kaa naye sasa umpe last warning na ratiba mpya hapo home.
Igawanye budget ili naye awe na share ya kuchangia kidogo na umwambie awe Anatoa kiasi kwenye mshahara wake ku support nduguze kila mwezi.
Akiendelea basi ni sikio la kufa hilo!

kwa mwanamke wa kawaida inawezekana, kwa kichwa cha taliban ni ngumu, ukiwaona ni wacheshi mpaka raha, tabasamu muda wote na rafudhi yao tamu inakufanya upende tu kupiga naye story.....thubutuu, mnamsemaga lara1 kuwa ni kubwa la maadui, hapo mwenyewe anakaa!
 
Last edited by a moderator:
Ndoa ni taasisi kama zilivyo taasisi zingine. Taasisi zinatakiwa kujilinda ili zisimame, endapo mtu mmoja kwenye taasisi akiamua kwa akili yake kuiba vitu vya taasisi na kupeleka kwingine huyo ni muuaji wa hiyo taasisi.
 
yaani bestie ukitaka kushindwa kufanya lolote ktk maisha yako ni kuish ukipenda kusikiliza ushuhuda wa kushindwa kwenye maisha ya wengine.
mfano wewe unaona ukipata ushuhuda wa kushindwa wa wanandoa huwez kuish lkn ukasahau kwamba ukifuatilia mikasa ya familia zenye magonjwa basi huwez kuzaa kwa hofui kwamba ivi na wanangu ama mimi nikiugua hivi itakuwaje?

cha msingi kaka angu ishi maisha yako na changamoito kama hizi lazima ziwepo ilizifanyike kama funzo kwetu.
kimsingi mikasa tunayoisikia humu ni michache sana kuitumia kama sample size manake yale mazuri yaliyomo kwenye ndoa humu huwa hatuyaongelei.

Binafsi sijawah kujuta kuolewa wala mume wangu hajawah kujuta kunioa ingawa changamoto zipo na hizi hazitofautian na changamoto ambazo mtu anaweza kuzipata akiwa peke yake in terms of kwann zinakuwepo.

iko hivi mithan ya biology na kiswahili yote ni mitihan ingawa inapima uwezo tofauti wa kuelewa mambo tofauti. Napenda sana ndoa na changamoto zake na muhimu ni kujua wapi wewe personally umetumika vibaya na kurekebisha bila kutengenza scene, na wapi ambapo umekosewa (as unavyoamini) na urekebishe bila kutengenza scene.

ivi Matola kusingekuwa na changamoto kwenye ndoa wafikiri maisha yangekuwaje? si watu tungeish kwa jeuri sana mbele za Mungu?

Unajuwa mimi sijasoma thread yote nilivyoona imekaa kinjaanjaa tatizo ni poverty.

Ndio naichukia Ccm kuliko chochote kwa kuwatia ufukara Watanzania.

Ni aibu dunia ya leo bado watu tuwe tunasumbuliwa na uhakika wa kula ni aibu ndio maana nimejisikia tabu hata kusoma thread yote.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu, japo hili la kuwaweka ndani mkeo na shemeji yako nadhani halikuwa sahihi, ninachokushauri ni:
1. Mfanye mkeo awe responsible na familia, mjengee mazingira ya yeye kuchangia cost za familia
2.Usihusike na issue za jikoni directly, kaa chini na mkeo mjuwe kwa mwezi mnatumia kiasi gani kwa chakula,kisha mpe hiyo pesa mkeo na msisitize kuwa umeshafunga mkataba kwa mwezi huo, akili kichwani mwake ikifika tar 15 akakwambia pesa imeisha basi usitoe shilingi moja na mwambie huna pesa na endeleza msimamo huo.kwa kuwa mmepanga bajeti ya mwezi mzima haiwezekani tar 15 ikawa pesa imeisha, angalau iwe imeishia kuanzia tar 25 na kuendelea atleast hapo mana najuwa kuna emergencies nk.
Kuwa na muda nje ya nyumba yenu uwe unatoka na mkeo TU mnakwenda kuzungumza au kuspend for sometimes, huko utapata fursa nzuri ya kumuweka sawa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom