Who really killed Prof. Mwaikusa?

Who really killed Prof. Mwaikusa?

Afadhali hela zao zinaonekana zinafanya nini. Mashule (Seminary zote za Katoliki ziko juu katika Elimu) Hospital za Katoliki huwezi kulinganisha na za Serikali.
Sitaki kusema haiwezekani kwani hata Papa ni Mwanadamu ila kama ni kweli nadhani issue ni individual na si Shirika
Kwa hiyo waendelee kuua ili tupate na university,acha kuwa uvivu wa kufikiri hizo tuhuma za mauaji zingehusu ndugu yako ungekuj na huu upuuzi?
 
Candid Scope,

Mbona unaongea kwa uhakika sana kama vile kwamba hao jamaa wa Peramiho hawawezi kuhusika? Unajua kashfa ya benki ya Vatican miaka ya 1970-80 ambapo kuna watu walijinyoga (sehemu ya scandal hiyo imo katika sinema za Godfather). Sijui kwa nini unaona hao watu hawawezi kufanya uhalifu. Pia unaweza kusoma kitabu cha "In the Name of God" cha David Yallop kuhusu kifo cha Pope John Paul I. Hivyo stori hii ya Mwaikusa huwezi kui-dismiss tu ati kwa vile wamisionari wa Peramiho walijenga shule, hospitali, vyuo, etc. Udhaifu kwa stori ya Raia Mwema inawezekana kuwa hawana uthibitisho wa kutosha tu na au hawaku-research kwa undani, kwani kwa Mwaikusa kun "conspiracy theories" nyingi tu.
 
Nikilinganisha hizi habari, Raiamwema siwaelewi kabisa

Rwanda yatajwa kifo cha Prof. Mwaikusa | Gazeti la MwanaHalisi......

Raia Mwema imetumiwa kulazimisha kuunganisha dots ili kupoteza lengo. Kama issue ilikuwa ni kutafuta documents muhimu za umiliki wa mgodi, mbona wauwaji hawakuchukua kitu chochote toka kwa Mwaikusa?

Hapa Raia Mwema inajaribu kutupeleka Mabwepande, angalia mauaji yasiyohusika na Serikali yanavyofanyiwa kazi na uyalinganishe na yale yanayo husishwa na Serikali! Changanya na za mbayuwayu utapata jibu!
 
Hizi zinaonekana ni juhudi za kulichafua kanisa katoliki kwa hadithi za kuungaunga.

Hii habari ya Mwaikusa itaendelea toleo la kesho kutwa jumatano. Tuone kama Raia Mwema hawatakata kona na kupiga rivasi.
 
Hizi zinaonekana ni juhudi za kulichafua kanisa katoliki kwa hadithi za kuungaunga.

Hii habari ya Mwaikusa itaendelea toleo la kesho kutwa jumatano. Tuone kama Raia Mwema hawatakata kona na kupiga rivasi.
Mimi jameni nalisubiri hilo toleo, endapo watakuja na makuu zaidi, bado kwa kuwa walisema itaendelea ni mapema mno kusema kuwa wana vielelezo dhaifu, ila keshokutwa tutajua walilolianzisha endapo lina mashiko au la.
 
Hilo ndio kanisa! ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

Napenda na kuuheshimu sana ukweli. Ninahamu sana ya kufahamu ukweli ukoje kwenye hili suala. Kuna wakati mama Theresa wa Calcuta aliingia kwenye msukosuko mkubwa baada ya kusingiziwa kufanya biashara ya kusafirisha watoto...lakini kama ilivyo kwenye mambo yoyote mengine ya maisha, ukweli utasimama imara daima.
 
Mwanahalisi walikuwa wanafanya uchunguzi na uchambuzi wa kina ambao hata kuwashtaki ilishindikana ndio maana serikali ikatumia uamuzi wa mezani kupitisha rungu lake kutokana na kuabishwa yanayojilifichika. Raia mwena huwa mimi si msomaji wake, kwani uchambuzi wao hauko makini, wanachukua habari za vijiweni na kuziweka ukurasa wa mbele na kuzipa uzito wa juu.

Fuatilia sakata la Deusi Mallya(Kifo cha Wangwe) ndo utajua kuwa na wao huwaga wanaongozwa na maslahi binafsi.
 
Mkuu hata timing yake ni highly questionable - kuna kitu wanataka ku-pre empty hapa! Kuna wakati fulani mwandishi mmoja alikuwa amepania kupotosha habari kuhusu mapinduzi ya Zanzibar - anawasema vibaya wakina Okello na wengine, yaani anaonyesha wazi wazi chuki zake binafsi na kujaribu ku-water down efforts za watu walijitolea muhanga!

Mwenyekiti wa gazeti la RaiaMwema Bwana Ulimwengu ni mtu mahili sana, amewahi kufanya kazi Serikalini na anajuwa mambo mengi sana including ukweli kuhusu kilicho jili wakati wa wapinduzi ya Zanzibar; mimi nilikuwa najiuliza maswali mengi: kwa nini alikuwa anaruhusu wandishi wa habari kupotosha ukweli kimaksudi!!


Mwenyekiti wa gazeti siyo mhariri wa gazeti.
 
kukutwa kwa sahihi zao pekee sio sababu inayojitosheleza kuwahusisha na mauaji
lazima kuwe na supporting evidence kama alama za vidole, mawasiliano yao ya simu na wauaji
vitisho ambavo walishawahi kuvitoa kwa prof kama vipo,
any unsual movement au mahusiano shaka kati yao na marehemu
au kama kuna any transaction walitoa bank kuwapa wahalifu nk
lazima kuwe na strong evidence
mere signature does not qualify as a supporting evidence to hold liable the two mention people as suspects
mwenye kuwaza hivo ni layman au bush lawyer
ndio maana magazeti ya nchi za wenzetu makala kama ni ya kisheria anaandika legal analyst ambae ni lawyer
kama ni uchumi anaandika mchumi sisi huku mtu wa form 4 tena div 4 ndio mchambuzi wa kila kitu
Hapa ndio mtanzania katoa bonge la hoja kwa mada nzito kama hiyo. Kweli Mtanzania huwezi kumtetea WALA KUMSAIDIA.

Leo nimefahamu kwanini JK alikiri kuwa hajui kwanini Tanzania ni masikini? Nafikieri hakujua kama ni umasikini wa rasilimali au AKILI?
 
Prof Mwaikusa alipouawa, wauaji wake walichukua nini? Mbona hawakuchukua kitu halafu waliishia nje!
 
kukutwa kwa sahihi zao pekee sio sababu inayojitosheleza kuwahusisha na mauaji
lazima kuwe na supporting evidence kama alama za vidole, mawasiliano yao ya simu na wauaji
vitisho ambavo walishawahi kuvitoa kwa prof kama vipo,
any unsual movement au mahusiano shaka kati yao na marehemu
au kama kuna any transaction walitoa bank kuwapa wahalifu nk
lazima kuwe na strong evidence
mere signature does not qualify as a supporting evidence to hold liable the two mention people as suspects
mwenye kuwaza hivo ni layman au bush lawyer
ndio maana magazeti ya nchi za wenzetu makala kama ni ya kisheria anaandika legal analyst ambae ni lawyer
kama ni uchumi anaandika mchumi sisi huku mtu wa form 4 tena div 4 ndio mchambuzi wa kila kitu


SUPER.... Mkuu naona wewe ni mwana sheria mahili - bravo.
 
mkuu mbona hiyo picha inaonyesha kama hapo ni TOSAMAGANGA IRINGA? au macho yangu? ama mazingira yanafanana?

Majengo ya Watawa wa Peraminho, Watawa wa Tosamaganga na Shule ya Sekondari Tosamaganga yanafanana sana. Yote yamejengwa na Kanisa Katoliki na kwa kutumia materials zinazofanana. Bahati nzuri nimewahi kuishi na kaka yangu alikuwa Mtawa Tosamaganga so hayo Majengo si ya Tosamaganga ni Peraminho.
 
Am afraid this might be a flip flop to mislead and misdirect truth and evade true perpetrators away from the book. Sijaona insurable interests za kumfanya Prof, ambaye alikuwa just a company secretary kuuawa na share holders (or people claiming to have insurable interests thereto). Am afraid this passage leave so many stones unturned, henceforth doesnt hold the issue water-tight.

That's my opinion.

Below is an extract from the report

“Taarifa zinasema akiwa mwakilishi wa Shirika la
watawa hao, Profesa Mwaikusa alisimamia sheria
akiwataka watawa hao kufuata sheria katika
kuuchukua mgodi huo wa Lukarasi, msimamo
ambao hawakukubaliana nao kutokana na
mazingira ya usiri katika umiliki wa mgodi
wenyewe, usiri uliowanufaisha zaidi watawa hao."
 
kukutwa kwa sahihi zao pekee sio sababu inayojitosheleza kuwahusisha na mauaji
lazima kuwe na supporting evidence kama alama za vidole, mawasiliano yao ya simu na wauaji
vitisho ambavo walishawahi kuvitoa kwa prof kama vipo,
any unsual movement au mahusiano shaka kati yao na marehemu
au kama kuna any transaction walitoa bank kuwapa wahalifu nk
lazima kuwe na strong evidence
mere signature does not qualify as a supporting evidence to hold liable the two mention people as suspects
mwenye kuwaza hivo ni layman au bush lawyer
ndio maana magazeti ya nchi za wenzetu makala kama ni ya kisheria anaandika legal analyst ambae ni lawyer
kama ni uchumi anaandika mchumi sisi huku mtu wa form 4 tena div 4 ndio mchambuzi wa kila kitu

Well said Lokissa
 
Below is an extract from the report

"Taarifa zinasema akiwa mwakilishi wa Shirika la
watawa hao, Profesa Mwaikusa alisimamia sheria
akiwataka watawa hao kufuata sheria katika
kuuchukua mgodi huo wa Lukarasi, msimamo
ambao hawakukubaliana nao kutokana na
mazingira ya usiri katika umiliki wa mgodi
wenyewe, usiri uliowanufaisha zaidi watawa hao."

Gazeti limetoa maelezo bila vielelezo, kwani hiyo aya inajitosheleza kama maelezo ya mwandishi, vinginevyo kuyapa uzito angeambatanisha na document evidence. Haya ndiyo matatizo ya kuchukua habari za vijjiweni.
Wamefanya utafiti kuwauliza watuhumiwa? Vinginevyo zinabaki ni propaganda tu.
 
Candid Scope,

Mbona unaongea kwa uhakika sana kama vile kwamba hao jamaa wa Peramiho hawawezi kuhusika? Unajua kashfa ya benki ya Vatican miaka ya 1970-80 ambapo kuna watu walijinyoga (sehemu ya scandal hiyo imo katika sinema za Godfather). Sijui kwa nini unaona hao watu hawawezi kufanya uhalifu. Pia unaweza kusoma kitabu cha "In the Name of God" cha David Yallop kuhusu kifo cha Pope John Paul I. Hivyo stori hii ya Mwaikusa huwezi kui-dismiss tu ati kwa vile wamisionari wa Peramiho walijenga shule, hospitali, vyuo, etc. Udhaifu kwa stori ya Raia Mwema inawezekana kuwa hawana uthibitisho wa kutosha tu na au hawaku-research kwa undani, kwani kwa Mwaikusa kun "conspiracy theories" nyingi tu.


Kama ungesoma vizuri maelezo yangu tangu awali ungenielewa kwamba huko mbali sana na mtazamo wangu. Nilieleza wazi kuwa:
Sahihi za watawa hao wawili hazionyeshi majukumu yao katika shirika kwa vile mwenye wajibu wa mikataba ni Procurator wa shirika, hao wawili hakuna hata mmoja ambaye ni procurator wa shirika. Hivyo ingekuwa ni shauri inayowahusu hao waliotia sahihi badala ya kulihusisha shirika.

Mimi ni Mkatoliki najua vema sana taratibu za kanisa na mashirika yake kadiri zilivyoainishwa na katiba za mashirika, Canon Law ya Kanisa Katoliki na taratibu nyingine zinazowahusu.
Shirika la Wamisionari Wabenediktini wa Peramiho kama nilivyoainisha hapo juu ni tawi kutoka Shirika mama la St Ottilien taratibu za shughuli zao lazima

  • Kiroho Mkutano wa shirika uridhie kwa kura za theluthi mbili
  • Kiuchumi Mkutano wa shirika lazima uridhie kura kiwango cha theluthi mbili
  • Mkuu wa shirika arithie maamuzi ya kura za wanashirika kutilia sahihi

Suala linalohusu uchumi hata kiroho kama kuanzisha tawi au nyumba nyingine, kuanzisha mradi mkubwa kama huo wa machimbo ya madini lazima uidhinishwe na mkutano mkuu wa Shirika mama la St. Otilieni pamoja na halmashauri yake inayoundwa na wakubwa kutoka nyumba kadhaa zenye uwakilishi. Mradi kama huo unatakiwa uwe chini ya uangalizi wa procurator mkuu wa shirika. Mfano Procura ya Benedictine Fathers pale Kurasini si ya Peramiho au Ndanda, bali ni ya shirika chini ya usimamizi wa nyumba zilizoka Tanzania.

Kwa hoja hizo maana yake Mkutano Mkuu wa Shirika ulirithia Machimbo ya Madini na hali kadhalika kupanga mauaji ya Mwaikusa kwa theluthi mbili za wajumbe wa mkutano wa halmashauri kuu ya shirika katika ya katiba yao kadiri ya utashi wa gazeti la Raia Mwema? Je, kwa tuhuma hizi ambazo gazeti la Raia Mwema ina maana Abatia ya Peramiho ilifanya mkutano wake wa kikatiba na kupata idhini ya theluthi mbili kupanga mkakati wa kumwua Mwaikusa?

Uzoefu wa watu walio karibu na wamisionari hawa wana kawaida sana ya kuwasaidia watu kwa njia mbalimbali, hivyo yawezekana machimbo hayo ambayo watu walikuwa wanatumia zana duni, waliona kuna umuhimu wa kuwasaidia zana bora. Kwa vile zana hizo ni ghali sishangai kama watumiaji walitakiwa kuzinunua na kama uwezo haukuwaruhusu walihitaji ushauri wa wanasheria namna ya kufanya kama ilivyozoeleka wao kuomba mwanasheria mzalendo kuwasaidia masuala ya kisheria. Kwa vile ni mfumo wa kiuchumi kuna taratibu zake kama kuzitumia kwa mfumo wa ubia kadiri ya maelekezo ya mwanashria wao.

Peramiho licha ya kuwa na wanasheria wao, wana kawaida ya kuajiri mwanasheria mahiri mzalendo ili kuwasaidia kuweka mambo sawa yahusuyo sheria zinazoingiliana na sheria za serikali. Hilo halina shaka, na ndivyo ninavyoelewa walivyomtumia Mwaikusa.

Tatizo wengi wetu tunakuwa na tafsiri potovu kwa kufanya tafsiri tunavyoona sisi bila kufanya utafiti au kuwaulizia wahusika watufafanulie hili ndilo linalotufanya tuonekane tuko watu wenye upeo wa kiwango cha masafa mafupi.

Rais Kikwete miezi michache iliyopita alifungua umeme jimboni Njombe katika Tarafa ya Mawengi umeme ambao umesambazwa vijijini. Mradi huo kwa mtazamo wa wenye upeo wa kiwango cha masafa mafupi watafikiria ni wa kanisa, kumbe ni mpango wa maendeleo wa kanisa kwa wananchi, ni jambo linalohusu wananchi na kwa manufaa ya maendeleo ya wananchi si kanisa lenyewe. Mpango wa Peramiho kuingiza vifaa hivyo huko mimi ningekuwa na mtazamo huo, vinginevyo kuwepo na vielelezo vya wazi vinavyoonyesha umiliki na document za Shirika na Procura kuthibitisha.

Majuzi Speaker makinda amemrudi waziri na wabunge kuibua kashfa za rushwa bila vielelezo vya wazi na bila uthibitisho, hata ikiundwa tume bila uthibitisho nini kitaendelea? Wanamsakama Makinda, lakini ukweli ndio huo kamati haikukuta evidence, sasa itawatia hatiani kwa mambo ya kufirikika? Mwenye evedence apeleke wafungwe, hakuna aliyethubuti ila naneno mengi, kisheria mambo hayaendi hivyo. Ndio haya sasa ya kufikirika hadi kufikia kulituhumu shirika la watawa kuhusika na mauaji bila evidence kama
Lokissa alivyoainisha kwa nukuru ifuatayo:
avatar32095_12.gif
Lokissa
kukutwa kwa sahihi zao pekee sio sababu inayojitosheleza kuwahusisha na mauaji
lazima kuwe na supporting evidence kama alama za vidole, mawasiliano yao ya simu na wauaji
vitisho ambavo walishawahi kuvitoa kwa prof kama vipo,
any unsual movement au mahusiano shaka kati yao na marehemu
au kama kuna any transaction walitoa bank kuwapa wahalifu nk
lazima kuwe na strong evidence
mere signature does not qualify as a supporting evidence to hold liable the two mention people as suspects
mwenye kuwaza hivo ni layman au bush lawyer
ndio maana magazeti ya nchi za wenzetu makala kama ni ya kisheria anaandika legal analyst ambae ni lawyer
kama ni uchumi anaandika mchumi sisi huku mtu wa form 4 tena div 4 ndio mchambuzi wa kila kitu

 
Aliyepeleka taarifa hii ya UWONGO NA UZUSHI kwa mhariri mkuu wa Raia Mwema ni NESTORY MHUWA(Ex Br.Aidan Mhuwa). Huyu alikuwa mtawa wa Abasia Peramiho. Amefukuzwa utawa mwaka huu 2012 baada ya kutiwa hatiani na mahakama ya hakimu mkazi Songea january 2012 na kupata adhabu ya kifungo cha mika 3 jela. Kuanzaia mwezi September 2012 ameanza kutumikia kifungo cha nje. Ex mtawa huyo aliiba mamilioni ya fedha ya Abasia Peramiho, ambayo yanafikia zaidi ya Tsh.500,000,000.-(milioni 500). Amezusha uongo huo ili kulipa kisasi kwa sababu yeye bado anaamini alionewa kwakutia hatiani. Pia, aliutegemea sana mgodi huo wa UMICO, asijue kuwa hakuwa na hisa hata mmoja. Kabla ya kutoa habari hii kwenye gazeti husika alijigamba kuwa Abasia imenifukuza utawa na kusababisha kufungwa, hivyo watanikoma. Nitahakikisha nawakomoa. Ni kweli amewakomoa haswa!
Lakini yote ni uongo mtupu na yatapita kama upepo.Yeye aendelee kumtumika shetani!
Ukweli utapatikana mahakamani!
 
Back
Top Bottom