Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Mh Abate lambert, na mauaji ya Prof, sijui!!
Candid Scope,
..waliofanya mauaji hayo ni WAHUNI.
..watawa wa ukweli hawawezi kujihusisha na ukatili.
wala sishangai wafanya maovu wanajifichaga nyuma ya mwamvuli wa dini
Mafia hawa ulikuwa hujui? They make money in the name of God. They cheat everybody including themselves.
Na serikali yetu kimya. Alafu Mwema na wenzake wanapeta tu.Nijuacho ni kuwa prof aliuawa na watu wanaozaniwa ni toka burundi na rwanda nse prof alikuwa anasimamia baadhi ya kesi
Hii ya leo ndo nashangaa ila kama wanahusika hao watawa mbona wangetumia mbinu zingine kutekeleza hayo bse prof aloshindiliwa risasi za kutosha na mpaka leo kimya
Mafia hawa ulikuwa hujui? They make money in the name of God. They cheat everybody including themselves.
Hizi taarifa hazina ukweli wowote.
Date | Age | Event | Title |
---|---|---|---|
12 Jul 1866 | Born | St. Jakob am Arlberg, Italy | |
24 Apr 1889 | 22.8 | Ordained Priest | Priest |
15 Aug 1892 | 26.1 | Professed | Priest of Order of Saint Benedict |
15 Sep 1902 | 36.2 | Appointed | Prefect of Southern Zanguebar {Zanguebar Meridionale}, Tanzania |
17 Sep 1902 | 36.2 | Appointed | Vicar Apostolic of Southern Zanguebar {Zanguebar Meridionale}, Tanzania |
17 Sep 1902 | 36.2 | Appointed | Titular Bishop of Ostracine |
16 Nov 1902 | 36.3 | Ordained Bishop | Titular Bishop of Ostracine |
14 Mar 1905 | 38.7 | Died | Vicar Apostolic of Southern Zanguebar {Zanguebar Meridionale}, Tanzania |
Leo ndo nimetoka kifungoni, ngoja nikae kimya kidogo
Ukimya wa serikali ndo unanifanya niwaze kuwa ilo ni deal la inchi na inchi ingekuwa na kanisa serikali hii ilivyo mbona wangekomaa
Ushuhuda wangu ni huu, katika kesi kadhaa ambazo vyombo vya dola vinapofanya uchunguzi, inapotokea kugusa vihiyo katika ngazi za juu serikalini hufanya usanii wa kuyumbisha kutafuta pakujishikiza kama ilivyotokea kwa Mwenyekiti wa Madaktari Tanzania kumsingizia mwenye matatizo ya akili kuwa ndiye aliyempeleka Dr. kule msituni. Wakishaona kuna penye unyonge hujishikiza hapo.
mkuu mbona hiyo picha inaonyesha kama hapo ni TOSAMAGANGA IRINGA? au macho yangu? ama mazingira yanafanana?PICHA kulia ni Kanisa Kuu la Abatia Peramiho
Ndio maana ukweli lazima utafutwe kwa nguvu zote hata kama unaumiza kiasi gani. Binafsi siamini kama watawa hao wanaweza kufanya hivyo na kama wamefanya hayo hatua za kisheria lazima zichukuliwe juu yao....
mkuu mbona hiyo picha inaonyesha kama hapo ni TOSAMAGANGA IRINGA? au macho yangu? ama mazingira yanafanana?