fundimchundo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2010
- 747
- 1,042
Br. Aidan, ambaye alijaribu kuizunguka Abasia ya Peramiho kwa kuingia ubia na mtu mmoja aishiye Kibaha ili hawa wawili kwa pamoja waumiliki mgodi wa Lukarasi anaitwa Nestory?Aliyepeleka taarifa hii ya UWONGO NA UZUSHI kwa mhariri mkuu wa Raia Mwema ni NESTORY MHUWA(Ex Br.Aidan Mhuwa). Huyu alikuwa mtawa wa Abasia Peramiho. Amefukuzwa utawa mwaka huu 2012 baada ya kutiwa hatiani na mahakama ya hakimu mkazi Songea january 2012 na kupata adhabu ya kifungo cha mika 3 jela. Kuanzaia mwezi September 2012 ameanza kutumikia kifungo cha nje. Ex mtawa huyo aliiba mamilioni ya fedha ya Abasia Peramiho, ambayo yanafikia zaidi ya Tsh.500,000,000.-(milioni 500). Amezusha uongo huo ili kulipa kisasi kwa sababu yeye bado anaamini alionewa kwakutia hatiani. Pia, aliutegemea sana mgodi huo wa UMICO, asijue kuwa hakuwa na hisa hata mmoja. Kabla ya kutoa habari hii kwenye gazeti husika alijigamba kuwa Abasia imenifukuza utawa na kusababisha kufungwa, hivyo watanikoma. Nitahakikisha nawakomoa. Ni kweli amewakomoa haswa!
Lakini yote ni uongo mtupu na yatapita kama upepo.Yeye aendelee kumtumika shetani!
Ukweli utapatikana mahakamani!
Unasema amehukumiwa kifungo na Mahakama ya Hakimi Mkazi Songea?
Kweli, dunia hadaa, ulimwengu shujaa!