Who really killed Prof. Mwaikusa?

Who really killed Prof. Mwaikusa?

vaticans are the "secret terrorists".....Papa John Paul II alihusika moja kwa moja kwenye mauaji ya wayahudi.....ts not a secret anymore......

Ndio nasikia leo, unaweza kutuletea vielelezo ili kutuaminisha tuhuma hizo?
 
Inafahamika kuwa prof Mwaikusa aliuwawa na serikali ya kagame nd hili linahusishwa sana na yeye kujiingiza na siasa za mauaji ya kimbarik nchini Rwanda...Raia mwema chini ya uenyekiti wa Jeneral Ulimwengu wana interest na ukaribu na rwanda na hapa wanajaribu kupotosha

Very possible mkuu!
 
Am afraid this might be a flip flop to mislead and misdirect truth and evade true perpetrators away from the book. Sijaona insurable interests za kumfanya Prof, ambaye alikuwa just a company secretary kuuawa na share holders (or people claiming to have insurable interests thereto). Am afraid this passage leave so many stones unturned, henceforth doesnt hold the issue water-tight.

That's my opinion.
 
monks.jpg
perachurch.jpg


Picha:
Kushoto watawa wa Peramiho wakiwa kanisani kusali sala ya Ofisio (liturujia ya vipindi) na kulia ni Kanisa Kuu la Abatia Peramiho ambalo zamani yalikuwa makao makuu ya Jimbo la Peramiho iliyokuwa Abatia Nulius (Kuongozwa na mkuu wa shirika la watawa) imezaa Jimbo Kuu la Songea, Jimbo la Njombe na Jimbo la Mbinga, ambayo ni majimbo yanayoongozwa na Maakofu wazalendo.

Shirika la Wabenedition Tanzania ambalo ni tawi toka shirika la Mt. Otilia kutoka Ujerumani kuingizwa kwenye tetesi ya kashfa ya mauaji ya Mwanasheria Mwaikusa, ni jambo la kushtua na si la kawaida, pengine ni mbinu ya kuyumbisha ukweli wa kilichojilia, huku wakihusishwa Br. Aidan OSB na Br. Edmond OSB kwa kile kinachoelezwa sahihi za hao wanashirika la Benediction Fathers Peramiho kukutwa kwenye document ya Mwaka 2003 inayoonyesha wanahisa katika machimbo ya mgodi wa Lukarasi.

Jambo linalonishangaza ni kuhusushwa Abate Lambert Dor OSB ambaye ni mkuu wa shirika hilo huko Peramiho, wakati wahusika ni hawa wawili pengine walifanya mikataba binafsi na si shirika.

Ninavyoelewa kuna upungufu mkubwa kuhusu habari hiyo kwa maana kwamba wenye mamlaka katika shirika lao kufanya mikataba si kila mwanashirika, ila ni Procurator wa shirika mwenye dhamana na mambo ya uchumi wa shirika, na udadisi wangu bado sina hakika kama hawa ni wako katika kitengo cha procurator ya Peramiho Abbey, huenda ni miradi binafsi inayofanywa na hao mabradha wawili na hivyo kulitia aibu na miskusuko shirika. Pengine uchunguzi ufanyike kwa kiwango cha kisheria, maana kama habari ilivyoletwa inatoa mswali ambayo kuna upungufu mkubwa wa kulihusisha shirika hilo ambalo makazi yake yako St. Otillien, nchini Ujerumani.

Habari hiyo ni kama ifuatavyo hapo chini nukuru kutoka gazeti la Raia Mwema.


Mwandishi wa habari hii ni aina ya waandishi wa kipumbavu kabisa.Na ndiyo maana sasa hivi wajanja wanalitizama Raia Mwema mara mbilimbili.Huwezi kutoa tuhuma nzito kama hizi kwa ushahidi wa kuokoteza na wa kijinga namna hii.
 
Mkuu jumapili ya oktoba 28 ambapo kwa uingereza muda huwa unarudi li saa limoja nyuma kuashiria kuisha kwa majira ya kiangazi, nilijikuta napata ban usiku huo bila ya hata kusikilizwa, na mbaya zaidi , hata e mail yangu amabyo nilikuwa natumia ikaingiliwa na wajuaji na hadi sasa haifanyi kazi, nimetafakari sana haya yaliotokea sijapata ufumbuzi, ndio sababu nakaa kimya nahisi kuna kitu kinatafutwa hapa ndugu yangu.

watishie na kukiona wakiendelea kukupekua. Attach na picha ya mkia wa warthog kiboko ya wambeya
 
Mwandishi wa habari hii ni aina ya waandishi wa kipumbavu kabisa.Na ndiyo maana sasa hivi wajanja wanalitizama Raia Mwema mara mbilimbili.Huwezi kutoa tuhuma nzito kama hizi kwa ushahidi wa kuokoteza na wa kijinga namna hii.

ninavyoona miye, kunaweza kukawepo ukweli kuwa baadhi yao kuhusika kama wanadamu, coz hawajamaliza ushahidi wao kwa nini kusema ushahidi dhaifu, tungoje tuone mwisho wa yote watawasilisha nini kuliko wandugu hapa jamnini kuwashambulia. binafsi nasubiri kwa hamu tena kubwa toleo lijalo kuona watakuja na vielelezo gani. Hapa songea nyumba ya pera siyo km ilivyokuwa zamani, ikizingatiwa uongozi sasa ivi mpya na una takribani miaka zaidi ya mitano. Abate lambet wala siyo liongozi wa sasa na yupo madarakani wanayemuita Annast, msaidizi wake ni buluda fidelis aliyepigiwa simu. fidelis ndiyo atueleze kulikono hapo wala sio abate lambet wala yule wa st otilien ujerumani. nionavyo wana point, kwa nini wampigie buluda fidelis na jonson nchimbi, naona candid unatupotosha, au wewe ni watu hao watajwao juu. kuna watu wanajifika ktk nyumba za sala jamani, nawaamini raia mwema, tujipe tu muda watueleze waliyonayo. tuhuma hizi nzito, wasingeziweka pasipokuwa na ushahidi wa kutosha.
 
ninavyoona miye, kunaweza kukawepo ukweli kuwa baadhi yao kuhusika kama wanadamu, coz hawajamaliza ushahidi wao kwa nini kusema ushahidi dhaifu, tungoje tuone mwisho wa yote watawasilisha nini kuliko wandugu hapa jamnini kuwashambulia. binafsi nasubiri kwa hamu tena kubwa toleo lijalo kuona watakuja na vielelezo gani. Hapa songea nyumba ya pera siyo km ilivyokuwa zamani, ikizingatiwa uongozi sasa ivi mpya na una takribani miaka zaidi ya mitano. Abate lambet wala siyo liongozi wa sasa na yupo madarakani wanayemuita Annast, msaidizi wake ni buluda fidelis aliyepigiwa simu. fidelis ndiyo atueleze kulikono hapo wala sio abate lambet wala yule wa st otilien ujerumani. nionavyo wana point, kwa nini wampigie buluda fidelis na jonson nchimbi, naona candid unatupotosha, au wewe ni watu hao watajwao juu. kuna watu wanajifika ktk nyumba za sala jamani, nawaamini raia mwema, tujipe tu muda watueleze waliyonayo. tuhuma hizi nzito, wasingeziweka pasipokuwa na ushahidi wa kutosha.

Hakuna anayeweza kupingana na ukweli ukithibitika. Tatizo habari hii imechukuliwa kigezo tu kwamba kwa vile waliona sahihi za watawa wawili katika moja ya document za hayati Mwaikusa basi shirika la watawa hawa wamehusika kumwua. Hapo kitu kinaingia akilini hoja dhaifu kama hiyo?

Tukubaliane kuwa kuna tatizo la vyombo vya habari hasa magazeti na kabisa wahariri wakuu kutokuwa makini, pengine huwa hawapitii makala zote zinazowekwa magazetini. Shutuma za mauaji kwa shirika nyeti kama hilo ni jambo linahohitajika kujiridhisha kwa utafiti wa kutosha kabla ya kulituhumu kuhusika na mauaji hayo.
 
Nijuacho ni kuwa prof aliuawa na watu wanaozaniwa ni toka burundi na rwanda nse prof alikuwa anasimamia baadhi ya kesi
Hii ya leo ndo nashangaa ila kama wanahusika hao watawa mbona wangetumia mbinu zingine kutekeleza hayo bse prof aloshindiliwa risasi za kutosha na mpaka leo kimya

Nahisi ka-harufu kazito kwamba mauaji ya prof. Mwaikusa ni organised mission kati ya watu binafsi na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama (excluding jwtz) vya hapa nchini. Akina mwema na othman wanalijua hili.

Pole sana PhD kwa ban.
 
nadhani mwandishi wa hii makala elimu yake ni ya kudesa pia tena ya kidato kifupi.
kuonekana kwa sahihi za watawa watakuwa wamehusikaje? ok tusema prof alikuwa na client wengi sana kama advocate kwa hivo tuseme clients wake wote wanahusika pia hasa wale ambao kesi zao hawakushinda?
haya ni mawazo dhaifu sana kwa gazeti kama hili kuandika habari za kusadikika.
 
sasa kwanini hawawatuhumiwa hawajakamatwa kama ilivyofanyika kwa afande barlow au kwakuwa yeye hayuko kwenye system yetu ya Mkali JK lakini yote haya yana mwisho kwani misri, libya na tunisia na sasa syria mambo yamekuwa yamoto nchi hizi zimekuwakama kaa la mawe.
 
Aisee inaweza kuwa inaukweli maana hata baadhi ya mapapa waliwahi kuuliwa kwa kuwa na misimamo tofauti na kundi la baadhi ya watawa hasa wale washauri wakuu wa kanisa
 
Hii habari nimejaribu
kuidadavua lakini sioni uhusiano wa kifo cha mwaikusa na hawa
watuhumiwa. Sioni habari katika hili labda kama Raiamwema walitaka
kutufikishia ujumbe kuhusu umiliki wa huo mgodi na mgogoro kati ya hao
Watumishi. Wametaja sababu kuwa ni nyaraka alizokua anazitunza Mwaikusa
lakini hakuna hata sehemu moja tangu kifo chake inayoonesha kuwa kuna
watu walijaribu kuiba nyaraka kutoka ofisini au nyumbani au sehemu
yoyote aliyokua anaimiliki Mwaikusa. Alivyouawa hata gari yake
haikupekuliwa na wauwaji. Vile vile kosa la Mwaikusa halionekani wala
haijaoneshwa hilo kundi la wauwaji litafaidika vipi au lilifaidika vipi
kutokana na mauaji hayo.

Kwa hisia zangu naweza kuunganisha hii habari na jitihada za Paul Kagame
kujisafisha na mauaji aliyoyafanya kwa kujaribu kumtumia swahiba wake
na mnyarwanda mwenye malengo ndugu Generali.

hapo nakuelewa. Nimesoma habari nzima nione eneo ambalo wahusika walijaribu kupata nyara hizo zinazoitwa za mgodi. bila shaka kama unavyosema lengo hapa ni kupeleka taarifa kwa jamii kwamba watawa hawa wanamiliki mgodi.
 
Are you sure what you talking about? Hayati Mwaikusa alifanya mashauri mengi kwenye makampuni mengi ya kitaifa na kimataifa, binafsi na ya kiserikali, jumuiya mbalimbali nk, iweje wadonoe kapunje haka na kutogusa sehemu ambazo zinaweza kuashiria uwezekano huu?

Unamfahamu Rt Rev. Abbot Lambert Dorr OSB wa Abatia Peramihi, wilaya ya Songea vijijini katika Mkoa Ruvuma ambaye alikuwa anaongoza Abatia hiyo ya wamisionari wabenediktini ambayo makao yake makuu yako St. Otilien nchini Ujerumani na makao makuu ya confoederation yakiwa Rome wanakoendesha Chuo cha St Anselm ambao kinatoa mafunzo ya shahada za Liturgia ya kanisa, Mkuu wa hapo St Anselmo akiwa ni Victor Damez aliyekuwa Mkuu wa St Otilian?

Huo uchafu wa mgodi ni nini ukilinganisha na makubwa yalifanywa miaka nenda rudi kujenga mashule, hospitali, zahanati, vituo vya afya, na mengineyo, ni mgodi gani waliouendesha kupata pesa za kujenga hayo kama si misaada ya waumini na serikali ya Ujerumani na Uswiss kufadhili hayo yote?

Unafahamu umri wa hawa wazungu wa Ujerumani? Kama nilivyokuambia sasa hivi ni wazee ambao hata kukumbuka maua kuyamwagilia uani pao hawana, halafu wahangaikie migoni ya uswahilini? Zaidi kibaya eti kupanga na kumwuka Maikusa? Kama hatua zikichukuliwa na wahusika kulishinikiza gazeti lithibitishe publication nakuhakikishia itaumbuka.

Mhariri mkuu wa gazeti hilo anatakiwa kutafakari vya kutosha kuhusu upotoshaji huo, wasionewe wanyonge kwa vile hawana uwezo wa kujenga hoja za kujitetea.

Du wewe una macho lakini huoni. Narudia hilo la kuhusika na mauaji ya Prof M silijui, lakini hilo la nani alikuwa ni mmiliki au akihusika na huo mgodi halina siri. Sijui hata kwanini magazeti wamechelewa kuliandika hilo. Isitoshe si magazeti Mengi yaliyoandika, lakini halikuwa siri hivyo unavyofikiri wewe.

Kwa taarifa yako hata hiyo ardhi waliinunua kwa nani mimi nafahamu. Na zaidi ya hao waliotajwa kuna wa Afrika kusini wawili hawajatajwa katika gazeti hilo ambao ndio walikuwa wahusika wakubwa katika ununuaji wa madini hayo. Sikuelezi nafasi yangu katika biashara hiyo lakini hata baadhi ya vithibitisho vya majina ya wahusika vipo. Waliotajwa ni wachache tu katika gazeti, kuna vigogo gazeti limewaogopa au ni tactical move wakisubiri reaction. Hii usibishe.

Unadai eti pesa zile ni ndogo ukilinganisha na pesa walizokuwa wanapata Ujerumani na Uswiss. Hivi unajua ni kilo ngapi zilikuwa zinapatikana katika mgodi ule kila siku? Hujui kitu, we acha tu kwa sababu hujui vyombo vilivyokuwepo huko, si majembe na sululu bali ni vyombo vikali toka Afrika Ya Kusini. Usilopoke juu ya kiwango kama huna namba, omba tutakupatia.

Unasema "Unamfahamu Rt Rev. Abbot Lambert Dorr OSB wa Abatia Peramihi" wacha huyo hata yule mjerumani aliyeishika Peramiho "Hanzgali" akiwa toka ujana wake mpaka kafia huko Peramiho Namfahamu. Tena si nilikuwa namjua tu bali hata yeye ananifahamu. Baadhi ya nafasi alizozishika ni ukurugenzi wa Hospitali ambaye sasa ameachiwa Dr Remy.

La mwisho ninasikitika sana kwa maelezo yako eti "Huo uchafu wa mgodi ni nini ukilinganisha na makubwa yalifanywa miaka nenda rudi kujenga mashule, hospitali, zahanati, vituo vya afya, na mengineyo" Kwa hili ninakusikitikia sana maana suala la Ethic na Moral values uko ziro. Yaani kwa vile wamefanya hayo mazuri basi wanaruksa ya kuiba malizetu nasi tucheke tu. Unajua hata Huko Ujerumani, huyo Bi Angel Markel licha ya mazuri yote aliyofanya akikutikana kaiba dola 100 000 za kimarekani kazi hana na mazuri yote yanasahaulika. Si umeona kinara wa Italia Beluskoni kaenda jela.

Hapa suala si kiwango bali ni moral values ndio muhimu. Tanzania tujifunze hili vinginevyo tutaimaliza nchi. Tafadhali kasome Ethics and Morals ili uisaidie nchi yako.
 
nadhani mwandishi wa hii makala elimu yake ni ya kudesa pia tena ya kidato kifupi.
kuonekana kwa sahihi za watawa watakuwa wamehusikaje? ok tusema prof alikuwa na client wengi sana kama advocate kwa hivo tuseme clients wake wote wanahusika pia hasa wale ambao kesi zao hawakushinda?
haya ni mawazo dhaifu sana kwa gazeti kama hili kuandika habari za kusadikika.

Hapa ndio mtanzania katoa bonge la hoja kwa mada nzito kama hiyo. Kweli Mtanzania huwezi kumtetea WALA KUMSAIDIA.

Leo nimefahamu kwanini JK alikiri kuwa hajui kwanini Tanzania ni masikini? Nafikieri hakujua kama ni umasikini wa rasilimali au AKILI?
 
Du wewe una macho lakini huoni. Narudia hilo la kuhusika na mauaji ya Prof M silijui, lakini hilo la nani alikuwa ni mmiliki au akihusika na huo mgodi halina siri. Sijui hata kwanini magazeti wamechelewa kuliandika hilo. Isitoshe si magazeti Mengi yaliyoandika, lakini halikuwa siri hivyo unavyofikiri wewe.

Kwa taarifa yako hata hiyo ardhi waliinunua kwa nani mimi nafahamu. Na zaidi ya hao waliotajwa kuna wa Afrika kusini wawili hawajatajwa katika gazeti hilo ambao ndio walikuwa wahusika wakubwa katika ununuaji wa madini hayo. Sikuelezi nafasi yangu katika biashara hiyo lakini hata baadhi ya vithibitisho vya majina ya wahusika vipo. Waliotajwa ni wachache tu katika gazeti, kuna vigogo gazeti limewaogopa au ni tactical move wakisubiri reaction. Hii usibishe.

Unadai eti pesa zile ni ndogo ukilinganisha na pesa walizokuwa wanapata Ujerumani na Uswiss. Hivi unajua ni kilo ngapi zilikuwa zinapatikana katika mgodi ule kila siku? Hujui kitu, we acha tu kwa sababu hujui vyombo vilivyokuwepo huko, si majembe na sululu bali ni vyombo vikali toka Afrika Ya Kusini. Usilopoke juu ya kiwango kama huna namba, omba tutakupatia.

Unasema "Unamfahamu Rt Rev. Abbot Lambert Dorr OSB wa Abatia Peramihi" wacha huyo hata yule mjerumani aliyeishika Peramiho "Hanzgali" akiwa toka ujana wake mpaka kafia huko Peramiho Namfahamu. Tena si nilikuwa namjua tu bali hata yeye ananifahamu. Baadhi ya nafasi alizozishika ni ukurugenzi wa Hospitali ambaye sasa ameachiwa Dr Remy.

La mwisho ninasikitika sana kwa maelezo yako eti "Huo uchafu wa mgodi ni nini ukilinganisha na makubwa yalifanywa miaka nenda rudi kujenga mashule, hospitali, zahanati, vituo vya afya, na mengineyo" Kwa hili ninakusikitikia sana maana suala la Ethic na Moral values uko ziro. Yaani kwa vile wamefanya hayo mazuri basi wanaruksa ya kuiba malizetu nasi tucheke tu. Unajua hata Huko Ujerumani, huyo Bi Angel Markel licha ya mazuri yote aliyofanya akikutikana kaiba dola 100 000 za kimarekani kazi hana na mazuri yote yanasahaulika. Si umeona kinara wa Italia Beluskoni kaenda jela.

Hapa suala si kiwango bali ni moral values ndio muhimu. Tanzania tujifunze hili vinginevyo tutaimaliza nchi. Tafadhali kasome Ethics and Morals ili uisaidie nchi yako.

Kwanza nikupe pole kwa kutojadili hoja husika katika mada gazetini ambayo maudhui yake ni mauaji ya Maikusa, kwamba yalipangwa ndani ya Abatia ya Peramiho na kuatibiwa na Abate Lambert Dorr OSB akiwa ndiye kiongozi wa juu pale kama mkuu wa Abatia. Ningekushauri anzisha mada nyingine inayohusu moral itajadilika vizuri. Hapo utatuletea vielelezo na viambatanisho vya kutujuza uhusika wao na mradi huo kama walimiliki au walitumika kama washauri kwa wachimbaji au waliwekeza vifaa vilivyotumika katika mradi huo vikiwa kama ndio sehemu ya hisa. Hilo twalisubiri uanzishe mada linajadilika.

Kwa uelewa wako sahihi za Brother Edmond ambaye kama sijachanganya ni Br Edmond Kimario mtaalamu wa umeme anayeendesha kitengo cha hicho katika abatia hiyo pamoja na mwenzake Brother Aidan vinathibitisha kuhusika katika mauaji au ni kwa vile tu ni watawa kufanya usichotegemea kiuchumi basi ndio wahusika na mauaji?

Tunacho kijadili hapa ni kesi nzito ya mauaji. Suala kama walihujumu uchumi wa madini au maadili yao kidhamiri kadiri ya mwenendo wa maisha yao ni kesi nyingine ijadilike kwa namna ya uhujumu uchumi si mauaji kwani ni vitu viwili tofauti. Cha ajabu unachohangaika kujibu umejichanganya kwamba la mauaji ya Maikusa hulijui, unawezaje kulijadili jambo usilolijua wakati maudhui ya mada ni kuhusu mauaji hayo?

Nakushauri sana anzisha mada nyingine ya kujadili hilo, kwani mimi mleta mada nililenga maudhui ya mauaji yalivyoripotiwa na gazeti. Natumaini umenipata na kunielewa vizuri. Jazba tuweke kando tunapo jadili mada kama hizi, kwani kama unavyosema wawajua hao ni wengi sana hapa wanawajua sana tu kama nilivyokufafanulia hata mmoja ya majina na kazi anayofanya sijui kama unafahamu hata hilo.
 
Hapa ndio mtanzania katoa bonge la hoja kwa mada nzito kama hiyo. Kweli Mtanzania huwezi kumtetea WALA KUMSAIDIA.

Leo nimefahamu kwanini JK alikiri kuwa hajui kwanini Tanzania ni masikini? Nafikieri hakujua kama ni umasikini wa rasilimali au AKILI?

Kwa taarifa yako Rt Rev Abbot Lambert Dorr OSB ni Abate mstaafu, kuna Abate mpya aliyechaguliwa miaka kadhaa na makamu wake ambaye kwa cheo ni Prior ni mwingine. Pengine mwandishi huyu wa gazeti amejichanganya kwa kutaja watu ambao kwa wakati huo kama Lambert hakuwapo madarakani.

Halafu unavyoonekana kuvamia kitu usichokijau.
Hospitali ya Peramiho haikuongozwa na Dr Brother Ansgar OSB kama unavyosema, Dr. Ansigar alikuja kuwa Dr. Mkuu Peramiho miaka ya karibuni sana na hajakaa sana, kadiri ya utaratibu wao wa kikazi alirudishwa Ujerumani kushika majukumu mengine ya kiuchumi badala ya uganga.

Kwa taarifa yako Dr. Ansgar hayuko tena Peramiho Hospitali kwa vile shirika lake la St Otilien Ujerumani ambako ni makao Makuu yao walimpa jukumu jipya tofauti na hilo la uganga, alichaguliwa kuwa Procurator Mkuu wa shirika wadhifa ambao anaushikilia hadi sasa huku Ujerumani, maana yake Monastery zote za Peramiho, Uwemba, Ndanda, Hanga, Kurasini Benediction Fadhers, nyingine za Tanzania, Korea, Ujerumani, Marekani kana Newton NJ, Wisconsin, na kwngineko yeye ndiye Procurator Mkuu wao. Je unalifahamu hilo? Usijefikiria watu hawawajui watu hao.
 
Mimi naunga mkono baadhi ya wasomaji, kuwa mtawa c tatizo la kukimbia maumbile na asili ya ubinadamu. Na kwakuwa wengi wanaona dini, dhehebu na misaada pa1 na unyenyekevu basi wanasadiki mara moja bila shaka, na ukizingatia neno lenyewe ni la kizungu basi inaleta tabu. Romani Catholic (RC) huu ni utawala wa kirumi, hii ni pembe iliyotabiriwa ktk ufunuo na itawatesa wengi; watatenda haya wakiwa nyuma ya Imani yao. Tuwe makini
 
Back
Top Bottom