'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

Maaskofu na wachungaji wanaburuza mikoko ya maana, halafu mfia dini anapanda bajaji maisha yake yote.....Huo ni wizi uliotokana na utumwa wa kifikra.
Maisha yako wewe mlipa kodi ni sawa na maisha ya magufuli?
 
Hahahaa....unaona sasa, kumbe kuna maneno mengi kwenye Bible ambayo ni invalid na uhalisia.Kutambua hilo inakupasa uwe free thinker, lakini kama unaogopa kufuru basi kila kitu kitakuwa validi kwako.
Halafu kibaya ndiyo mkishagundua hilo mnaangukia kusema hakuna mungu,yani ni vitu viwili tofauti kabisa.

Wakati nyie mlipokuwa na ukristo wenu kuna wengine walikuwa wanaona matatizo ya kwenye imani yenu hiyo wakati nyie hamkuwa mkiona,halafu sasa mnakurupuka na kuanza kusema hakuna mungu et kisa biblia.
 
Na hilo ndiyo tatizo linalofanya wakristo ndiyo kuwa wengi katika wapinga mungu.

Kiasi kikubwa cha imani si kipimo cha usahihi wa imani. Wakristo ndiyo wanaweza kuwa watu wenye imani sana kuliko imani zengine lakini tatizo wamekosa mambo yenye kuipa nguvu imani yao,imekuwa imani ambayo inapepea haina pa kushika kutia uzito.

Ndiyo maana ukristo na biblia yake huandamwa sana,na hata ukiangalia hoja za kumpinga mungu humu ni kutokana na mafundisho ya ukristo yalivyo.
..kwaio unaniSupport mimi au una solutions from the above observations???
 
Mambo ya Mungu mwachie Mungu, wewe Binadamu kabla ya kuzaliwa ulikuwa wapi? je ulikuwa miti,mdudu,ndege,hewa ,maji??????????? We umejikuta umezaliwa binadamu Ishi mpaka hapo utakapokufa urudi huko huko ulipokuwapo kabla ya kuzaliwa. hii dunia iacheni kama ilivyo. hata ukifanya mtaalam kuifuatilia hautaiweza.Tumeikuta na tutaiacha na itaendelea kuwepo. Kikubwa, fanya kile ambacho ungependa binadamu mwenzako akufanyie. Mungu,udini, ukristo, uislamu Utakutana navyo utakapokufa. AMINI KATIKA IMANI YAKO.
 
Maaskofu na wachungaji wanaburuza mikoko ya maana, halafu mfia dini anapanda bajaji maisha yake yote.....Huo ni wizi uliotokana na utumwa wa kifikra.
Kwa hiyo ujuwe,mahali popote hapakosi matapeli,kuwepo matapeli katika dini,sio sababu ya watu kutokuwa na dini.Hata katika Taasisi mbali mbali za wapo matapeli,hatuwezi kuzikimbia taasisi za uma kwa vile kuna matapeli,na ndio hivyo hovyo,huuwezi kukumbia dini kwa kuogopa matapeli.Tutakuw makinni na hawa matapeli.
 
Kwa hiyo ujuwe,mahali popote hapakosi matapeli,kuwepo matapeli katika dini,sio sababu ya watu kutokuwa na dini.Hata katika Taasisi mbali mbali za wapo matapeli,hatuwezi kuzikimbia taasisi za uma kwa vile kuna matapeli,na ndio hivyo hovyo,huuwezi kukumbia dini kwa kuogopa matapeli.Tutakuw makinni na hawa matapeli.
Hasara ya dini siyo utapeli tu, bali Dini inampromote Mungu asiyekuwepo.
 
..wewe unaesema Yupo,do u have prove kuwa Yupo thats the main theme of the thread maana hayo mengne Yanabaki kuwa mchezo wa pata potea eti kwasababu siJui niamini tuu,no way!!!
I HAVE PROOF KAMA YUPO NNA PROOF KAMA 3000 HIVI KWAMBA GOD EXIST ILA NTAANZA TARATIBU TARATIBU USIJALI
 
njema
..Any Time mkuu,i Have all the time in the world!!
njema sanna nakuandalia mkuu nikuthibitishie ila uelewe lengo si kubishana bali lengo ni kueleweshana mkuu mimi sipo hapa kwa ajili ya kubishana na kama unahitaji kubishana mimi siwezi
 
Utumwa wa dini ni mbaya sana.Watu wanatumia maisha yao yote kutumikia hallucinations za watu wa kale.Kutumikia hallucinations zisizokuwa na logic ni utumwa mzito kupita maelezo.
Dini sio utumwa ! Dini ni muomgozo wa kiroho
Kama hujui roho ni nini basi uliza!

Hats ukisema dini ni utumwa saw a ; kwa vile utumwa ni utumishi kwa yule anayekumiliki.

Wewe hapo aliykutengeneza ndiye anayekumiliki! Unakataa hujatengenezwa?

Umetengenezwa na ni mtumwa wa huyo aliykutengeneza. Unamtumikia , umependa au la alikutengeneza; umependa au la atakubadilishiya mfumo wako was kuwepo(total change of your existence form)
Anakutuma:-
1) lazima ule
2)lazimza unye(utumwa)
3)lazima ulale(utumwa)
4) lazima ufe
5)lazima utawaliwe- utumwa
Nk
 
Dini sio utumwa ! Dini ni muomgozo wa kiroho
Kama hujui roho ni nini basi uliza!

Hats ukisema dini ni utumwa saw a ; kwa vile utumwa ni utumishi kwa yule anayekumiliki.

Wewe hapo aliykutengeneza ndiye anayekumiliki! Unakataa hujatengenezwa?

Umetengenezwa na ni mtumwa wa huyo aliykutengeneza. Unamtumikia , umependa au la alikutengeneza; umependa au la atakubadilishiya mfumo wako was kuwepo(total change of your existence form)
Anakutuma:-
1) lazima ule
2)lazimza unye(utumwa)
3)lazima ulale(utumwa)
4) lazima ufe
5)lazima utawaliwe- utumwa
Nk
na kama unakataa kama wewe si mtumwa kwake usile wala kunywa
 
Dini sio utumwa ! Dini ni muomgozo wa kiroho
Kama hujui roho ni nini basi uliza!

Hats ukisema dini ni utumwa saw a ; kwa vile utumwa ni utumishi kwa yule anayekumiliki.

Wewe hapo aliykutengeneza ndiye anayekumiliki! Unakataa hujatengenezwa?

Umetengenezwa na ni mtumwa wa huyo aliykutengeneza. Unamtumikia , umependa au la alikutengeneza; umependa au la atakubadilishiya mfumo wako was kuwepo(total change of your existence form)
Anakutuma:-
1) lazima ule
2)lazimza unye(utumwa)
3)lazima ulale(utumwa)
4) lazima ufe
5)lazima utawaliwe- utumwa
Nk
PUMBA TUPU.

Unaweza kuthibitisha Roho ipo na kuitest?
Mimi nilizaliwa kwa wazazi wangu hakuna mtu aliyenitengeneza.

Hizo ulizotaja ni sifa za viumbe hai siyo viashiria vya utumwa.

Mbona dini ikiguswa mnatokwa povu sana?.....ndio maslahi yenu eh?
 
PUMBA TUPU.

Unaweza kuthibitisha Roho ipo na kuitest?
Mimi nilizaliwa kwa wazazi wangu hakuna mtu aliyenitengeneza.

Hizo ulizotaja ni sifa za viumbe hai siyo viashiria vya utumwa.

Mbona dini ikiguswa mnatokwa povu sana?.....ndio maslahi yenu eh?
Ham be cool ;what is pumba ?
OK roho is your spiritual software which makes u translate your existence?
 
Uwepo wa Mungu wenu ni sawa na uwepo wa pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika Euclidean geometry.

Pembetatu hiyo haipo kiuhalisia, ni ya kufikirika tu.

Kwa sababu Mungu wenu ana contradiction kama pembetatu ambayo hapohapo ni duara katika Euclidean geometry:-

Mungu wenu hayupo kiuhalisia, ni wa kufikirika tu.

Umeelewa hilo?
Inatakiwa umkubali uwepo wake kwanza ili uweze kumuona.
Je aliyefumba macho ataezaje kuona mwanga mwangavu?
Hii ni sawa na kumwambia kipofu kuwa mwanga wa jua ni mweupe kama theluji hata hawezi kuelewa na utamwacha na maswali mengi sababu huyo kipofu haoni ili kufahamu uwepo wa huo mwanga na sifa zake inatakiwa kwanza afumbuke yani apate kuona.

Wewe unafanana na kipofu anayetaka kuona mwanga, huezi kumuona Mungu hapo umefumba macho yako ndio mana unacontradiction nyingi zinazomuhusu Mungu, siku ukifungua macho yako utapata kuona ukuu wa Mungu.

Kufungua macho ni kutenda mema na haki, kusali/kuswali na kuacha kufanya maovu kuonesha upendo kwa wengine kama unavyojipenda mwenyewe.
Uwe chachu ya amani kwa wengine na duniani kwa ujumla na hapo ukifanya hayo siku utarudi humu na kutuambia kweli umeweza kumuona Mungu.

KWANI NI NANI AWEZAYE KUONA AKIWA KWENYE KIZA KINENE?
HAUTAWASHA TAA IANGAZE ILI UPATE KUONA?
AU NI NANI HUYO AWEZAYE KUONA AKIWA AMEFUMBA MACHO?
HAUTAFUNGUA MACHO YAKO KWANZA NA UPATE KUONA?

Hata Mungu naye anataka binadamu awe kwenye mwanga mwangavu ili apate kumuona.
 
Back
Top Bottom