'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

Life's a struggle,In contrast with other creatures, We are given free will and higher reasoning power so as we can find answers. Through faith and trust answers will uncover themselves.

Mungu ni muweza wa yote. GOD is infinity and ultimate in power and everything.
Free will is an illusion.

We cant even choose when, where, to whom and how we are born.

How can you say we have freewill?
 
Mungu yupo na hutuezi kumuelewa kwa akili na nguvu za kibinadamu za kawaida.
Hivi mnaopinga uwepo wa Mungu mnafikiri kwanini binadamu hawezi kuzuia kifo?
Unavyosafiri kwa mfano kwanini hujui kama utafika salama salimini hii inathibitisha kuwa kuna ziada ya akili za kibinadamu.
Binadamu akili zake zimeishia sehemu Fulani sasa Mungu anaanzia hapo.
MTUMIKIE MUNGU NA UMPENDE KWA AKILI ZAKO NA NGUVU ZAKO ZOTE USITENDE DHAMBI DAIMA UTAEZA KUMSHUHUDIA KATIKA MAISHA YAKO.
WENGI TUNASHINDWA KUMSHUHUDIA MUNGU, KUMJUA SABABU TUMEZAMA KATIKA MAOVU.
MUNGU NI MTAKATIFU HAPATIKANI KATIKA GIZA BALI YU HAI KWENYE MWANGA SISI TUMEZAMA KWENYE GIZA NDIO MANA HATUMUONI.
Non sequitur.

Mungu angekuwepo kusingekuwa na utata kumuelewa.

Utata wa kumuelewa unaonesha hayupo.
 
Non sequitur.

Mungu angekuwepo kusingekuwa na utata kumuelewa.

Utata wa kumuelewa unaonesha hayupo.
Utata wa usalama wako kwenye safari ya Dar to Songea haufanyi tuhitimishe kwamba hautafika salama.
Usalama wako kwenye hiyo safari unabaki kuwa utata hivyo chochote kinaeza tokea utafika salama au utakufa njiani kwa ajali.
Hata Mungu uwepo wake kama unaona ni utata wewe usihitimishe hayupo inaezekana pia yupo ndio mana kuna utata kama safari ya Dar to Songea.
 
Kwa lugha yangu ya kibantu, "kiranga" maana yake "shetani" kwahiyo sishangai kuona unashabikia kua Mungu hayupo. Pole sana ndugu maana anaekutumikisha tayar kasha hukumiwa.
mimi akwaida nakua sipendi kuona mtu anajibu kitu ambacho hakikuulizwa tena kwa dharau kinachopaswa ni kujibiwa hoja yake kama huna mawazo ya kumjibu tafadhali usimuharibie mwenzio ukurasa wapo watu ambao watakuja kujibu swali hilo
 
Hii mada ni nzito sana na asithubutu mtu kujibu suali ambalo hana elimu nalo, tena narudia kusema hii madda ni nzito anahitajika mwanazuoni aliebobea katika kueleza suala la mungu na uungu wake, guys be carefull!
Na wewe unaesema kua mungu hayupo sidhani kama unahaki ya kusema kua mungu hayupo kwa kwasababu na wewe huna ushahidi kama mungu hayupo, isipokua unaweza kusema kua huna uthibitisho wa kua mungu yupo au hayupo kwasababu nakusihi ikiwa unasema hayupo kisha huko mbele ukaja ukapata maarifa ya kumtambua mungu hudhani kua huku nyuma utakua umemkosea sanna mungu kwa kusema hakuna mungu huyo?
 
Utata wa usalama wako kwenye safari ya Dar to Songea haufanyi tuhitimishe kwamba hautafika salama.
Usalama wako kwenye hiyo safari unabaki kuwa utata hivyo chochote kinaeza tokea utafika salama au utakufa njiani kwa ajali.
Hata Mungu uwepo wake kama unaona ni utata wewe usihitimishe hayupo inaezekana pia yupo ndio mana kuna utata kama safari ya Dar to Songea.
Uwepo wa Mungu wenu ni sawa na uwepo wa pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika Euclidean geometry.

Pembetatu hiyo haipo kiuhalisia, ni ya kufikirika tu.

Kwa sababu Mungu wenu ana contradiction kama pembetatu ambayo hapohapo ni duara katika Euclidean geometry:-

Mungu wenu hayupo kiuhalisia, ni wa kufikirika tu.

Umeelewa hilo?
 
Habari zenu wana JF. Leo nataka niwaletee ukweli ambao wapinga mungu kama Kiranga huwa hawauelewi. Swali hilo ni hili.

Swali: Je, kama Mungu yupo, nani alimuumba Mungu? (Au ametokea wapi?)

Jibu: Mungu ana sifa ya kutokuwa na mwanzo wala mwisho, hivyo hilo swali halina mantiki. Pia tufanye kuwa Mungu ameumbwa, kwa hiyo logic ni kuwa aliyemuumba naye anatakiwa awe ameumbwa, na kuendelea. Hivyo ni wazi kuwa kutakuwa na miungu infinity kitu ambacho ni Illogical. Hivyo namaliza kwa kusema kuwa, Swali la Who Created God is an illogical question.
Napenda kuchukua fursa hii kujibu swali lako kama ifuatavyo
mimi nnaimani wewe ambae unasema kua hakuna mungu utakua ni mchamungu mzuri sanna ikiwa utafahamishwa vizuri na kuelewa na mwishowe ukamuelewa mungu, wengi wetu tumezaliwa na imani kua mungu yupo na tumezaliwa tukaikutia dini na baadae tukasomeshwa dini ila hatukubahatika kuuliza maswali ya kuichallange dini kama ulivyopata wewe hii nafasi, binafsi mimi naogopa kusema kua hakuna mungu hata kama ninawasiwasi wa uwepo wa muungu kwasababu ya mila na tamaduni niliozaliwa nayo
Uwepo wa Mungu wenu ni sawa na uwepo wa pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika Euclidean geometry.

Pembetatu hiyo haipo kiuhalisia, ni ya kufikirika tu.

Kwa sababu Mungu wenu ana contradiction kama pembetatu ambayo hapohapo ni duara katika Euclidean geometry:-

Mungu wenu hayupo kiuhalisia, ni wa kufikirika tu.

Umeelewa hilo?
Mimi kwa uelewa wangu mdogo wa kumtambua mungu naomba nikupe ushahidi wa kuwepo kwa mungu kama ifuatavyo,
Sisi waislamu tumepewa muongozo wa kitabu ambao ni qur an, sasa katika hiyo qur an nakuomba usome hata aya moja tu ya quran na upate tafsiri yake na mafundisho yake kisha uje unieleze maneno hayo ya qur an yanaweza kufanana na mwanaphilosophy yoyote unaemfahamu wewe? ukimaliza kusoma hiyo aya ilete hapa nikuelekeze na nikueleweshe kama hayo si maneno ya mwanaadamu kwasababu gani.
 
Napenda kuchukua fursa hii kujibu swali lako kama ifuatavyo
mimi nnaimani wewe ambae unasema kua hakuna mungu utakua ni mchamungu mzuri sanna ikiwa utafahamishwa vizuri na kuelewa na mwishowe ukamuelewa mungu, wengi wetu tumezaliwa na imani kua mungu yupo na tumezaliwa tukaikutia dini na baadae tukasomeshwa dini ila hatukubahatika kuuliza maswali ya kuichallange dini kama ulivyopata wewe hii nafasi, binafsi mimi naogopa kusema kua hakuna mungu hata kama ninawasiwasi wa uwepo wa muungu kwasababu ya mila na tamaduni niliozaliwa nayo

Mimi kwa uelewa wangu mdogo wa kumtambua mungu naomba nikupe ushahidi wa kuwepo kwa mungu kama ifuatavyo,
Sisi waislamu tumepewa muongozo wa kitabu ambao ni qur an, sasa katika hiyo qur an nakuomba usome hata aya moja tu ya quran na upate tafsiri yake na mafundisho yake kisha uje unieleze maneno hayo ya qur an yanaweza kufanana na mwanaphilosophy yoyote unaemfahamu wewe? ukimaliza kusoma hiyo aya ilete hapa nikuelekeze na nikueleweshe kama hayo si maneno ya mwanaadamu kwasababu gani.
Unafahamu kwamba katika Quran umeambiwa usibishane sana na watu wasiomkubali Mungu, kwa maana kuna watu Mungu kawafanya mioyo yao isimuelewe na kawaziba macho na masikio yao wasimjue Mungu?

Unafahamu kwamba Quran imeendelea kusema kwamba huyu Mungu, baada ya kuzuia hawa watu wasimjue na kuwaziba mioyo, macho na masikio wasimjue, atawahukumu vibaya sana kwa kutomjua, kutomjua alikokusababisha mwenyewe kwa kuziba macho na masikio yao?

Habari hiyo ushawahi kuisoma katika Quran au ndiyo unaisikia leo?

Mungu gani huyu anazuia watu wasimjue, halafu anawahukumu kwa sababu hawakumjua?
 
Unafahamu kwamba katika Quran umeambiwa usibishane sana na watu wasiomkubali Mungu, kwa maana kuna watu Mungu kawafanya mioyo yao isimuelewe na kawaziba macho na masikio yao wasimjue Mungu?

Unafahamu kwamba Quran imeendelea kusema kwamba huyu Mungu, baada ya kuzuia hawa watu wasimjue na kuwaziba mioyo, macho na masikio wasimjue, atawahukumu vibaya sana kwa kutomjua, kutomjua alikokusababisha mwenyewe kwa kuziba macho na masikio yao?

Habari hiyo ushawahi kuisoma katika Quran au ndiyo unaisikia leo?

Mungu gani huyu anazuia watu wasimjue, halafu anawahukumu kwa sababu hawakumjua?
nashkuru kwa kuweza kufika katika kitabu chetu cha qur an na kuniletea hapa ila aya ambayo inaeleza hayo ni tofauti na unavyolezea wewe
hiyo ni suratul baqara aya ya saba inasema hivi "Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa." ila maelezo yake ni haya "Ukafiri umesaki kwa watu hao, hata imekuwa kama nyoyo zao zimetiwa muhuri, zimezibwa kwa vizibo, haziingii kitu chochote zaidi ya kiliomo ndani yake. Na kama kwamba masikio yao pia yamezibwa, hayasikii onyo lake la kweli, na kama kadhaalika wamefunikwa kwa vitanga vya macho. Hawazioni ishara za Mwenyezi Mungu zenye kuonyesha Imani. Kwa hivyo basi imekuwa wanastahiki kuwafikilia adhabu iliyo kali.
 
nashkuru kwa kuweza kufika katika kitabu chetu cha qur an na kuniletea hapa ila aya ambayo inaeleza hayo ni tofauti na unavyolezea wewe
hiyo ni suratul baqara aya ya saba inasema hivi "Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa." ila maelezo yake ni haya "Ukafiri umesaki kwa watu hao, hata imekuwa kama nyoyo zao zimetiwa muhuri, zimezibwa kwa vizibo, haziingii kitu chochote zaidi ya kiliomo ndani yake. Na kama kwamba masikio yao pia yamezibwa, hayasikii onyo lake la kweli, na kama kadhaalika wamefunikwa kwa vitanga vya macho. Hawazioni ishara za Mwenyezi Mungu zenye kuonyesha Imani. Kwa hivyo basi imekuwa wanastahiki kuwafikilia adhabu iliyo kali.
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao au hajapiga?

Ameweka kifuniko juu ya masikio na macho yao au hajaweka?
 
nashkuru kwa kuweza kufika katika kitabu chetu cha qur an na kuniletea hapa ila aya ambayo inaeleza hayo ni tofauti na unavyolezea wewe
hiyo ni suratul baqara aya ya saba inasema hivi "Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa." ila maelezo yake ni haya "Ukafiri umesaki kwa watu hao, hata imekuwa kama nyoyo zao zimetiwa muhuri, zimezibwa kwa vizibo, haziingii kitu chochote zaidi ya kiliomo ndani yake. Na kama kwamba masikio yao pia yamezibwa, hayasikii onyo lake la kweli, na kama kadhaalika wamefunikwa kwa vitanga vya macho. Hawazioni ishara za Mwenyezi Mungu zenye kuonyesha Imani. Kwa hivyo basi imekuwa wanastahiki kuwafikilia adhabu iliyo kali.
kwa maana kwamba wao w
nashkuru kwa kuweza kufika katika kitabu chetu cha qur an na kuniletea hapa ila aya ambayo inaeleza hayo ni tofauti na unavyolezea wewe
hiyo ni suratul baqara aya ya saba inasema hivi "Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa." ila maelezo yake ni haya "Ukafiri umesaki kwa watu hao, hata imekuwa kama nyoyo zao zimetiwa muhuri, zimezibwa kwa vizibo, haziingii kitu chochote zaidi ya kiliomo ndani yake. Na kama kwamba masikio yao pia yamezibwa, hayasikii onyo lake la kweli, na kama kadhaalika wamefunikwa kwa vitanga vya macho. Hawazioni ishara za Mwenyezi Mungu zenye kuonyesha Imani. Kwa hivyo basi imekuwa wanastahiki kuwafikilia adhabu iliyo kali.
kwa maana kwamba watu hao wakipewa dalili na uthibitisho wa uwepo wa mungu wanaelewa isipokua nyoyo zao, masikio yao na macho yao wanayapotoa makusudi kwa kutotaka kuuoa ukweli yani mfano gari inapita hapo na wewe umeioa na unajua kama hii gari ila nikikwambia umeiona gari unabisha tu kwasababu moyo wako macho yako na masikio yako hayataki kwa makusudi hali ya kua ukweli ndio huo?
 
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao au hajapiga?

Ameweka kifuniko juu ya masikio na macho yao au hajaweka?
amepiga mihuri na ameweka vifuniko baada ya kukataa ila sio kwamba kabla hujapewa neno la mungu amekuwekea mihuri na vifuniko?
 
amepiga mihuri na ameweka vifuniko baada ya kukataa ila sio kwamba kabla hujapewa neno la mungu amekuwekea mihuri na vifuniko?
neno la mungu kaka halisomwi kama gazeti la habari ya shigongo ni maneno mafupi ila maelezo yake ni marefu na ndio mana nikakwambia kwamba nataka nikuthibitishie
 
je umeelewa maana ya aya hiyo ili niendelee kukuthibitishia kua qur an ni maneno ambayo si binaadam
 
neno la mungu kaka halisomwi kama gazeti la habari ya shigongo ni maneno mafupi ila maelezo yake ni marefu na ndio mana nikakwambia kwamba nataka nikuthibitishie
Kama ni neno la Mungu kwa nini lisiandikwe kwa aina ambayo haina utata?

Hapo majibu yako ninachoona ni kama vile Quran imesema kuna watu Mungu kawaziba macho na masikio na kafunga mioyo yao wasimjue, halafu atawahukumu kwa kutomjua, kitu ambacho ni kum victimize mtu asiweze kumjua Mungu halafu kumlaumu na kumhukumu kwa kutomjua Mungu (kama baba anayemkataza mtoto wake kwenda shule kujifunza kusoma halafu kumhukumu kwa sababu mtoto hajui kusoma)

Baada ya hapo unaanza kuleta maelezo tofauti na Quran inavyosema kwa kusema neno la Mungu halisomwi kama gazeti.

Inaonekana unataka kutumia hii habari ya "neno la Mungu halisomwi kama gazeti" kubadilisha maneno.

Kama kuna Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa nini hakuweka maneno yake vuchwani mwetu kila mtu kwa lugha yake tangu tunazaliwa kwa namna isiyo na shaka vyovyote kwamba hili ni neno la Mungu?

Kwa nini tutegemee vitabu, tafsiri za kutoka kiarabu, utata wa jinsi ya kusoma neno la Mungu huku wengine wakisema halisomwi kama gazeti na wengine wakisema kusema hivyo ni upindishaji wa maneno tu etc?

Kwa nini tunategemea vitabu kumjua Mungu wakati Mungu aliweza kuweka maneno yote hayo ya vitabu vichwani mwetu?
 
Kama ni neno la Mungu kwa nini lisiandikwe kwa aina ambayo haina utata?

Hapo majibu yako ninachoona ni kama vile Quran imesema kuna watu Mungu kawaziba macho na masikio na kafunga mioyo yao wasimjue, halafu atawahukumu kwa kutomjua, kitu ambacho ni kum victimize mtu asiweze kumjua Mungu halafu kumlaumu na kumhukumu kwa kutomjua Mungu (kama baba anayemkataza mtoto wake kwenda shule kujifunza kusoma halafu kumhukumu kwa sababu mtoto hajui kusoma)

Baada ya hapo unaanza kuleta maelezo tofauti na Quran inavyosema kwa kusema neno la Mungu halisomwi kama gazeti.

Inaonekana unataka kutumia hii habari ya "neno la Mungu halisomwi kama gazeti" kubadilisha maneno.

Kama kuna Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa nini hakuweka maneno yake vuchwani mwetu kila mtu kwa lugha yake tangu tunazaliwa kwa namna isiyo na shaka vyovyote kwamba hili ni neno la Mungu?

Kwa nini tutegemee vitabu, tafsiri za kutoka kiarabu, utata wa jinsi ya kusoma neno la Mungu huku wengine wakisema halisomwi kama gazeti na wengine wakisema kusema hivyo ni upindishaji wa maneno tu etc?

Kwa nini tunategemea vitabu kumjua Mungu wakati Mungu aliweza kuweka maneno yote hayo ya vitabu vichwani mwetu?
vizuri kwa maswali yako mazuri kawaida qura an haiwezi kusomwa kama gazeti kwasababu qur an ni ufupisho wa ujumbe wa mungu ili iturahisishie sisi wanaadamu kusoma kwa wepesi kwasababu kama kila maana iandikwe ingekua hiko kitabu hakina uwezo wa kuhamishika kirahisi kutoka sehemu moja kwenda nyingine,
 
vizuri kwa maswali yako mazuri kawaida qura an haiwezi kusomwa kama gazeti kwasababu qur an ni ufupisho wa ujumbe wa mungu ili iturahisishie sisi wanaadamu kusoma kwa wepesi kwasababu kama kila maana iandikwe ingekua hiko kitabu hakina uwezo wa kuhamishika kirahisi kutoka sehemu moja kwenda nyingine,
maswali yako mengie yote nakujibu kwa jibu moja tu ambalo mungu katika qura an ametuambia kua ametuleta duniani ikiwa kama mtihani na kwa atakaefaulu atakua amepata radhi zakena makazi yake yatakua peponi na atakaefeli atakaefeli atakua ni mwenye kukosa radhi zake na makazi yake motoni. hii inamaanisha yote ulioniuliza kwanini mungu kafanya hivi amefanya kwasababu ya kukupa wewe mwanaadamu aliekuumba mtihani ili uweze kupita upate radhi zake na ukikosa itakua umekosa radhi zake.
 
vizuri kwa maswali yako mazuri kawaida qura an haiwezi kusomwa kama gazeti kwasababu qur an ni ufupisho wa ujumbe wa mungu ili iturahisishie sisi wanaadamu kusoma kwa wepesi kwasababu kama kila maana iandikwe ingekua hiko kitabu hakina uwezo wa kuhamishika kirahisi kutoka sehemu moja kwenda nyingine,
na kingine qur an ni maneno matukufu ya mungu hivyo anaepewa upeo wa kuelewa na kuichambua vizuri ni badhi yetu sisi wanaadamu kwa mfano hayo maelezo baada ya aya si maelezo yangu ni maelezo ya mmoja ya wanachuoni.
 
umeelewa qur an inavyochambuliwa niendelee kukuthibitishia kua qur an ni neno la mungu?
 
maswali yako mengie yote nakujibu kwa jibu moja tu ambalo mungu katika qura an ametuambia kua ametuleta duniani ikiwa kama mtihani na kwa atakaefaulu atakua amepata radhi zakena makazi yake yatakua peponi na atakaefeli atakaefeli atakua ni mwenye kukosa radhi zake na makazi yake motoni. hii inamaanisha yote ulioniuliza kwanini mungu kafanya hivi amefanya kwasababu ya kukupa wewe mwanaadamu aliekuumba mtihani ili uweze kupita upate radhi zake na ukikosa itakua umekosa radhi zake.
Nimeuliza kwa nini tuhitaji kitabu at all.

Hujajibu swali hili.
 
Back
Top Bottom