Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,190
- 1,217
..hakika ni mimi mkuuMkuu we ni Hb wa Ilala ama kuna mtu ame synonym Id?
..hakika ni mimi mkuuMkuu we ni Hb wa Ilala ama kuna mtu ame synonym Id?
..its the Bible that made me that wayNdiyo huyohuyo,kwani mie nikisema wapinga mungu wengi humu mmetoka kwenye imani ya ukristo unafikiri nimekurupuka!
Uligundua lini ya kwamba ulikuwa unatapeliwa fikra zako?.....Mimi tangu nikiwa na miaka minne nilishauspot huu utapeli...hakika ni mimi mkuu
..Nlijaribu kuuliza maswali kadhaa nikaishia kuambiwa niamini tu sasa faith is not enough,first i asked if God has freedom kama wanavyosema they said Yes then i gave an example"Mtu anakuletea pipi nyingi za rangi mbalimbali alafu anakwambia chagua Yoyote lakini usipochagua Ya rangi hii nakuua" reffering to all the trees in eden as they say it existed kuwa kula matunda Ya miti Yote ila sio ule wa katikati where is freedom in this????????!Uligundua lini ya kwamba ulikuwa unatapeliwa fikra zako?.....Mimi tangu nikiwa na miaka minne nilishauspot huu utapeli.
Katika Kiswahili "kipi" ni kimoja. Zaidi ya kimoja ni "vipi". Hutakiwi kuandika "kipi" kama unamaanisha zaidi ya kimoja katika Kiswahili.Hakuna niliposema "kipi" ni kimoja au hata kumaanisha hivyo.
Ni kweli unayosema, wengi wamebaki na imani ambazo hazina pa kushikia zinayumbayumba,na ndiyo wakristo wengine wameacha kwenda kanisani kabisa na wengine wameacha kabisa kuamini hizi dini na kubaki na imani ya mungu tu...kwasababu christians wanakua God Judges wa watu wengine alaf Pia biblia ambayo ndo msingi wa Imani Yao ina contradictions za kutosha na issue Ya kupinga dini haipo kwenye ukiristo tu it stretches through all religions
Kinachotokea humu ni ushahidi tosha.Ulifanya utafiti juu ya madai yako?
Mkuu kwako ipoje? hujafanya maamuzi magumu?Ni kweli unayosema, wengi wamebaki na imani ambazo hazina pa kushikia zinayumbayumba,na ndiyo wakristo wengine wameacha kwenda kanisani kabisa na wengine wameacha kabisa kuamini hizi dini na kubaki na imani ya mungu tu.
Mkuu hayo mambo ni uongo mtupu ndio maana yamejaa vitisho na contradictions za kutosha...Nlijaribu kuuliza maswali kadhaa nikaishia kuambiwa niamini tu sasa faith is not enough,first i asked if God has freedom kama wanavyosema they said Yes then i gave an example"Mtu anakuletea pipi nyingi za rangi mbalimbali alafu anakwambia chagua Yoyote lakini usipochagua Ya rangi hii nakuua" reffering to all the trees in eden as they say it existed kuwa kula matunda Ya miti Yote ila sio ule wa katikati where is freedom in this????????!
2.If God really Loves our salvation kwann atuumbe with our bodies dedicated to worshipping satan???
3.Does Prayer have purpose,maana ukiomba alaf sio mapenzi Yake hayatatimia sasa why pray in the first place????!
4.God gives us commandments alad Yeye ndo anaongoza kuzivunja for instance KUUA sasa btn God and Satan in simple math nani kaua wengi unafikiri???
5.If Jesus died as a sacrifice for our sins,where is the sacrifice kama alifufuka sasa maana mimi naona sacrifice ni pale angebaki dead???
..mkuu wewe unaamini nini???Ni kweli unayosema, wengi wamebaki na imani ambazo hazina pa kushikia zinayumbayumba,na ndiyo wakristo wengine wameacha kwenda kanisani kabisa na wengine wameacha kabisa kuamini hizi dini na kubaki na imani ya mungu tu.
Tatizo lenu hapo ni moja. Kama utakubaliana na Mimi ni kwamba matatizo yaliyopo kwenye biblia ni sawa ila kusema hakuna mungu kwa sababu ya matatizo ya biblia si sawa...its the Bible that made me that way
Mh! Miaka mine!!!!???Uligundua lini ya kwamba ulikuwa unatapeliwa fikra zako?.....Mimi tangu nikiwa na miaka minne nilishauspot huu utapeli.
..wee unamini nini ambacho hakina contradictions??Tatizo lenu hapo ni moja. Kama utakubaliana na Mimi ni kwamba matatizo yaliyopo kwenye biblia ni sawa ila kusema hakuna mungu kwa sababu ya matatizo ya biblia si sawa.
Mambo uliyoyaeleza ni matatizo yaliyopo kwenye ukristo na ndiyo maana ukristo unatoa wapinga mungu wengi...Nlijaribu kuuliza maswali kadhaa nikaishia kuambiwa niamini tu sasa faith is not enough,first i asked if God has freedom kama wanavyosema they said Yes then i gave an example"Mtu anakuletea pipi nyingi za rangi mbalimbali alafu anakwambia chagua Yoyote lakini usipochagua Ya rangi hii nakuua" reffering to all the trees in eden as they say it existed kuwa kula matunda Ya miti Yote ila sio ule wa katikati where is freedom in this????????!
2.If God really Loves our salvation kwann atuumbe with our bodies dedicated to worshipping satan???
3.Does Prayer have purpose,maana ukiomba alaf sio mapenzi Yake hayatatimia sasa why pray in the first place????!
4.God gives us commandments alad Yeye ndo anaongoza kuzivunja for instance KUUA sasa btn God and Satan in simple math nani kaua wengi unafikiri???
5.If Jesus died as a sacrifice for our sins,where is the sacrifice kama alifufuka sasa maana mimi naona sacrifice ni pale angebaki dead???
Haya iweke hiyo "vipi" katika lile swali langu halafu tuone.Katika Kiswahili "kipi" ni kimoja. Zaidi ya kimoja ni "vipi". Hutakiwi kuandika "kipi" kama unamaanisha zaidi ya kimoja katika Kiswahili.
Kipi = Kimoja
Vipi = Vingi
Au hujui Kiswahili nianze kukufundisha Kiswahili kwanza kabla hatujaingia kwenye mengine?
Kuna hitaji imani kusema hakuna mungu bila ya hivyo watu wote tungekuwa hatuamini mungu. Unafikiri kungekuwa na ushahidi wa kuwa hakuna mungu kungekuwa na mtu ambaye angeendelea kuamini mungu?Mkuu kwako ipoje? hujafanya maamuzi magumu?
Maisha hayana uhuru,kutokufuata yaliyoelezwa kwenye dini haina maana maisha yako yapo huru.Mkuu hayo mambo ni uongo mtupu ndio maana yamejaa vitisho na contradictions za kutosha.
Hongera sana kwa kujitoa humo maana siyo kazi rahisi, dini na dhana yake ni madawa ya kulevya kabisa.Kikubwa ni mtu kuwa ma morals za kuishi na watu vyema,.....maisha ni simple sana ukiwa huru.
Umenielewa kwanza kuwa matatizo yaliyopo kwenye biblia haifanyi kuwa ndiyo hakuna mungu?..wee unamini nini ambacho hakina contradictions??
Yeah, wakati huo naambiwa niwaombee wazazi wangu kwa Mungu nikauliza huyo Mungu anaishi wapi? hawakunijibu.Mh! Miaka mine!!!!???