'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

Contradiction ni kitu kibaya kwa sababu mfumo wenye contradiction uko shaghalabaghala na haueleweki. Inaonyesha lack of order, inaonesha uongo.
Unapimaje u-shaghalabagala wa kitu? Unapimaje kitu kama kiko kwenye order au la?

Ukikubali contradiction haina ubaya, unakubali kuishi kwenye ulimwengu ambao Mungu yupo na hayupo kwa wakati mmoja.
Kuna tatizo gani kusema kiranga yupo na hayupo at same time in the same sense?

Ukikubali kuishi katika ulimwengu ambao contradiction haina ubaya, umekubali kuishi katika ulimwengu ambao 1=2=3=4=5=6=7 etc, namba hazina maana.
Kama hakuna Mungu hakuna maana. Maana unaitoa wapi?

Ukikubali kuishi katika ulimwengu ambao contradiction si mbaya, umekubali kuishi katika mfumo ambao a=b=c=d=f=g=h=...z.
Kwani kuna tatizo gani kuishi katika dunia ya namna hiyo?

Hebu niendelee kuandika post hii kwa mfumo huu ambao contradiction si mbaya, ili ujue, maneno haya ya chini ni ya Kiswahili, lakini yameandikwa katika mfumo huo wa contradiction

Hebu soma halafu niambie nimeandika nini.

Ajwqh hwerskl jwiskl jqapwerkts wetsuyqmklop weutdfgjk lwdhjk yrelkgfewang bhktrar. Mjklift hukfds bkhdfsn nrkhgfdd ccsjkhl nmkplewsa hgjkl mnbdjk, yhb tfde tjko njkl mmnfedsawecxzs ghn. Jkh klo nnmjo klew ght jkh gt ddsh kl okljngnbdd ght kjlkk hdsaw, huytrr fjkh lkfgresfdxcvgb nujhnjk. Mjnkg hngddrsekj kijlk njkmk jgl kmonfra fgnhjikj reanm ngga dr gu hkk jnmn nkggfdffkufkjbjlhb bhjfdas hyjurewesa kjmokmn ghnokjh klyrasqgft chj kilfrhgfdesrswa njijuhgf dreswa grtesra gtreseaw hji hujinkmj mkople gld gb njhm
Kama hakuna Mungu hakuna order ni chaos kama ulivyoandika. Bahati mbaya kwako ni kuwa Mungu yupo na siku ya siku utakutana naye na huna la kufanya kuhusu hilo!
 
Unapimaje u-shaghalabagala wa kitu? Unapimaje kitu kama kiko kwenye order au la?

Kwa kuangalia logical consistency. Kama kitu hakina logical consistency, hakina order. Contradiction ni namna moja ya kukosa logical consistency na order. Mungu wenu mnasema ni Mungu wa order halafu hapo hapo hana logical consistency. Hiyo ni contradiction nyingine.


Kuna tatizo gani kusema kiranga yupo na hayupo at same time in the same sense?

Hapo utaonekana hujui the laws of physics na labda una matatizo ya akili. Kiranga hawezi kuwa yupo na hayupo at the same time in the same sense. Ukiamini hilo siwezi kushangaa unaamini Mungu ambaye hayupo yupo.

Kama hakuna Mungu hakuna maana. Maana unaitoa wapi?

Logical consistency haimuhitaji Mungu. Maana inaweza kutoka katika logical consistency. Mungu wenu kakosa logical consistency, hivyo kakosa maana


Kwani kuna tatizo gani kuishi katika dunia ya namna hiyo?

Tatizo ni kwamba hata kuuliza swali hilo umetumia logical order ya alphabet. Ulimwengu ambao hauna logical consistency hata wewe usingekuwepo kuuliza swali hili.

Jua lisingechomza in order, hakuna chochote ambacho kingeweza kufanyika in order.

Kwa hiyo tatizo ni ukweli kwamba usingeweza kuishi at all. The fact kwamba unaishi inaonesha unaishi katika ulimwengu wenye logical consistency


Kama hakuna Mungu hakuna order ni chaos kama ulivyoandika. Bahati mbaya kwako ni kuwa Mungu yupo na siku ya siku utakutana naye na huna la kufanya kuhusu hilo!

Hapana. Mungu wenu ambaye kwa upande mmoja mnasema ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote na upande wa pili kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana ndiye hana order. Hana logical consistency. Ana contradiction.

Upande mmoja tunaona anatupa proposition (p) ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote huku upande mwingine anatupa proposition negation of p (-p) kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Unaweza kuondoa contradiction hii?
 
truth table unaipimaje?


Mimi mwanadamu nimpime Mungu? Are you out of your mind? Can infinite be measured by a finite?
Sasa mbona unauliza maswali ya vipimo kama vile vipimo ni kitu muhimu sana kwako, lakini wewe huyu unayevipa vipimo umuhimu sana unashangaa nikikuuliza vipimo vya kitu muhimu kabisa?

Vipimo ni vitu muhimu kwako?
 
Sasa mbona unauliza maswali ya vipimo kama vile vipimo ni kitu muhimu sana kwako, lakini wewe huyu unayevipa vipimo umuhimu sana unashangaa nikikuuliza vipimo vya kitu muhimu kabisa?

Vipimo ni vitu muhimu kwako?
Ni muhimu kwangu. Hata kama kwako sio muhimu wewe jibu tu!
 
Ni muhimu kwangu. Hata kama kwako sio muhimu wewe jibu tu!
Kama ni muhimu kwako kwa nini unashangaa nikikuuliza kama unaweza kumpima Mungu?

Kwa nini unakubali Mungu yupo wakati huwezi kumpima?

Kwa nini unakubali Mungu yupo wakati ana contradiction?

Huoni kwamba wewe mwenyewe una ji contradict hapo kwa kusema vipimo ni muhimu halafu unakubali kitu ambacho huwezi kukipima?
 
Nimekwambia kuua ni ubaya, kuchukua maisha ya asiyetaka kuuawa ni ubaya.

Ndiyo maana sheria za nchi zinakataza kuua.

Hilo halitoki kwenye kitabu chako cha dini ulichokikana.
Huyo sio uthibitisho,hayo ni maelezo.Kinachotakiwa ni uthibitisho,ili tuujuwe huo ubaya.
 
Ni muhimu kwangu. Hata kama kwako sio muhimu wewe jibu tu!
psalm 14:1
1 corinthians 1:18

hapa utatumia nguvu nyingi sana kwa hawa jamaa
2 corinthians 5:10, remember everyone will stand for himself.
kama wangekuwa willing to listen, wangeshafanya hivyo miaka yote hii.

they have taken their stand, firmly and won't be moved

everything has consequences

utaishia kujichosha bure with people who refuse the message you have

remember
Ezekiel 12:2
Matthew 13:15
Acts 28:27

 
Kama ni muhimu kwako kwa nini unashangaa nikikuuliza kama unaweza kumpima Mungu?

Kwa nini unakubali Mungu yupo wakati huwezi kumpima?

Kwa nini unakubali Mungu yupo wakati ana contradiction?

Huoni kwamba wewe mwenyewe una ji contradict hapo kwa kusema vipimo ni muhimu halafu unakubali kitu ambacho huwezi kukipima?
Toa uthibitisho wenye uthibati,ili hoja zako zisiwe na shaka kwako mwenyewe na anayekufatilia.
Inaonyesha hata wewe mwenyewe hoja zako hujazifanyia ithibati,kupitia uthibitisho,wenye kujithibitisha bila mwenye kuthinitisha na mweyewe kuthibitishiwa kuwa na shaka ya hiyo ithibati.
 
Kama ni muhimu kwako kwa nini unashangaa nikikuuliza kama unaweza kumpima Mungu?

Kwa nini unakubali Mungu yupo wakati huwezi kumpima?

Kwa nini unakubali Mungu yupo wakati ana contradiction?

Huoni kwamba wewe mwenyewe una ji contradict hapo kwa kusema vipimo ni muhimu halafu unakubali kitu ambacho huwezi kukipima?
Kama umeshindwa kutuambia truth table inapimwaje na wakati huo ndio msahafu wako wa kupima ukweli wa mambo hauoni kuwa umefeli vibaya mtihani wako mwenyewe? Unadai Proof za uwepo wa Mungu na hauwezi ku prove source ya authority yako? Sasa kabla haujadai proof za Mungu na Biblia uje na proof za source zako za authority kama ulivyodai hapo juu ambazo ni hiyo truth table.

Vinginevyo opinions zako sio za muhimu kwa sababu zinatokana na unproven source na kwa utaratibu wako ni kuwa kama hakuna proof hicho kitu hakipo. Kwa hiyo So far, truth table haipo mpaka utakapoleta proof. Na kwa sababu hiyo basi, logic haipo mpaka proof yat truth table inayo i prove logic ikiletwa then you can argue.

See why God said the fool have said in his heart there is no God?
 
gasgas tunajitahidi kuwaonyesha hawa jamaa kuwa dini yao ya hakuna Mungu ni dini kama zingine. Wanaiamini tu bila ushahidi wowote. Tunawasaidia pia wengine wasiangukie katika mtego wa ukana Mungu!
 
Kiranga anakwepa kutoa uthibitisho wenye ithibati,wa kituthibitia mabaya yako vipi.Kwa kutumia nyezo,zisizo kinzana,pande pande ya ukinzani na pande inayokinzaniwa.
 
Thibitisha ubaya ulivyo,usikwepe swali,badala ya kuthibitisha ,waleta maelezo yasiothibitika.
Nimethibitisha hujaridhika. Nikakuuliza unataka uthibitisho wa aina gani? Unaweza kuthibitisha kwamba huo ndio uthibitisho?
 
Toa uthibitisho wenye uthibati,ili hoja zako zisiwe na shaka kwako mwenyewe na anayekufatilia.
Inaonyesha hata wewe mwenyewe hoja zako hujazifanyia ithibati,kupitia uthibitisho,wenye kujithibitisha bila mwenye kuthinitisha na mweyewe kuthibitishiwa kuwa na shaka ya hiyo ithibati.
Uthibitisho wenye uthibati ndio unakuwaje kwako?

Sitaki jutoa uthibitisho mwingine ukaukataa.

Kabla ya kutoa uthibitisho nataka tukubaliane misingibya uthibitisho.

Pia, na wewe utatoa uthibitisho wa hivyo hivyo kuonesha kwamba Mungu yupo?
 
Kama umeshindwa kutuambia truth table inapimwaje na wakati huo ndio msahafu wako wa kupima ukweli wa mambo hauoni kuwa umefeli vibaya mtihani wako mwenyewe? Unadai Proof za uwepo wa Mungu na hauwezi ku prove source ya authority yako? Sasa kabla haujadai proof za Mungu na Biblia uje na proof za source zako za authority kama ulivyodai hapo juu ambazo ni hiyo truth table.

Vinginevyo opinions zako sio za muhimu kwa sababu zinatokana na unproven source na kwa utaratibu wako ni kuwa kama hakuna proof hicho kitu hakipo. Kwa hiyo So far, truth table haipo mpaka utakapoleta proof. Na kwa sababu hiyo basi, logic haipo mpaka proof yat truth table inayo i prove logic ikiletwa then you can argue.

See why God said the fool have said in his heart there is no God?
Wewe unayeona vipimo ni kitu muhimu unaweza kumpima Mungu?
 
Nimethibitisha hujaridhika. Nikakuuliza unataka uthibitisho wa aina gani? Unaweza kuthibitisha kwamba huo ndio uthibitisho?
Wewe si unao uthibitisho,uliyo kufanya,ukapata ithibati ya Mungu hayupo,toa uthibitisho bila kukinzana,na bila kutumia chanzo usichokiamini,kinachokinzana na upande unaokinzana nao.
 
Kiranga anakwepa kutoa uthibitisho wenye ithibati,wa kituthibitia mabaya yako vipi.Kwa kutumia nyezo,zisizo kinzana,pande pande ya ukinzani na pande inayokinzaniwa.
Uthibitisho wenye uthibati kwakonukoje? Viwango ganinvinatakiwa ili kusema huu ni uthibitisho wenye uthibati ili nijue kablabya kujupa uthibitusho?

Na wewe unaweza kutoa uthibutusho wenye uthibati huo huo kuthibitisha kwamba Mungu yupo?
 
Back
Top Bottom