Shukrani kwa complement!
Hilo ni swali ambalo anapaswa kuuliza mtu ambaye tayari ana sababu kwa nini Majanga ni jambo baya. Tatizo ni kuwa kama hauamini uwepo wa Mungu wa Biblia, unakosa base ya morality. Kusema majanga ni jambo baya ina maana unajua zuri lilipaswa kuwaje. Na ili ujue zuri na baya lazima kuwe na transcendent law ambayo inatufundisha kipi kibaya a kipi kizuri . Kila sheria ina Law giver. Sasa kwa atheist wanataka ku prove kuwa hakuna Transcendent Law Giver na hivyo hakuna Transendent Law. Kama hakuna transcendent law, kama wanavyodai basi hakuna kitu ambacho ni kibaya absolutely tunabakia na opinions ambazo hakuna bora kuliko nyingine.
Sasa kwa wakana Mungu hakuna kibaya wala kizuri na hakuna kikamilifu wala kisicho kikamilifu. Kwa hiyo swali kwamba kuna majanga haliwahusu kwa kuwa kama wakiishi falsafa yao ni kuwa kuwa na majanga au kutokuwa na majanga hakuna tofauti (Kwa sababu hakuna jema wala baya kwao).
Kosa wanalofanya hawa wandugu ni kuuliza Moral Questions(concerning Good and Evil) while katika falsafa yao hakuna zuri wala baya. Ili waulize maswali hayo inawabidi waazime Christian Moral Framework ili waweze ku argue on morality.
Think about it. They have to borrow Christian God's Morality so that they can Prove He does not Exist. No Wonder He said "a fool have said in his heart, there is no God"