MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,768
- 5,634
mfano. mwajiri wako kakupa gari mpya kabisa v8 landcruser,wewe ukaisababishia ajali na kupasuka vioo na hata rangi kutoka. Kisha uanze kuuliza maswali, kwa nini ulinipa v8 yenye vioo vilivypsk . kwa sababu huyo mfanyakazi unamuelewaje.Kama Mungu ni mkamilifu mbona kaumba vitu visivyo kamilifu?
Ina maana hakuna Mungu mkamilifu anayeweza kuumba vitu kwa ukamilifu.
genesis1 God saw everthing he created was good. and handed it over to man and his wufe in its goodness. Pamoja na kukubali kwa hiyari yao kuvunja kanuni waliyopewa matokeo ni somo la milrle. lskin kwa kuwa boss anaupendo anakubali kulipia gharama ya matengenezo ili uwe na gari nzuri. this is what we cakl plan of redemtion