Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

679555.jpg
 
Wengi nimewapa connections za kazi.
Wengi nimewapa vimemo na wakatoboa.
Wengi niliwashauri na wakasogea hatua kadhaa mbele.
Wengi walinitapeli....
Wapo walio nidanganya na kunivuta pesa....
Sema miaka ya 2015 kurudi nyuma Jf ilikua hot 🔥 kinoma.... sikuzile tulikulana kwa heshima na palikua so cool 😎
Ila Jf ilikua na pisi za kwenda alloooo.....😋
Sikuzile tulipendana sana kabla ya huu uvamizi wa Gen-Z
Mimi hiyo miaka sikuwahi kupendwa kabisa zaidi nikiwafata warembo pm wananibloku daaaaah
 
Mwanaume kuomba pesa kwa namna yeyote ile ni umang'aa tu , twitter nina inbox zaidi ya 300 vijana wanaomba pesa bora humu kmamke
X wamejaa wadwanzi sana skuhiz......
Kuna mmoja alikuja akajieleza Sana kidogo niingie kingi kwamba kutoa Ni moyo ile kutoka DM nikaenda USSD ili nimtumie zikaingia DM nyingine 2 wanaomba hela dah nilighairisha mkuu
 
Back
Top Bottom