Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Wewe kama memba wa JF una mchango gani humu?

Wewe umetoa mchango gani kumtoa kijana humu kwenye sifuri na kwenda kwenye ndoto zake?
Nina vijana watano humu wanajijua wamefanikiwa kupitia mimi, kama wapo online watakuja.

Note: achana na vijana wanao kuomba pesa hasa 20 za kubeti humu gademitt.
Mimi sisemi.Dini imekataza.Komoni ya leo imeiva hadi najionea wivu mkuu
 
Asee jf ni jukwaa kubwa mno, unadai una uwezo toa connection kwa madogo , tusijeonekana kama madogo wa twitter wapumbavu tu
 
Back
Top Bottom