Wenye diploma wanaula!! Wapo wachache tofauti na kazi zinazohitaji degree ambazo ushindani ni mkubwa kupita maelezo

Nilichogundua sio kuwa na mawazo wala uthubutu bali kukosa ufahamu...

Wengi niliopata kukutana nao, huku wakiwa na mawazo ya ku-reseat, ukiwapa idea ya kusoma certificate, kwao inakuwa ni taarifa ngeni!!

Kutokana na kuzungukwa na watu wasio na uelewa, majority wanadhani grades zako zisipokuwezesha kusonga mbele, basi the only option ya kujiendeleza ni ku-reseat!!

Mimi mwenyewe sitasahau siku naripoti chuoni, nikawa nasoma majina ya wanafunzi tuliochaguliwa na majina yale yali-include qualifications za watu walizoingilia!!

I was surprised kuona jina la Binti aliyesoma Kibasila Form IV, na baada ya hapo akaenda kusoma certificate, diploma, na kisha tukakutana chuo!!!

By the time, sikufahamu kwamba iliwezekana mtu anavurunda Form IV, but few years later nae anajiunga chuo kikuu sawa na wale waliopata Div I Form IV aliyovurunda yeye!!!
Hahaha
 
Napitia hapa kazi za tra nimeona kuna kazi zinahitaji diploma, kiukweli diploma wanakuwaga wachache na hii inakuwa faida kwa wenye diploma maana nafasi hizi mtu aliepitia form 6 hawezi ku appy

Kimbembe kipo kwenye degree huku, ni shoida!! kuna rundo la vijana wengi mno wanaomaliza form 6 kila mwaka kuingia degree ukiongezea na wale wanaotoka diploma kwenda degree.

Ajira za diploma wanaweza ku apply watu elf 8 lakini hizi ajira za degree hata watu laki 8 wana apply

Wacha diploma wale zabibu zao aisee
Nivokataa kwenda five na six na kuamua kwenda kusoma diploma wengi hawakunielewa.
Nilipiga dip miaka miwili. Nikapata job, nikapiga job miaka miwili nikaamua kupiga bachelar huku nina kazi, huku nina boom, wale jamaa zangu waliounga 5 na 6 wakawa wanakaa kwangu huku wakitafuta kazi
 
Nivokataa kwenda five na six na kuamua kwenda kusoma diploma wengi hawakunielewa.
Nilipiga dip miaka miwili. Nikapata job, nikapiga job miaka miwili nikaamua kupiga bachelar huku nina kazi, huku nina boom, wale jamaa zangu waliounga 5 na 6 wakawa wanakaa kwangu huku wakitafuta kazi
Ni swala LA chaguo tu ni ngumu kumlazimisha MTU aende diploma km hana nia

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
kwa hali hii ndugu zangu kama uwezo upo mjikite zaidi kuwasomesha wenzenu diploma na sio kupoteza muda form 6
Kwaio kimsingi anawahi tu kupata kazi? Maana Diploma ni miaka miwili..lakini baadae atakuja kusoma degree miaka 3 inakua miaka 5 jumla..tena hapo ninkama amefaulu form 4 ila kama akiwa hana matokeo mazuri anasoma certificate mwaka mmoja baadae ndo diploma hivyo kufanya miaka kua 6..wakati mwenzake aliesoma form 5&6 amesomea miaka 3 degree yake, pia makazini wenye diploma wanalipwa tofauti kabisa..pia kiuzoefu watu walioanzaga diploma mars nyingi makazini hua wanakuaga walamba majivu aka watu wa kujikomba komba na wasiojiamini kwenye maamuzi...😂😂😂
 
Mm nilichagua kwenda diploma, pamoja na ufaulu, mzuri wa kwenda advance PCM! Nikiwa semester ya mwisho mwezi wa tano, nilishapata Ajira tiyari! Nimemaliza project yangu moja kwa moja nikaenda kuanza kazi! Wakati huo tuliomaliza nao form four ndo wanakuja kuanza mwaka 1 degree!
Saiv hata nilishaoa degree hiyo nitaisoma bila pressure yoyote
Unalipwa sh ngapi kwa mwezi😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅. Tatizo sio kuajiriwa je unalipwa sh ngapi??
 
pia kiuzoefu watu walioanzaga diploma mars nyingi makazini hua wanakuaga walamba majivu aka watu wa kujikomba komba na wasiojiamini kwenye maamuzi
No research, no data, no right to speak.

Naomba evidence ya hii.

Ulianza kujibu kwa hoja ila ulipofika hapa ni utumbo mtupu
 
No research, no data, no right to speak.

Naomba evidence ya hii.

Ulianza kujibu kwa hoja ila ulipofika hapa ni utumbo mtupu
Mbona hapo mwanzoni hujaomba evidence..halafu kwenye mazungumzk ya kawaida hatutoi evidence..evidence inatolewaga mahakamani huku mazungumzoni ya kawaida tunatoaga facts tu kama scenario niliyokutolea hapo mzee..
 
Mbona hapo mwanzoni hujaomba evidence..halafu kwenye mazungumzk ya kawaida hatutoi evidence..evidence inatolewaga mahakamani huku mazungumzoni ya kawaida tunatoaga facts tu kama scenario niliyokutolea hapo mzee..
Kwenda diploma badala ya advance

1. mtu huanza kujifunza taaluma yake mapema, anaeenda form 6 bado hajaanza kusomea taaluma.

2. C.v ya alieenda diploma ni nzito, kaenda practical field training mara 2, wa form six inabidi asuburie degree.

3. Wa diploma anafundishwa na ma professor wenye phd ama lecturer mwenye masters yenye ufaulu mkubwa, wa form six anafundishwa na mwalimu mwenye dip au degree ufualu hata wa chini

4. form 6 hakuna ajira ila cheti cha diploma kinaweza kupa ajira maana una maarifa ya taaluma + training.

5.wa diploma anavoingia degree anafanya marudio, wa form 6 anakutana na mambo kibao mapya.

6.Wa diploma haitaji orientation week siku anaenda degree, wa form 6 huyu lazima aipitie, maana hata kuazima kitabu library hajui.

6. wa diploma ashazoea uhuru wa chuoni , wa form 6 ndio mara ya kwanza hapo anakuwa huru, wengi ule mwaka wa kwanza wanakuwa hawajatulia wanaenda disco, parties, cinema, n.k ilo kuonja ladha ya uhuru.

Kiufupi kama pesa ipo mtu aende certificate >> diploma >> degree miaka 6, kuliko kwenda huko advance kwa sababu ni miaka 5, tofauti ni mwaka 1 tu hapo na kuwahi kumaliza sio kuwahi kufikia goal
 
Vyuo Vya Serikali Na Binafsi Ni Vingi Vinatoa Diploma
Idadi Mtaani Ni Kubwa Sana Hakuna Fani Utaitaka Ukute Eti Imesomwa Na Watu Wachache

Mahakama Ya Tanzania Imewahi Kutangaza Kazi Na Ikataka
Watu Waombe Kutoka Mikoa Husika Fani Hizi
Utunzaji Kumbukumbu
Katibu Muhtasi
Dereva

Idadi Ilikuwa Kubwa Sana
 
Vyuo Vya Serikali Na Binafsi Ni Vingi Vinatoa Diploma
Idadi Mtaani Ni Kubwa Sana Hakuna Fani Utaitaka Ukute Eti Imesomwa Na Watu Wachache

Mahakama Ya Tanzania Imewahi Kutangaza Kazi Na Ikataka
Watu Waombe Kutoka Mikoa Husika Fani Hizi
Utunzaji Kumbukumbu
Katibu Muhtasi
Dereva

Idadi Ilikuwa Kubwa Sana
Interview ya watu wenye diploma wanaweza kuwa elf 8 lakini interview ya wenye degree hapo hata watu laki 5 watatuma maombi.

Wanaosoma diploma ni wachache, hata serikali huwa inapeleka watu wasiozidi elf 2 katika vyuo wanaotokea form 4, hadi mtu apenye humu serikali imemfikiria sana, wengine wote waliobaki wanaenda huko advance.

hao form 6 wakimaliza ni wengi sana kuzidi walioenda diploma, wanaomaliza advance ni wengi sana kuzidi wanoenda diploma.

Kiufupi degree zipo nyingi sana mtaani na ushindani ni mkubwa sana kuliko wenye diploma.

Kuna dogo alikuwa na certificate, diploma ma degree za procurement, kiukweli alihangaika sana kupata kazi za degree, competition ilikuwa kubwa mnooo!! zilitoka nafasi wanahitaji watu wa store keeping kigezo ni diploma, walioenda walikuwa wachache maana wale walipptia form 6 walibanwa hapa, dogo alipiga written interview akapita, oral nayo akapita, akaanza kazi, baada ya mwaka na nusu akawa promoted kwa kutumia cheti cha degree.
 
Kwenda diploma badala ya advance

1. mtu huanza kujifunza taaluma yake mapema, anaeenda form 6 bado hajaanza kusomea taaluma.

2. C.v ya alieenda diploma ni nzito, kaenda practical field training mara 2, wa form six inabidi asuburie degree.

3. Wa diploma anafundishwa na ma professor wenye phd ama lecturer mwenye masters yenye ufaulu mkubwa, wa form six anafundishwa na mwalimu mwenye dip au degree ufualu hata wa chini

4. form 6 hakuna ajira ila cheti cha diploma kinaweza kupa ajira maana una maarifa ya taaluma + training.

5.wa diploma anavoingia degree anafanya marudio, wa form 6 anakutana na mambo kibao mapya.

6.Wa diploma haitaji orientation week siku anaenda degree, wa form 6 huyu lazima aipitie, maana hata kuazima kitabu library hajui.

6. wa diploma ashazoea uhuru wa chuoni , wa form 6 ndio mara ya kwanza hapo anakuwa huru, wengi ule mwaka wa kwanza wanakuwa hawajatulia wanaenda disco, parties, cinema, n.k ilo kuonja ladha ya uhuru.

Kiufupi kama pesa ipo mtu aende certificate >> diploma >> degree miaka 6, kuliko kwenda huko advance kwa sababu ni miaka 5, tofauti ni mwaka 1 tu hapo na kuwahi kumaliza sio kuwahi kufikia goal
1. Point ya kwanza unazungumzia kuwahi kua na taaluma ila kimsingi licha ya kuanza na kua na taaluma kama utapata kazi unaanza na mshahara mdogo kazini..

2. Kwenda practical training mara mbili au tatu sio issue kwenye ajira maana hata siku moja hautalizwa maswala ya practical ulioyofanya kipindi unasoma diploma na hua sio criteria ya kuajiri unless uwe hauna uzoefu na interview za kazi

3. Criteria ya kufundishwa na professor sio issue maana kwa kila level criteria ya kuajiri wakufinzi hua ipo wqzi..tutorial assistant, lecturer, associate lecturer etc..unless ndugu yangu uwe na matatizo ya uelewa wa elimu ya juu maana criteria zipo wazi..

4. Issue ya kua na ajira tulishaiongelea unaweza pata hio kazi lakini maslahi yako ni duni

5. Hata aliesoma diploma wakati anaanza lazima alikutana na vitu vigeni mambo mapya hayaepukiki kwenye maisha kwaio ni kitu lile kile tu kama cha form 6 leaver

6. Sasa na diploma nae si alienda kufanaya maswala ya disco maana there is a first time for everything...
 
Kusoma form six ni kama kupoteza Muda, kama nikumshauri waziri wa elimu ningemshauri afute form six
 
. Point ya kwanza unazungumzia kuwahi kua na taaluma ila kimsingi licha ya kuanza na kua na taaluma kama utapata kazi unaanza na mshahara mdogo kazini..
Cheti cha diploma kinaweza kukupe kazi lakini je, cheti cha form 6 kitakupa kazi ipi serikalini ??

MSHAHARA MDOGO !! kama diploma mshahara wake ni laki 5 serikalini kwanini wenye degree wanaendaga kufanya kazi za laki 2 kwenye makampuni, nahisi umeishiwa points 😂 😂
Kwenda practical training mara mbili au tatu sio issue kwenye ajira maana hata siku moja hautalizwa maswala ya practical ulioyofanya kipindi unasoma diploma na hua sio criteria ya kuajiri
Naomba ulinganishe hizi c.v

1. aliepitia cerificate > Dip > Degree

TRAINING 1 - TRA

insatalling operatin systems
systems backups and restore
Maintaining the company’s phone system
Providing technical support and assistance

TRAINING 2 - TCRA

design, develop, implement and testing Database
Database Administration and Maintenance
develop back and front- end connectivity
provide Database Client and User Services

TRAINING 3 - TTCL

Designing fire wall in network
installing cctv in hospitals
network trouble shooting
server administration

2. Aliepitia form 6 > degree, kafanya training moja tu kati ya hizo tatu

hebu cheki c.v ilivyo hapo, kuwa mkweli, je haivutii ?? utalinganisha uzoefu alioupata huyu na yule ambae kafanya training mara moja tu ambayo ilikuwa ni mara ya tatu kwa mwenye diploma
Criteria ya kufundishwa na professor sio issue maana kwa kila level criteria ya kuajiri wakufinzi hua ipo wqzi..tutorial assistant, lecturer, associate lecturer etc..unless ndugu yangu uwe na matatizo ya uelewa wa elimu ya juu maana criteria zipo wazi..
naona umekwepa maada kwa kuanzisha topic nyingine ila tunarudi kwenye point yangu, Mwenzako anafundishwa na proffesor mwenye phd wewe wa advance unafundishwa na mwalimu mwenye diploma hata ya g.p.a ya chini hapo huoni utofauti, achilia mbali inabidi mtu aende tuisheni za mchikichini ambaz walimu wengi wameishia form 6.
Issue ya kua na ajira tulishaiongelea unaweza pata hio kazi lakini maslahi yako ni duni
nami narudia tena...

MSHAHARA MDOGO !! kama diploma mshahara wake ni laki 5 serikalini kwanini wenye degree wanaendaga kufanya kazi za laki 2 kwenye makampuni, nahisi umeishiwa points 😂 😂

Hata aliesoma diploma wakati anaanza lazima alikutana na vitu vigeni mambo mapya hayaepukiki kwenye maisha kwaio ni kitu lile kile tu kama cha form 6 leaver
Asante kwa kulikubali hili, kiufupi mtu anapotoka form 6 kwenda degree karibia 90% ni mambo mapya kwake, wa diploma kwake degreeitakuwa ni marudio tu, ataisoma kwa ku relax, chuo na bata, sasa wewe ambae degree unakutana na vitu kibao vipya, muige huyo diploma ujue maana ya disco kwa vitendo 😂
Sasa na diploma nae si alienda kufanaya maswala ya disco maana there is a first time for everything...
Yes, wakati wenzake wapo huko form 5 wanakula mbakora, kupangiwa mavazi ya kuvaa hadi tai, kufugwa ndani ya fensi, n.k muda huo, alieenda chuo kuanza ertificate huo mda ndio anautoa ushamba wote wa uhuru, certificate ile ya mwaka moja inakuwa kama introduction, akiingia diploma tayari anakuwa kashazoea, akiingia degree inabidi awe anawacheka tu wenzake siku za kwanza mtu kaj na tranka kwenye usahili utafkiri yupo sekondari 😂 😂 ,
 
Kusoma form six ni kama kupoteza Muda, kama nikumshauri waziri wa elimu ningemshauri afute form six
Ndio maana serikali inapelekaga watu wachache san vyuoni maana ni nafasi adimu sana, kundi la malaki ya wengine waliobaki wanaenda kumwagwa huko advance
 
Inasemekana ukiwa umesema una degree ajiraportal lakin pia ulipitia njia ya Diploma kuipata Degree, ikitokea kaz ya Diploma, huwez ukaapply cz system inakutambua ww ni diploma holder.

Sio inasemekana ni kweli,system inakutambua ni degree holder na hautaweza kuomba tena kazi za diploma na hata ukijaribu kuremove qualification system inagoma,hii pia imepelekea idadi ya diploma holder wanaoomba kua chache,sababu wengi walikua wanahide qualification ya degree kwa kuiremove kwenye system na kisha kuomba kazi za diploma ,kwa sasa haiwezekani kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom