R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Doctor, engineer au Lawyer ikishindikana angalau somea uhasibu.
Niseme tu ya kwamba wapo wanaosomea hata degree ya kichina wanapata ajira hapahapa Tanzania lakini Probability (makadirio ya uwezekano) ya kupata hizo kazi ni ndogo.
Lakini hizi kozi tajwa angalau zina Probability (makadirio ya uwezekano) nzuri ya kuajiriwa sambamba na malipo mazuri, vijana wengi tu wapo makazini kwenye hizi kazi na hali zao kiuchumi si haba. Haimaanishi kwamba wooooote wanaajiriwa ama kujiajiri, LA HASHA!! wengine wanasugua benchi mtaani lakini kozi hizi angalau zina nafuu kwenye Probability (makadirio ya uwezekano) ya kuajiriwa ama kujiajiri, Mambo hayana formula lakini ni vema kufanya kitu walau kina Probability (makadirio ya uwezekano) nzuri, hata kwenye muziki yupo Diamond platnumz lakini probability ya mtu aliemaliza form 4 aanze kuimba ategemee muziki pekee kuendesha maisha ni ndogo sana, ni heri adungue mgahawa wake angalau kuna Probability nzuri ya uhakika wa kuendesha maisha yake.
Madaktari wana bodi yao Medical Council of Tanganyika, lazima ufuzu mitihani ya bodi hii ukiachana na ile ya chuo, jina la daktari linaanza kwa Md flani. Afya ndio mtaji jamani, Uhitaji wao ni mkubwa, mishahara yao si haba, na mtu akiweza kujiajiri afungue hata sehemu yake kama zahahanati ni jambo la neema kwa jamii maana huduma za afya bado zipo chache.
Engineers wana bodi yao, Engineers Registration Board, lazima ufuzu mitihani ya bodi hii ukiachana na ile ya chuo, jina la daktari linaanza kwa Eng, flani. hawa ndio mafundi mitambo, wahandisi wa barabara, wanaojenga majengo, wahandisi wa computer, n.k. huku waliojaa wengi ni wanaume tofauti na kwengine, kwa wanawake nadhani huwa wanapata upendeleo maalum kwenya ajira.
wanasheria wana bodi yao, Tanganyika law society, lazima ufuzu mitihani ya bodi hii ukiachana na ile ya chuo, jina linaanza kwa wakili flani. hapa wapo wale mapilato wanaotembelea gari zimeandikwa J, wapo washauri wa sheria wa kulipwa, wapo mawakili, wapo wenye law firms zao, n.k. asikwambie mtu yani watu wapo tayari kutoa chochote kukwepa maisha nyuma ya nondo, kudai haki zao, kujitetea, n.k. wanasheria ndio wanufaika hapa.
wahasibu wana bodi yao, National board of accountants and auditors, lazima ufuzu mitihani ya bodi hii ukiachana na ile ya chuo, jina la mhasibu linaanza kwa Cpa flani. ndio wanaohusika na usimamizi wa fedha kuanzia mapato, matumizi, faida , n.k. wapo kwa wingi karibu kila shirika maana pesa bila usimamizi ni hatari, kwa cpa kima cha chini cha mshahara inasemekana ni milioni 1.3, kwenye kujiajiri kuna accounting firms hawa ndio wanahusika na kusimamia hesabu za makampuni, kusaidia watu kupeleka tax returns TRA, n.k. pesa ipo.
Ni kipimo cha kuonyesha uzito wa haya mambo, bodi hizi zipo tangu zamani na ili uwe mwanachama inabidi ufanye mitihani yao.
Pia ni inapendeza kuanza kusomea taaluma mapema vyuoni baada ya kuhitimu form 4, diploma miaka mitatu kisha unaingia degree pamoja na wale waliotokea sekondari form 6, kumbuka form 6 ni elimu ya sekondari wala sio elimu ya taaluma ndio maana mtu aliesoma form hawezi kuajiriwa bila degree lakini mwenye Diploma anaweza kupata ajira bila degree, Pia kazi za degree ni za wote waliotokea form 6 kwenda degree na wale form 4>diploma>degree lakini kazi za diploma ni maalum kwajili ya walioanza kusoma chuo baada ya form 4, nchi zilizoendelea kama Kenya walishafuta form 5 na 6 ni moja kwa moja kuanza kusomea taaluma chuoni.
Wanaijeria ndio jamii ya waafrika walioelimika zaidi wanasisistiza watoto wao wasomee Doctor, Lawyer ama Engineer, waisrael na wahindi ndio makundi yenye wasomi zaidi wanasisitiza watoto wao wasomee Doctor, engineer ama Lawyer,
Niseme tu ya kwamba wapo wanaosomea hata degree ya kichina wanapata ajira hapahapa Tanzania lakini Probability (makadirio ya uwezekano) ya kupata hizo kazi ni ndogo.
Lakini hizi kozi tajwa angalau zina Probability (makadirio ya uwezekano) nzuri ya kuajiriwa sambamba na malipo mazuri, vijana wengi tu wapo makazini kwenye hizi kazi na hali zao kiuchumi si haba. Haimaanishi kwamba wooooote wanaajiriwa ama kujiajiri, LA HASHA!! wengine wanasugua benchi mtaani lakini kozi hizi angalau zina nafuu kwenye Probability (makadirio ya uwezekano) ya kuajiriwa ama kujiajiri, Mambo hayana formula lakini ni vema kufanya kitu walau kina Probability (makadirio ya uwezekano) nzuri, hata kwenye muziki yupo Diamond platnumz lakini probability ya mtu aliemaliza form 4 aanze kuimba ategemee muziki pekee kuendesha maisha ni ndogo sana, ni heri adungue mgahawa wake angalau kuna Probability nzuri ya uhakika wa kuendesha maisha yake.
Madaktari wana bodi yao Medical Council of Tanganyika, lazima ufuzu mitihani ya bodi hii ukiachana na ile ya chuo, jina la daktari linaanza kwa Md flani. Afya ndio mtaji jamani, Uhitaji wao ni mkubwa, mishahara yao si haba, na mtu akiweza kujiajiri afungue hata sehemu yake kama zahahanati ni jambo la neema kwa jamii maana huduma za afya bado zipo chache.
Engineers wana bodi yao, Engineers Registration Board, lazima ufuzu mitihani ya bodi hii ukiachana na ile ya chuo, jina la daktari linaanza kwa Eng, flani. hawa ndio mafundi mitambo, wahandisi wa barabara, wanaojenga majengo, wahandisi wa computer, n.k. huku waliojaa wengi ni wanaume tofauti na kwengine, kwa wanawake nadhani huwa wanapata upendeleo maalum kwenya ajira.
wanasheria wana bodi yao, Tanganyika law society, lazima ufuzu mitihani ya bodi hii ukiachana na ile ya chuo, jina linaanza kwa wakili flani. hapa wapo wale mapilato wanaotembelea gari zimeandikwa J, wapo washauri wa sheria wa kulipwa, wapo mawakili, wapo wenye law firms zao, n.k. asikwambie mtu yani watu wapo tayari kutoa chochote kukwepa maisha nyuma ya nondo, kudai haki zao, kujitetea, n.k. wanasheria ndio wanufaika hapa.
wahasibu wana bodi yao, National board of accountants and auditors, lazima ufuzu mitihani ya bodi hii ukiachana na ile ya chuo, jina la mhasibu linaanza kwa Cpa flani. ndio wanaohusika na usimamizi wa fedha kuanzia mapato, matumizi, faida , n.k. wapo kwa wingi karibu kila shirika maana pesa bila usimamizi ni hatari, kwa cpa kima cha chini cha mshahara inasemekana ni milioni 1.3, kwenye kujiajiri kuna accounting firms hawa ndio wanahusika na kusimamia hesabu za makampuni, kusaidia watu kupeleka tax returns TRA, n.k. pesa ipo.
Ni kipimo cha kuonyesha uzito wa haya mambo, bodi hizi zipo tangu zamani na ili uwe mwanachama inabidi ufanye mitihani yao.
Pia ni inapendeza kuanza kusomea taaluma mapema vyuoni baada ya kuhitimu form 4, diploma miaka mitatu kisha unaingia degree pamoja na wale waliotokea sekondari form 6, kumbuka form 6 ni elimu ya sekondari wala sio elimu ya taaluma ndio maana mtu aliesoma form hawezi kuajiriwa bila degree lakini mwenye Diploma anaweza kupata ajira bila degree, Pia kazi za degree ni za wote waliotokea form 6 kwenda degree na wale form 4>diploma>degree lakini kazi za diploma ni maalum kwajili ya walioanza kusoma chuo baada ya form 4, nchi zilizoendelea kama Kenya walishafuta form 5 na 6 ni moja kwa moja kuanza kusomea taaluma chuoni.
Wanaijeria ndio jamii ya waafrika walioelimika zaidi wanasisistiza watoto wao wasomee Doctor, Lawyer ama Engineer, waisrael na wahindi ndio makundi yenye wasomi zaidi wanasisitiza watoto wao wasomee Doctor, engineer ama Lawyer,