Ni uongo kusema hesabu za advance zinamwandaa mtu vizuri kukabiliana na hesabu za degree ya IT/CS kuzidi aliezisomea diploma

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,032
copy paste fb, ila naisapoti

Kuna kitu nataka niweke clear once and for all, Kumekuwa na upotoshaji mzito kwamba Pure Mathematics ya A-Level inamuandaa vema mtu kusomea degree ya IT / CS and the likes kuliko yule aliesomea diploma na kuingia degee, This is utter nonsense, Huu ni upotoshaji mkubwa sana and i proove it with facts only, uongo huu umeendekezwa sana and I feel sorry for the young lads being deceived year after year, hivyo wacha niweke mambo wazi.

Advance utajifunza hesabu kama somo, hii haina utofauti sana na wanafunzi wa o-level wanaosoma somo la additional mathematics isipokuwa tu advance wanasomea kombi hivyo kuna topics za ziada ila wote wanazisomea hesabu kama somo, Hali hii ni tofauti na chuoni wanapofundisha jinsi ya kuzitumia hesabu kwenye taaluma (application of math).

Mfano mdogo ni kwamba watu wengi tunajua kwamba 4 x 2 = 8 lakini kwa chuoni this is not enough, haitoshi tu kujua jibu ni 8 bali inabidi uyajue matumizi / application yake kwenye taaluma yako, mfano processor inakuwa na core 4, Je computer yenye hyper threading itakuwa na virtual cores ngapi ? hapa jibu unapata kwa kuzidisha 4 x 2 = 8 ambalo hata mtoto mdogo wa darasa la pili anajibu lakini hii haitoshi katika taaluma, itabidi ujue kwanza processor ni nini, core ni nini, threads ni nini, hyper threading ni kitu gani, n.k.

Baada yakujua hivyo ndo utajua kwamba hyper threading inatengeneza threads 2 kweny core moja ndio maana tunazisha mara 2, bila kujua hivi vitu hata ukijibu hilo jibu la 8 usishangae kunyimwa maksi zote maana inaonekana wazi hujui hata unachokijibu, ukichengwa kidogo tu chalii.

Ndio hapa sasa ndipo unapoona utofauti kwamba advance wanasomea hesabu kama somo kama ilivyo kwa o-level ila chuoni endapo watazikuta hesabu walizojifunza advance basi wanaenda kufunzwa upya hizo hesabu zinatumikaje kwenye taaluma zao, Kwa upande wa wale walioanza kusomea diploma baada ya form 4 hivi vitu huwa ni marudio tu wakifika degree, wakifika degree juhudi kubwa zinawekwa kwenye kushindilia na kuelewa zaidi kwa undani na sio kuwa wageni.

Alafu kitu kingine ni kwamba mtaala wentu ni wa zamani sana, hesabu za advance ni za mitaala ya 1960’s huko kabla hata mapinduzi makubwa hayajafanyika kwenye computers, hivyo hata hesabu za advance bado hazijafanyiwa adjustments kuandaa wanafunzi wanaotaka kusomea cs ama it, na hii ndio sababu nchi kama Kenya walijitoa advance (tayari wapo mbioni kuingiza elimu ya computer shule za msingi), Kenya ukimaliza form 4 ni chuo direct kuanza kusomea taaluma yako.

Huku kwetu mtu akitoka advance na kuingia chuo atakuta hesabu mpya kama binary number, hexadecimal numbers na nyingine ambazo ni muhimu kuzijua katika ulimwengu huu wa computers , hapa huwa inakuwa changamoto kwa waliopitia advance, wataanza kujifunza hesabu za binary 1+1 = 0 hapo inakuwa ni mambo mapya na inabidi ujifunze upya kwanini computer zinatumia binary.

Kusakafia huu mjadala wacha niseme kwamba chuoni utafudishwa tu kile ambacho kitakusaidia kwenye taaluma yako, Ni kama kwenye mpira, Striker inabidi ajikite kwenye kumchenga kipa, ball control, chenga, mashuti, n.k. topics kama kudaka kama kina Casilas , kupiga sliding tackles kama za kina ramos, n.k kwake hio sio field yake.

Kujikita Zaidi kwenye sehemu zitazokuongezea ufanisi ndio kutakufanya uwe nondo.
Lastly ningependa kugusia pia advanctage kubwa ya kusomea diploma baada ya chuo ni kwamba masomo utayoyakuta degree karibia 80% (zikiwemo hesabu) utakuwa unayarudia na hata mwalimu aliewafundisha diploma there is a possibility akawafundisha tena degree kwa notes zile zile, Downturn ya kusomea advance ni kwamba karibia 80% ya vitu utavyovikuta chuoni ni mambo mapya, hio 20% iliyobaki ya vitu utavyovikuta kwa kiasi vitagusia hesabu ulizojifunza o level na a level lakini bado utafunzwa upya namna ya kuzi apply na si kuzisoma kama somo la kombi ama kufulia necta, pia hizo hesabu si somo pekee utalolikuta, kuna masomo mengi mno, hutaenda tena kusomea masomo matatu ya kombi, chuoni utaenda kusomea Zaidi ya masomo 50 na mengi yatakuwa mapya.

Naskia hadi leo watu wazima wapo advance wanacharazwa viboko kama watoto na ukikutwa hata na barua ya mapenzi unaweza kupewa suspenion, hivi ni kweli watu wazima bado wanabanwa hivi?
 
Napingana na wewe japo mimi sijasoma IT ila nilisoma PCM sasa kuna ma H-kunani walikuwa wanasoma degree ya IT sasa shida kwao ilikuwa ni hesabu hivyo nilikuwa nawafundisha na kuwafanyia assignment zote za zinazohusu hesabu wnanilipa mpunga na kila hesabu za huko IT

Niliwafundisha japo baadhi sikukutananazo advance kilichokuwa kinasaidia walikuwa wananitumia notice napitia halafu naenda kuwafundisha kila kitu kilikuwa easy
labda hii kitu"Moment of normal distribution" hii kitu ndo ngumu kwenye hesabu hii ndo nilitumia masaa sita ndo nikaelewa.
 
Nonsense!!

Hesabu ya diploma haidizaini daraja wala mnara. Wanafundishwa limited maths.

Hexadec and the co. ni 0% kwenye hisabati na applications zake.
 
copy paste fb, ila naisapoti

Kuna kitu nataka niweke clear once and for all, Kumekuwa na upotoshaji mzito kwamba Pure Mathematics ya A-Level inamuandaa vema mtu kusomea degree ya IT / CS and the likes kuliko yule aliesomea diploma na kuingia degee, This is utter nonsense, Huu ni upotoshaji mkubwa sana and i proove it with facts only, uongo huu umeendekezwa sana and I feel sorry for the young lads being deceived year after year, hivyo wacha niweke mambo wazi.

Advance utajifunza hesabu kama somo, hii haina utofauti sana na wanafunzi wa o-level wanaosoma somo la additional mathematics isipokuwa tu advance wanasomea kombi hivyo kuna topics za ziada ila wote wanazisomea hesabu kama somo, Hali hii ni tofauti na chuoni wanapofundisha jinsi ya kuzitumia hesabu kwenye taaluma (application of math).

Mfano mdogo ni kwamba watu wengi tunajua kwamba 4 x 2 = 8 lakini kwa chuoni this is not enough, haitoshi tu kujua jibu ni 8 bali inabidi uyajue matumizi / application yake kwenye taaluma yako, mfano processor inakuwa na core 4, Je computer yenye hyper threading itakuwa na virtual cores ngapi ? hapa jibu unapata kwa kuzidisha 4 x 2 = 8 ambalo hata mtoto mdogo wa darasa la pili anajibu lakini hii haitoshi katika taaluma, itabidi ujue kwanza processor ni nini, core ni nini, threads ni nini, hyper threading ni kitu gani, n.k.

Baada yakujua hivyo ndo utajua kwamba hyper threading inatengeneza threads 2 kweny core moja ndio maana tunazisha mara 2, bila kujua hivi vitu hata ukijibu hilo jibu la 8 usishangae kunyimwa maksi zote maana inaonekana wazi hujui hata unachokijibu, ukichengwa kidogo tu chalii.

Ndio hapa sasa ndipo unapoona utofauti kwamba advance wanasomea hesabu kama somo kama ilivyo kwa o-level ila chuoni endapo watazikuta hesabu walizojifunza advance basi wanaenda kufunzwa upya hizo hesabu zinatumikaje kwenye taaluma zao, Kwa upande wa wale walioanza kusomea diploma baada ya form 4 hivi vitu huwa ni marudio tu wakifika degree, wakifika degree juhudi kubwa zinawekwa kwenye kushindilia na kuelewa zaidi kwa undani na sio kuwa wageni.

Alafu kitu kingine ni kwamba mtaala wentu ni wa zamani sana, hesabu za advance ni za mitaala ya 1960’s huko kabla hata mapinduzi makubwa hayajafanyika kwenye computers, hivyo hata hesabu za advance bado hazijafanyiwa adjustments kuandaa wanafunzi wanaotaka kusomea cs ama it, na hii ndio sababu nchi kama Kenya walijitoa advance (tayari wapo mbioni kuingiza elimu ya computer shule za msingi), Kenya ukimaliza form 4 ni chuo direct kuanza kusomea taaluma yako.

Huku kwetu mtu akitoka advance na kuingia chuo atakuta hesabu mpya kama binary number, hexadecimal numbers na nyingine ambazo ni muhimu kuzijua katika ulimwengu huu wa computers , hapa huwa inakuwa changamoto kwa waliopitia advance, wataanza kujifunza hesabu za binary 1+1 = 0 hapo inakuwa ni mambo mapya na inabidi ujifunze upya kwanini computer zinatumia binary.

Kusakafia huu mjadala wacha niseme kwamba chuoni utafudishwa tu kile ambacho kitakusaidia kwenye taaluma yako, Ni kama kwenye mpira, Striker inabidi ajikite kwenye kumchenga kipa, ball control, chenga, mashuti, n.k. topics kama kudaka kama kina Casilas , kupiga sliding tackles kama za kina ramos, n.k kwake hio sio field yake.

Kujikita Zaidi kwenye sehemu zitazokuongezea ufanisi ndio kutakufanya uwe nondo.
Lastly ningependa kugusia pia advanctage kubwa ya kusomea diploma baada ya chuo ni kwamba masomo utayoyakuta degree karibia 80% (zikiwemo hesabu) utakuwa unayarudia na hata mwalimu aliewafundisha diploma there is a possibility akawafundisha tena degree kwa notes zile zile, Downturn ya kusomea advance ni kwamba karibia 80% ya vitu utavyovikuta chuoni ni mambo mapya, hio 20% iliyobaki ya vitu utavyovikuta kwa kiasi vitagusia hesabu ulizojifunza o level na a level lakini bado utafunzwa upya namna ya kuzi apply na si kuzisoma kama somo la kombi ama kufulia necta, pia hizo hesabu si somo pekee utalolikuta, kuna masomo mengi mno, hutaenda tena kusomea masomo matatu ya kombi, chuoni utaenda kusomea Zaidi ya masomo 50 na mengi yatakuwa mapya.

Naskia hadi leo watu wazima wapo advance wanacharazwa viboko kama watoto na ukikutwa hata na barua ya mapenzi unaweza kupewa suspenion, hivi ni kweli watu wazima bado wanabanwa hivi?

Watu wengi wa diploma kwa IT na CS wanakalili hadi hesabu zinazotaka uelewe, nilishangaa watu wanaosoma ualimu wa hesabu ndo wengi huwa walimu wao, nenda vyuoni kaone mtu hawezi derive formula zile kama sikosei ni kwenye discrete mathermats Simpsons formula hawaezi unakuta ana karatasi kaandika derived formula anakalili Kama tatu akifika ndani ya chumba anamwaga wakati waliosoma hesabu advance hawafanyi hivyo.


Kama kuna mitihani miwili ya hesabu kwa siku mfano mathematical logic.& Formal semantics


Na

Hiyo discrete mathematics au statistics na probability


Mtu wa diploma mzembe anarudi kusapua hahahaha



Twende kwa fact ukikutana nao kwenye somo la artificial intelligence na ML hapo ndo utajua umuhimu wa advance.


Je unaijua hesabu ya form four ya kenya na hii Tanzania?


Ebu mwagika tuone!😀
 
Napingana na wewe japo mimi sijasoma IT ila nilisoma PCM sasa kuna ma H-kunani walikuwa wanasoma degree ya IT sasa shida kwao ilikuwa ni hesabu hivyo nilikuwa nawafundisha na kuwafanyia assignment zote za zinazohusu hesabu wnanilipa mpunga na kila hesabu za huko IT

Niliwafundisha japo baadhi sikukutananazo advance kilichokuwa kinasaidia walikuwa wananitumia notice napitia halafu naenda kuwafundisha kila kitu kilikuwa easy
labda hii kitu"Moment of normal distribution" hii kitu ndo ngumu kwenye hesabu hii ndo nilitumia masaa sita ndo nikaelewa.
This

Kama mtu anafikiri Hesabu unatakiwa kuikuta Exactly kama Ilivyo Tayari hizo ni Mentality za kukariri. Wewe umeweza kusolve Kitu ambacho Hujawahi kukutana nacho sababu Tayari Hesabu ilishapanua uwezo wako wa Kufikiri.

Uliwengu wa sasa Kudesign vitu vipya kunahitaji Upeo mkubwa sana, na Hesabu inasaidia kufanikisha hili.
 
Napingana na wewe japo mimi sijasoma IT ila nilisoma PCM sasa kuna ma H-kunani walikuwa wanasoma degree ya IT sasa shida kwao ilikuwa ni hesabu hivyo nilikuwa nawafundisha na kuwafanyia assignment zote za zinazohusu hesabu wnanilipa mpunga na kila hesabu za huko IT

Niliwafundisha japo baadhi sikukutananazo advance kilichokuwa kinasaidia walikuwa wananitumia notice napitia halafu naenda kuwafundisha kila kitu kilikuwa easy
labda hii kitu"Moment of normal distribution" hii kitu ndo ngumu kwenye hesabu hii ndo nilitumia masaa sita ndo nikaelewa.
Chuo gani hicho kinaruhusu HKL, HGL and the likes kusoma degree za IT?
 
Hata wew hesabu Za chuo hujazisoma zote.... Sio kila 4x2 ni 8. Nenda kwenye abstract algebra ukajionee
 
Kwangu mm zimenisaidia sn...it make your brain being sharp all the time...hata wacheza mpira sasa wanafungia magoli mengi by bending which is a combination of projectile plus math. ..angalia uwezo wako unapokua na changamoto hua unachukua muda gani kufatua. ..then utajua zilikusaidia or not
 
Kwangu mm zimenisaidia sn...it make your brain being sharp all the time...hata wacheza mpira sasa wanafungia magoli mengi by bending which is a combination of projectile plus math. ..angalia uwezo wako unapokua na changamoto hua unachukua muda gani kufatua. ..then utajua zilikusaidia or not
uzuri watu mliosoma hesabu mna akili zenu timamu
 
copy paste fb, ila naisapoti

Kuna kitu nataka niweke clear once and for all, Kumekuwa na upotoshaji mzito kwamba Pure Mathematics ya A-Level inamuandaa vema mtu kusomea degree ya IT / CS and the likes kuliko yule aliesomea diploma na kuingia degee, This is utter nonsense, Huu ni upotoshaji mkubwa sana and i proove it with facts only, uongo huu umeendekezwa sana and I feel sorry for the young lads being deceived year after year, hivyo wacha niweke mambo wazi.

Advance utajifunza hesabu kama somo, hii haina utofauti sana na wanafunzi wa o-level wanaosoma somo la additional mathematics isipokuwa tu advance wanasomea kombi hivyo kuna topics za ziada ila wote wanazisomea hesabu kama somo, Hali hii ni tofauti na chuoni wanapofundisha jinsi ya kuzitumia hesabu kwenye taaluma (application of math).

Mfano mdogo ni kwamba watu wengi tunajua kwamba 4 x 2 = 8 lakini kwa chuoni this is not enough, haitoshi tu kujua jibu ni 8 bali inabidi uyajue matumizi / application yake kwenye taaluma yako, mfano processor inakuwa na core 4, Je computer yenye hyper threading itakuwa na virtual cores ngapi ? hapa jibu unapata kwa kuzidisha 4 x 2 = 8 ambalo hata mtoto mdogo wa darasa la pili anajibu lakini hii haitoshi katika taaluma, itabidi ujue kwanza processor ni nini, core ni nini, threads ni nini, hyper threading ni kitu gani, n.k.

Baada yakujua hivyo ndo utajua kwamba hyper threading inatengeneza threads 2 kweny core moja ndio maana tunazisha mara 2, bila kujua hivi vitu hata ukijibu hilo jibu la 8 usishangae kunyimwa maksi zote maana inaonekana wazi hujui hata unachokijibu, ukichengwa kidogo tu chalii.

Ndio hapa sasa ndipo unapoona utofauti kwamba advance wanasomea hesabu kama somo kama ilivyo kwa o-level ila chuoni endapo watazikuta hesabu walizojifunza advance basi wanaenda kufunzwa upya hizo hesabu zinatumikaje kwenye taaluma zao, Kwa upande wa wale walioanza kusomea diploma baada ya form 4 hivi vitu huwa ni marudio tu wakifika degree, wakifika degree juhudi kubwa zinawekwa kwenye kushindilia na kuelewa zaidi kwa undani na sio kuwa wageni.

Alafu kitu kingine ni kwamba mtaala wentu ni wa zamani sana, hesabu za advance ni za mitaala ya 1960’s huko kabla hata mapinduzi makubwa hayajafanyika kwenye computers, hivyo hata hesabu za advance bado hazijafanyiwa adjustments kuandaa wanafunzi wanaotaka kusomea cs ama it, na hii ndio sababu nchi kama Kenya walijitoa advance (tayari wapo mbioni kuingiza elimu ya computer shule za msingi), Kenya ukimaliza form 4 ni chuo direct kuanza kusomea taaluma yako.

Huku kwetu mtu akitoka advance na kuingia chuo atakuta hesabu mpya kama binary number, hexadecimal numbers na nyingine ambazo ni muhimu kuzijua katika ulimwengu huu wa computers , hapa huwa inakuwa changamoto kwa waliopitia advance, wataanza kujifunza hesabu za binary 1+1 = 0 hapo inakuwa ni mambo mapya na inabidi ujifunze upya kwanini computer zinatumia binary.

Kusakafia huu mjadala wacha niseme kwamba chuoni utafudishwa tu kile ambacho kitakusaidia kwenye taaluma yako, Ni kama kwenye mpira, Striker inabidi ajikite kwenye kumchenga kipa, ball control, chenga, mashuti, n.k. topics kama kudaka kama kina Casilas , kupiga sliding tackles kama za kina ramos, n.k kwake hio sio field yake.

Kujikita Zaidi kwenye sehemu zitazokuongezea ufanisi ndio kutakufanya uwe nondo.
Lastly ningependa kugusia pia advanctage kubwa ya kusomea diploma baada ya chuo ni kwamba masomo utayoyakuta degree karibia 80% (zikiwemo hesabu) utakuwa unayarudia na hata mwalimu aliewafundisha diploma there is a possibility akawafundisha tena degree kwa notes zile zile, Downturn ya kusomea advance ni kwamba karibia 80% ya vitu utavyovikuta chuoni ni mambo mapya, hio 20% iliyobaki ya vitu utavyovikuta kwa kiasi vitagusia hesabu ulizojifunza o level na a level lakini bado utafunzwa upya namna ya kuzi apply na si kuzisoma kama somo la kombi ama kufulia necta, pia hizo hesabu si somo pekee utalolikuta, kuna masomo mengi mno, hutaenda tena kusomea masomo matatu ya kombi, chuoni utaenda kusomea Zaidi ya masomo 50 na mengi yatakuwa mapya.

Naskia hadi leo watu wazima wapo advance wanacharazwa viboko kama watoto na ukikutwa hata na barua ya mapenzi unaweza kupewa suspenion, hivi ni kweli watu wazima bado wanabanwa hivi?
wewe ulieandika hivi moja kwa moja, kwanza unaonekana hujui hesabu....pili, unaonekana hujasoma hesabu ya advance, sasa kwa taarifa yako, kijana alieiva pcm, masomo ya engineering, na I.t kwake yanakuwa sio magumu kwasababu ana-deep concept ya hesabu, na electronics hajakariri kama waliotoka form four au diploma, pili hata hao diploma unao wasemea wengi wao, wanakutana na sup za hesabu tuu, na wanaishia kuzichukia, kwasababu kwanza wanazisoma muda mfupi, na masomo ni mengi, pili hawazipendi, tatu hawazimuduuuuu, hizo diploma unazosema hata sie tumesoma, hakuna hesabu unayoisoma chuo ukaichimba kama inavyochimbwa advance, kinachotokea ni kuongezea concept tuu za I.t au Eng, tatu, acha kudanganya watu, kuna baadhi ya topics unazikuta kama zilivyo, kwa mfano, algebra, trignometric ratios, vector, probability, kwahiyo watu wa advance wanakuwa waalimu, kabisa kwa wenzao na wanazeenjoy sana, nne ndio maana program za engineering , electronics na i.t ni mahususi kwa watu waliosoma physics na mathematics........acha kupotosha vijana
 
We jamaa fuatilia historia ya kompyuta utagundua kua kompyuta na hesabu ni mtu na mzazi wake. Kwanza kutoka karne ya 19 Charles babage aliunda kifaa Cha kimechanic Cha kusolvia hesabu baadae wengine wakaja na electromechanical. Na katika vita ya pili wamarekani waliunda ENIAC kwa ya kusolvia trajectory calculation. Baada ya ugunduzi wa transistor na intergreted circuit wakaweza kuunda kompyuta ilioweza kufikisha watu mwezini. Baadaye wakina Steve jobs wakaanza kuihusisha kompyuta na Mambo mengine Kama music, Photoshop, animation na etc. Sasa mtoa maada unanganya watu hesabu ni muhimu sana kwa engineering na technology
 
We jamaa fuatilia historia ya kompyuta utagundua kua kompyuta na hesabu ni mtu na mzazi wake. Kwanza kutoka karne ya 19 Charles babage aliunda kifaa Cha kimechanic Cha kusolvia hesabu baadae wengine wakaja na electromechanical. Na katika vita ya pili wamarekani waliunda ENIAC kwa ya kusolvia trajectory calculation. Baada ya ugunduzi wa transistor na intergreted circuit wakaweza kuunda kompyuta ilioweza kufikisha watu mwezini. Baadaye wakina Steve jobs wakaanza kuihusisha kompyuta na Mambo mengine Kama music, Photoshop, animation na etc. Sasa mtoa maada unanganya watu hesabu ni muhimu sana kwa engineering na technology
Eng, nikushkuru sana kwa kuokoa hiki kizazi!!
 
copy paste fb, ila naisapoti

Kuna kitu nataka niweke clear once and for all, Kumekuwa na upotoshaji mzito kwamba Pure Mathematics ya A-Level inamuandaa vema mtu kusomea degree ya IT / CS and the likes kuliko yule aliesomea diploma na kuingia degee, This is utter nonsense, Huu ni upotoshaji mkubwa sana and i proove it with facts only, uongo huu umeendekezwa sana and I feel sorry for the young lads being deceived year after year, hivyo wacha niweke mambo wazi.

Advance utajifunza hesabu kama somo, hii haina utofauti sana na wanafunzi wa o-level wanaosoma somo la additional mathematics isipokuwa tu advance wanasomea kombi hivyo kuna topics za ziada ila wote wanazisomea hesabu kama somo, Hali hii ni tofauti na chuoni wanapofundisha jinsi ya kuzitumia hesabu kwenye taaluma (application of math).

Mfano mdogo ni kwamba watu wengi tunajua kwamba 4 x 2 = 8 lakini kwa chuoni this is not enough, haitoshi tu kujua jibu ni 8 bali inabidi uyajue matumizi / application yake kwenye taaluma yako, mfano processor inakuwa na core 4, Je computer yenye hyper threading itakuwa na virtual cores ngapi ? hapa jibu unapata kwa kuzidisha 4 x 2 = 8 ambalo hata mtoto mdogo wa darasa la pili anajibu lakini hii haitoshi katika taaluma, itabidi ujue kwanza processor ni nini, core ni nini, threads ni nini, hyper threading ni kitu gani, n.k.

Baada yakujua hivyo ndo utajua kwamba hyper threading inatengeneza threads 2 kweny core moja ndio maana tunazisha mara 2, bila kujua hivi vitu hata ukijibu hilo jibu la 8 usishangae kunyimwa maksi zote maana inaonekana wazi hujui hata unachokijibu, ukichengwa kidogo tu chalii.

Ndio hapa sasa ndipo unapoona utofauti kwamba advance wanasomea hesabu kama somo kama ilivyo kwa o-level ila chuoni endapo watazikuta hesabu walizojifunza advance basi wanaenda kufunzwa upya hizo hesabu zinatumikaje kwenye taaluma zao, Kwa upande wa wale walioanza kusomea diploma baada ya form 4 hivi vitu huwa ni marudio tu wakifika degree, wakifika degree juhudi kubwa zinawekwa kwenye kushindilia na kuelewa zaidi kwa undani na sio kuwa wageni.

Alafu kitu kingine ni kwamba mtaala wentu ni wa zamani sana, hesabu za advance ni za mitaala ya 1960’s huko kabla hata mapinduzi makubwa hayajafanyika kwenye computers, hivyo hata hesabu za advance bado hazijafanyiwa adjustments kuandaa wanafunzi wanaotaka kusomea cs ama it, na hii ndio sababu nchi kama Kenya walijitoa advance (tayari wapo mbioni kuingiza elimu ya computer shule za msingi), Kenya ukimaliza form 4 ni chuo direct kuanza kusomea taaluma yako.

Huku kwetu mtu akitoka advance na kuingia chuo atakuta hesabu mpya kama binary number, hexadecimal numbers na nyingine ambazo ni muhimu kuzijua katika ulimwengu huu wa computers , hapa huwa inakuwa changamoto kwa waliopitia advance, wataanza kujifunza hesabu za binary 1+1 = 0 hapo inakuwa ni mambo mapya na inabidi ujifunze upya kwanini computer zinatumia binary.

Kusakafia huu mjadala wacha niseme kwamba chuoni utafudishwa tu kile ambacho kitakusaidia kwenye taaluma yako, Ni kama kwenye mpira, Striker inabidi ajikite kwenye kumchenga kipa, ball control, chenga, mashuti, n.k. topics kama kudaka kama kina Casilas , kupiga sliding tackles kama za kina ramos, n.k kwake hio sio field yake.

Kujikita Zaidi kwenye sehemu zitazokuongezea ufanisi ndio kutakufanya uwe nondo.
Lastly ningependa kugusia pia advanctage kubwa ya kusomea diploma baada ya chuo ni kwamba masomo utayoyakuta degree karibia 80% (zikiwemo hesabu) utakuwa unayarudia na hata mwalimu aliewafundisha diploma there is a possibility akawafundisha tena degree kwa notes zile zile, Downturn ya kusomea advance ni kwamba karibia 80% ya vitu utavyovikuta chuoni ni mambo mapya, hio 20% iliyobaki ya vitu utavyovikuta kwa kiasi vitagusia hesabu ulizojifunza o level na a level lakini bado utafunzwa upya namna ya kuzi apply na si kuzisoma kama somo la kombi ama kufulia necta, pia hizo hesabu si somo pekee utalolikuta, kuna masomo mengi mno, hutaenda tena kusomea masomo matatu ya kombi, chuoni utaenda kusomea Zaidi ya masomo 50 na mengi yatakuwa mapya.

Naskia hadi leo watu wazima wapo advance wanacharazwa viboko kama watoto na ukikutwa hata na barua ya mapenzi unaweza kupewa suspenion, hivi ni kweli watu wazima bado wanabanwa hivi?
Tumepitia huko sema tumevuka mkuuu
 
Back
Top Bottom