Serikali gani ambayo haikukopa mpaka leo ushangae Serikali kukopa?
Kukopa kupo ila matumizi ya mikopo ndio shida…ukikopa bila kuzalisha mkopo utarudije..ndio hichi tunachokishuhudia hapa sasa tunakopa tena ili tulipe mikopo…tutatoboa
Serikali gani ambayo haikukopa mpaka leo ushangae Serikali kukopa?
Ndio ,kwa sababu no way uta finance miundombinu mikubwa na kuifungua Nchi yetu na ukubwa huu ma kulinganisha na Nchi jirani kwa kutegemea kudunduliza ndani.Kwahio kutopenda mikopo ni ujinga na akili ndogo
Reli tayari Mwendazake alishaanza kujenga na kama serikali ilivyosema washatumia til.14,,sasa kumtelekeza mradi huu ni kupoteza hizo til.14..
Busara ni kuumaliza na Kwa kuwa life span yake ni miaka 100 na zaidi inaweza wewe usifaidike wakafaidika wajukuu zako kesho..
Pili faida ya pesa moja kwa moja inaweza isipatikane but kama itachochea biashara hasa na Nchi jirani tayari hizo ni faida.nk nk.
Kama tumejenga SGR na kununua Ndege kwa pesa zetu hata hivyo vingine tutafanyaWakati washindani wa Tanzania kwenye biashara ya Logistics wakikopa kwa njia ya ku engage China Ili wajenge reli na miundombinu mingine ,huku Tanzania kuna Watu wenye akili mdogo hawataki.
Hata Kodi kulipa hawataki sasa unajiuliza Labda watapata maendeleo kwa kushushiwa na mvua.Ni hatari Sana kuwa na Nchi yenye Watu wenye akili kiduchu na mdomo mkubwa kama Tzn.
Matunda ya Ziara ya Foreign Minister wa China Kwenye baadhi ya Nchi za Africa.China imepanga kujenga reli ya sgr kutoka mpakani mwa Kenya/Uganda hadi Rwanda na DRC.
Kutoka Djibouti hadi Ethiopia ndani kabisaa.Watatumia model ya Belt and Road Initiative.
Ngoja Tzn tuendelee kujivuta na kubishana ujinga.
View attachment 2077682
View attachment 2077683
View attachment 2077684
Ndio ,kwa sababu no way uta finance miundombinu mikubwa na kuifungua Nchi yetu na ukubwa huu ma kulinganisha na Nchi jirani kwa kutegemea kudunduliza ndani.
Si tuu hutaweza kufanya hivyo bali ukifanya hivyo utaua uchumi na kuleta umaskini.Ndicho kilotokea kwenye awamu ya 5..
NChi zote zinafanya hivyo,hata Wew hapo dinduliza kisalary chako afu tuone hata kama utajenga,hata biashara lazima uikuze kwa mkopo hakuna kitu inaitwa cash ikakutoa.
Ok, nini ushauri wako au kipi kifanyike?Kukopa kupo ila matumizi ya mikopo ndio shida…ukikopa bila kuzalisha mkopo utarudije..ndio hichi tunachokishuhudia hapa sasa tunakopa tena ili tulipe mikopo…tutatoboa
Yaan we msukuma chuki yako kwa mama samia haita kupa faida yeyote kwa sababu ndiye rais wako hadi 2030 utake usitake.Yaani huyu bibi hana maana! Trillion saba anakopa ukijuisha hapo na mikopo kibao ameshakopa anakimbilia trillion 15 halafu kwa vile CCCM mengi ni makondoo yanashangilia! Pesa zaidi ya trillion mbili hapo lazima ziende Zanzibar! Wadanganyika wanatoa macho!
Ok, nini ushauri wako au kipi kifanyike?
Sometimes huwa unapoint
Tatizo mnaleta siasa kila kitu, hakuna awamu ambayo mauaji hayakutokea, kama unabisha niambie ni awamu ipi ilikua clean? Suala la uongo, ukabila na sijui matekaji ni cheap politics tu, sikatai kua hayakutokea ila nnachoshangaa ni kwanini anasemwa magufuli tu. Kuna miaka watu walipigwa na mabomu arusha ila mnajikausha tu.1:Watu wasiojulikana
2:Mauaji
3:Uongo
4:Wizi
5:Ukabila na ukanda
6:Utekwaji
Hayo ni machache, kama uko Tanzania basi waweza ongezea
Ndio mwisho wa maono yetu ulipofikia
Mikopo
Misaada
Uzandiki ni kutapeli wananchi🐒:Acha uzandiki.
Ukiambiwa na nani kwamba tozo no kwa ajili ya madarasa tuu? Shida serikali inapo table bajeti huwa mko busy kusikiliza ujinga na umbea wa machadema.Ilisemekana pesa zinaenda kujenga matundu ya vyoo na madarasa..ndio tukahoji tozo zinafanya kazi gani..
Peleka upuuzi huko,pesa zako zipi hizo?Kama tumejenga SGR na kununua Ndege kwa pesa zetu hata hivyo vingine tutafanya
HONGERA SANA MH.MWIGULU,PESA HIZI ZITAHARAKISHA MAENDELEO YETU KWA HARAKA NA UPO WAKATI HATUTAHITAJI TENA MIKOPO MIKUBWA HIVYO TUTAKUWA TUNALIPA TU MADENI HUKU MIRADI HUSIKA IKISAIDIA KULIPA MADENI,Mapema leo nimefanya mazungumzo kwa njia ya mtandao na Dkt. Sidi Ould Tah, Mkurugenzi Mkuu wa @badeabank kujadili namna ya kuharakisha upatikanaji wa fedha za mkopo nafuu na msaada Dola Bilioni 3 sawa na takribani Shilingi Trilioni 7.
Benki ya BADEA iliahidi kuipatia Tanzania mkopo huu wa masharti nafuu (soft loan) katika kipindi cha miaka mitano ijayo, zitakazotumika kwenye miradi ya maendeleo sambamba na kuiwezesha sekta binafsi.
View attachment 2077645
NYUMBU bwana??1:Watu wasiojulikana
2:Mauaji
3:Uongo
4:Wizi
5:Ukabila na ukanda
6:Utekwaji
Hayo ni machache, kama uko Tanzania basi waweza ongezea
Uwazi upi unaouzungumzia labda,maana deni la Taifa hata kwa kipindi cha Magufuli watu waliliongelea.Magufuli alikopa kwa akili!
Kukopa kwa akili maana yake nini?
Magufuli alikopa halafu akawa anaturubuni kila Jambo analolifanya ni kwa pesa zetu ilihali deni la taifa linakuwa.
Kinachomgharimu mama ni uwazi si vinginevyo.
Mnahangaika sana kuwaaminisha watu ubaya wa Magufuli.1:Watu wasiojulikana
2:Mauaji
3:Uongo
4:Wizi
5:Ukabila na ukanda
6:Utekwaji
Hayo ni machache, kama uko Tanzania basi waweza ongezea