Unaweza kujibu nilichokuuliza mkuu?
Nimeshakujibu mkuu wangu
Unaweza kujibu nilichokuuliza mkuu?
Hujajibu mkuu, nimekuuliza ukiambiwa umepewa mkopo na msaada unaelewa nini?Nimeshakujibu mkuu wangu
1:Watu wasiojulikana
2:Mauaji
3:Uongo
4:Wizi
5:Ukabila na ukanda
6:Utekwaji
Hayo ni machache, kama uko Tanzania basi waweza ongezea
Hujajibu mkuu, nimekuuliza ukiambiwa umepewa mkopo na msaada unaelewa nini?
Nyie ni aina ya watu wenye akili mdogo na wajinga kabisa.Emancipate yourselves from mental slavery..non but ourselves can free our minds -Bob Marley
Serikali gani ambayo haikukopa mpaka leo ushangae Serikali kukopa?Kwahio inabidi tukope sasa sababu ya haya..
Mwigulu anajaribu kuepusha lawama, hizo pesa naamini ni za mkopo lakini kwasababu anajua walishaambiwa kukopa sio sifa wakamsuta aliewaambia, matokeo yake ndio haya anachanganya maneno "mkopo" na "msaada" kwenye sentensi moja.
Haya ndio matokeo ya kujibu hoja kwa mipasho, kama ile hoja ya Ndugai ingejibiwa vizuri watu waridhike, leo Mwigulu asingekuwa na hiki kigugumizi cha kuandika, lakini kwasababu waliamua kumsuta, sasa ndio wanaishi kwa hofu, mwisho wa ubaya....
Aisee, hapo sina la ziada mkuu. Nikutakie asubuh njema kama uko nchi za Africa mana majira hatutofautiana sana japo si sawa.Nimejibu naelewa kwamba…mnatupumbaza kutumia neno msaada sababu kukopa manajua sio kuzuri..
Wakati washindani wa Tanzania kwenye biashara ya Logistics wakikopa kwa njia ya ku engage China Ili wajenge reli na miundombinu mingine ,huku Tanzania kuna Watu wenye akili mdogo hawataki.
Hata Kodi kulipa hawataki sasa unajiuliza Labda watapata maendeleo kwa kushushiwa na mvua.Ni hatari Sana kuwa na Nchi yenye Watu wenye akili kiduchu na mdomo mkubwa kama Tzn.
Matunda ya Ziara ya Foreign Minister wa China Kwenye baadhi ya Nchi za Africa.China imepanga kujenga reli ya sgr kutoka mpakani mwa Kenya/Uganda hadi Rwanda na DRC.
Kutoka Djibouti hadi Ethiopia ndani kabisaa.Watatumia model ya Belt and Road Initiative.
Ngoja Tzn tuendelee kujivuta na kubishana ujinga.
View attachment 2077682
View attachment 2077683
View attachment 2077684
hata ingekuwa ni msaada na sio mkopo bado ni tatizo, juzi Ndugai kasema na JPM aliwahi kusema hii misaada ni hela wanaitoa humu humu ndani, wanatufanya mazezeta wa kutupwa... worthless dunderheadsMwigulu anajaribu kuepusha lawama, hizo pesa naamini ni za mkopo lakini kwasababu anajua walishaambiwa kukopa sio sifa wakamsuta aliewaambia, matokeo yake ndio haya anachanganya maneno "mkopo" na "msaada" kwenye sentensi moja.
Kwani uongo wewe utakusaidia nini hasa? Serikali ya Samia imekopa 1.3 T na mara nyingi wamesema.Ndani ya miezi 9 amevuka nusu ya deni la JPM la miaka 6…hili unaliongeleaje..
Nyie ni aina ya watu wenye akili mdogo na wajinga kabisa.
Kwa hiyo hizi Nchi hapa zilizokopa zaidi ni za kitumwa ambazo Tzn imezizidi Uchumi sio?
View attachment 2077696
View attachment 2077697
Magufuli alikopa kwa akili!
Kukopa kwa akili maana yake nini?
Magufuli alikopa halafu akawa anaturubuni kila Jambo analolifanya ni kwa pesa zetu ilihali deni la taifa linakuwa
Kinachomgharimu mama ni uwazi si vinginevyo.
Ccm ni janga la kitaifa kauli ya spika aliyefurushwa itakuja kutimia muda sio mrefuMapema leo nimefanya mazungumzo kwa njia ya mtandao na Dkt. Sidi Ould Tah, Mkurugenzi Mkuu wa @badeabank kujadili namna ya kuharakisha upatikanaji wa fedha za mkopo nafuu na msaada Dola Bilioni 3 sawa na takribani Shilingi Trilioni 7.
Benki ya BADEA iliahidi kuipatia Tanzania mkopo huu wa masharti nafuu (soft loan) katika kipindi cha miaka mitano ijayo, zitakazotumika kwenye miradi ya maendeleo sambamba na kuiwezesha sekta binafsi.
View attachment 2077645
Hakuna asiekopa,ila kwa sasa habari za selikari zinazungumziwa zaid kuliko kipindi cha awamu iliopita,hii ni kwa sababu uhuru wa kuzungumza umekuwa huru sana,tofauti na hapo awali
Acha kujivua nguo mkuu, haya yote ni athari za Jiwe, japo ni ngumu sana kwa wewe kuelewa, jamaa ameleta maafa makubwa sana nchini. Ndiyo maana hata Mungu akaingilia kati kwani bila hivyo taifa kama taifa tungefika pabaya sana. Ukitaka kumjua vizuri Jiwe angalia watu wake wa karibu kama Bashite, Saambaya,Gamboshi, Ndungai, mzee wa jalalani na wengine wengi tu.
Reli tayari Mwendazake alishaanza kujenga na kama serikali ilivyosema washatumia til.14,,sasa kumtelekeza mradi huu ni kupoteza hizo til.14..Tutafaidika na nini mkuu kwenye huu mradi naomba utuelimishe watanzania wenzako
Inasikitisha sanaNdio mwisho wa maono yetu ulipofikia
Mikopo
Misaada
Magufuli alikopa kwa akili!
Kukopa kwa akili maana yake nini?
Magufuli alikopa halafu akawa anaturubuni kila Jambo analolifanya ni kwa pesa zetu ilihali deni la taifa linakuwa.
Kinachomgharimu mama ni uwazi si vinginevyo.