Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,549
- 34,877
...Acha wakope bhana....hata hiyo Zanzibar ni sehemu ya Tz.Yaani huyu bibi hana maana! Trillion saba anakopa ukijuisha hapo na mikopo kibao ameshakopa anakimbilia trillion 15 halafu kwa vile CCCM mengi ni makondoo yanashangilia! Pesa zaidi ya trillion mbili hapo lazima ziende Zanzibar! Wadanganyika wanatoa macho!