Waziri Mwigulu: Serikali imeomba msaada au mkopo wa trilioni 7

Yaani huyu bibi hana maana! Trillion saba anakopa ukijuisha hapo na mikopo kibao ameshakopa anakimbilia trillion 15 halafu kwa vile CCCM mengi ni makondoo yanashangilia! Pesa zaidi ya trillion mbili hapo lazima ziende Zanzibar! Wadanganyika wanatoa macho!
...Acha wakope bhana....hata hiyo Zanzibar ni sehemu ya Tz.
 
Mwigulu anajaribu kuepusha lawama, hizo pesa naamini ni za mkopo lakini kwasababu anajua walishaambiwa kukopa sio sifa wakamsuta aliewaambia, matokeo yake anachanganya maneno "mkopo" na "msaada" kwenye sentensi moja.

Haya ndio matatizo ya kukimbia kujibu hoja kwa hoja, kama ile hoja ya Ndugai ingejibiwa vizuri watu waridhike, leo Mwigulu asingekuwa na hiki kigugumizi cha kuandika, lakini kwasababu waliamua kumsuta, sasa ndio wanaishi kwa hofu, mwisho wa ubaya....
Ndugai alikufa kizembe tu kwa kushindwa kuisimamia hoja yake.
 
Yaani huyu bibi hana maana! Trillion saba anakopa ukijuisha hapo na mikopo kibao ameshakopa anakimbilia trillion 15 halafu kwa vile CCCM mengi ni makondoo yanashangilia! Pesa zaidi ya trillion mbili hapo lazima ziende Zanzibar! Wadanganyika wanatoa macho!
Na mlipaji ni mdanganyika
 
Mwigulu anajaribu kuepusha lawama, hizo pesa naamini ni za mkopo lakini kwasababu anajua walishaambiwa kukopa sio sifa wakamsuta aliewaambia, matokeo yake anachanganya maneno "mkopo" na "msaada" kwenye sentensi moja.

Haya ndio matatizo ya kukimbia kujibu hoja kwa hoja, kama ile hoja ya Ndugai ingejibiwa vizuri watu waridhike, leo Mwigulu asingekuwa na hiki kigugumizi cha kuandika, lakini kwasababu waliamua kumsuta, sasa ndio wanaishi kwa hofu, mwisho wa ubaya....
That is true.
 
Mwigulu anajaribu kuepusha lawama, hizo pesa naamini ni za mkopo lakini kwasababu anajua walishaambiwa kukopa sio sifa wakamsuta aliewaambia, matokeo yake anachanganya maneno "mkopo" na "msaada" kwenye sentensi moja.

Haya ndio matatizo ya kukimbia kujibu hoja kwa hoja, kama ile hoja ya Ndugai ingejibiwa vizuri watu waridhike, leo Mwigulu asingekuwa na hiki kigugumizi cha kuandika, lakini kwasababu waliamua kumsuta, sasa ndio wanaishi kwa hofu, mwisho wa ubaya....
Benki hazitoi misaada bali mikopo.
 
Ukitoka huo mkopo ina maana ndani ya miezi 9 tutakua tumekopa 17trilion kama deni la nje. Hio trend unaona nzuri? Magufuli alikopa kwa akili na vitu alivyofanya vimeonekana.
Acha kujivua nguo mkuu, haya yote ni athari za Jiwe, japo ni ngumu sana kwa wewe kuelewa, jamaa ameleta maafa makubwa sana nchini. Ndiyo maana hata Mungu akaingilia kati kwani bila hivyo taifa kama taifa tungefika pabaya sana. Ukitaka kumjua vizuri Jiwe angalia watu wake wa karibu kama Bashite, Saambaya,Gamboshi, Ndungai, mzee wa jalalani na wengine wengi tu.
 
Acha kujivua nguo mkuu, haya yote ni athari za Jiwe, japo ni ngumu sana kwa wewe kuelewa, jamaa ameleta maafa makubwa sana nchini. Ndiyo maana hata Mungu akaingilia kati kwani bila hivyo taifa kama taifa tungefika pabaya sana. Ukitaka kumjua vizuri Jiwe angalia watu wake wa karibu kama Bashite, Saambaya,Gamboshi, Ndungai, mzee wa jalalani na wengine wengi tu.

Athari za jiwe ni zipi…maafa yapi makubwa ameleta mkuu..tuelimishe huwenda watanzania wenzako tupo gizani
 
Akina majaliwa waliojaliwa vyeo😁😁😁
16418874249070.jpg
 
Unamuongelea Magu wa nini wakati hayupo na hawezi kujitetea? tumuongelee huyu aliyepo
Mkuu ndiyo maana wanasema tenda mema ukiwa hai ili ukisepa watu wakuongelee mazuri. Hata Nyerere mpaka leo anaongelewa, ishu ni kuwa unaongelewa kwa mabaya au mazuri. Jiwe alikuwa muuaji na muongo sana ndiyo maana anaongelewa kwa mabaya.
 
Mapema leo nimefanya mazungumzo kwa njia ya mtandao na Dkt. Sidi Ould Tah, Mkurugenzi Mkuu wa @badeabank kujadili namna ya kuharakisha upatikanaji wa fedha za mkopo nafuu na msaada Dola Bilioni 3 sawa na takribani Shilingi Trilioni 7.

Benki ya BADEA iliahidi kuipatia Tanzania mkopo huu wa masharti nafuu (soft loan) katika kipindi cha miaka mitano ijayo, zitakazotumika kwenye miradi ya maendeleo sambamba na kuiwezesha sekta binafsi.
View attachment 2077645
Mkopo na msaada???? Sasa hapo tumepewa nn mkopo, msaada au au vyote kwa pamoja
 
Athari za jiwe ni zipi…maafa yapi makubwa ameleta mkuu..tuelimishe huwenda watanzania wenzako tupo gizani
1:Watu wasiojulikana
2:Mauaji
3:Uongo
4:Wizi
5:Ukabila na ukanda
6:Utekwaji
Hayo ni machache, kama uko Tanzania basi waweza ongezea
 
Back
Top Bottom